ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Ushua ulikua wa mshua ni mtoto wake[emoji23][emoji23]Wewe ni wa kishua!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushua ulikua wa mshua ni mtoto wake[emoji23][emoji23]Wewe ni wa kishua!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mjomba wazungu wakiandika kitabu , tafiti ufanyika, sio kama vitabu vya erick shigongo😀😀Huyo kasoma kitabu kilichotungwa tu maana Chaz alianza mahusiano na Camilla wakati Di alikuwa na miaka 10 tu maishani
Kweli MjombaMjomba wazungu wakiandika kitabu , tafiti ufanyika, sio kama vitabu vya erick shigongo[emoji3][emoji3]
We mataka.o Eliza alikuwa anakusagaa hicho kimbene? Takatakaaa kabisa[emoji57][emoji57]Jinga Hilo
We mndukuu acha kiniquote maana nakuonaga kama kichaa tu[emoji57][emoji57][emoji57]Kwani kuna ambae hatakufa?
MTU Yuko above 80s unashangaa kifo chake?
Ukute wewe hata 50 hutagusa maana unatokea nchi masikini Vigo vya bodaboda na panya Road ni nje nje.
Kwanini sasa?[emoji38]Na mchezo ukaendelea Andrew Parker Bowles akatembea na Princess Anne Dada yake Chaz haha
Kama kisasi vile eti [emoji1]Kwanini sasa?[emoji38]
Kahaba unaejiuza usinilete hasira,We mndukuu acha kiniquote maana nakuonaga kama kichaa tu[emoji57][emoji57][emoji57]
Who the hell are you f*** bit***We mndukuu acha kiniquote maana nakuonaga kama kichaa tu[emoji57][emoji57][emoji57]
wanafunika kombeHamna kitu kama hicho we kijana. Wenzetu kule wameendelea sana na mtoto hata kabla ya kuzaliwa wanapata DNA zake
Mtoto akizaliwa pia anachukuliwa DNA hapo hapo.
Watano na ka foetus cha kiarabu tumboni kwa DayanaWalikuwa wanne
Sio kwa Waingereza aiseeNje ya mada,.
Waingereza (watawala) hawashibani na waarabu, vipi waarabu wanalimezea soko la mpira wa miguu England kwa kununua timu hasa za pale EPL, itakuaje huko mbeleni.?!
Au wanawa time wapite na vichwa kama bwana Roman Abramovic?
Wamarekani ndo wanapata nafasi kubwa kuzinunua timu. Kwa epl mpaka sasa zile best 4 za awali zipo chini ya wamerekani.
Liverpool
Manchester utd
Arsenal
Chelsea
Kila mtu anayo radius of influence, zinazidiana urefu.Ukiwa kwenye huu mwili, halafu uwe kwenye mamlaka ya kifanyike hiki na kisifanyike hiki, hii sentensi yako haina maana. Inapata maana kwa siye wasaka tonge.
Aliyekuwa na matatizo ni Prince Charles sio Princess Diana . Mkifuatilia kwa undani utaelewa ili suala. Ni kwamba Charles alikuwa anataka kumuoa Camilla toka mwanzo ila wazazi wake walimchagulia Diana ambaye Charles alikubali kumuoa ila alikuwa hana mapenzi nae na alikuwa anaendelea kuchepuka na Camilla. Mwisho wa siku Diana yalimshinda wakaachana na ndipo akaanza kujichanganya na walimwenguAlianza kitambo.Tusubiri simulizi la kiuchunguzi.
Nimeelewa sasa. Shukrani mkuu.Sio kwa Waingereza aisee
England kuna wahindi wengi wanamiliki migahawa na maduka ya nguo lakini KAMWE hawawezi kumiliki Uchumi wa England, vilevile kwa Wamarekani na wengine
Kwenye suala la Sheria (Magna Carta) Mipango, Uhasibu, Fedha, Teknolojia, Education system, Utunzaji pamoja na uhifadhi wa Historia na Civilization Waingereza wako vizuri SANA kuliko nchi zingine.
Mpaka leo hii Wamarekani wanajifunza mengi kwa Muingereza
System na Structure nzima ya Serikali nyingi za dunia ya leo kuanzia China, India, USA na hata Africa zilianzia Britain/England
Ni kweli mkuu. Hua naamini kila mtu ana kila kitu (internally) ila tunazidiana.Kila mtu anayo radius of influence, zinazidiana urefu.
Kauli yake ya mwisho ya Diana:
''My God, what happened?
Huku Uso wake ukimwangalia Dodi Fayed, ambaye yeye na Dereva walifia palepale kisha Diana akafa baadae akiwahishwa hospitalini bila kuwa na jeraha hata moja....maskini kumbe ndani kwa ndani damu zilivuja.
Sergeant Xavier mfaransa aliyesimamia uzimaji wa moto na Team yake katika ile gari aina ya Marcedes Benz W140 S-CLASS ndiye Mtu wa mwisho kuonana na kuzungumza na late Princess Diana na sasahivi ni Mwanajeshi Mstaafu
Yeye hasa, ndio mwenye kujua siri nzima ya Ajali ile ya August, 1997. Kila alipohojiwa alisema miiko ya kazi yake (Uanajeshi) haimruhusu kuongea kila kitu
Lakini Recently akasema sasa amekuwa Mstaafu anaweza kuzungumza
So Baada ya kifo cha Bibi huenda akasema chochote...ila anasema picha ya mwisho ya sura ya Diana haitamtoka na hataisahau milele.
Diana mremboInasadikika prince charles hakua anampenda ila walimtafutia mwanamke wa kuoa tena kwa lazima ndio akapatikana diana