Dodi Al Fayed mchumba wa Princess Diana mpaka Kifo!

Dodi Al Fayed mchumba wa Princess Diana mpaka Kifo!

Duh ! Dunia inakwenda kasi sana. Ni juzi juzi tuu habari za mahusiano na kifo cha diana vilipamba moto, leo William anaonekana mzee mkongwe kweli kweli.

Natabiri huyu jamaa anaonekana na misongo ya kufa mtu na hawezi kumaliza ufalme wake ,atang'atuka kama babu yake Edward III na dada yake atatawazwa kuwa malkia. Ukoo huo ambao siuelewi maana wawe wa ujombani wanaongoza ila wanawake wanaonekana wapo imara zaidi ya wanaume
Ni kweli,habari zilitrend juzijuzi tu hapa,Mambo ya kina Diana na Dodi Al Fayed na Charles na Camilla Parker bowel,leo twamuongelea Charles kibabu! Ama kweli maisha ya duniani ni mafupi sana
 
Acha uongo wewe,hakuna timu inaitwa Fulham United,Wala Dodi si mtoto wa mmiliki wa Fulham fc
Bali aliyewahi kuwa mmiliki wa Fulham ni bwn Mohamed Al Fayed,baba wa Dodi,muingereza mwenye asili ya Misri mmiliki wa maduka ya Harrods,ambaye kipindi Cha kifo Cha Dodi na Dianna hakuwa mmiliki wa Fulham

Mmiliki wa Sasa wa Fulham ni Sajjad Khan, muingereza mwenye asili ya Pakistan
Mohamed Al Fayed hajawahi kuwa raia wa Uingereza. Alikuwa anaishi na kufanya biashara UK lakini hakuwahi kupewa uraia. Jambo ambalo alikuwa akilalamika sana.
 
[emoji3][emoji3]kasome kitabu kinaitwa THE DAY PRINCESS DIANA DIED, utajua kisa na mkasa cha princess kumuacha king Charles na kwenda kuanzisha mapenzi na mtoto wa billionaire wa Uk, Dodi, princess diana alikuwa ananyanyasika full kipigo kutoka kwa king Charles, charles mapenzi yake ayakuwa kwa Diana ni kama alijikuta tu kwenye ndoa naye, kwa kushinikizwa , ivyo charles alitafuta kimada ambaye sa hivi ndo mke wake,na ndo queen sa hivi, diana baada ya kuchoka manyanyaso akaamua atafute upendo ndo akajikuta kwa Dodi, icho kitu kilimuuzi marehemu queen Elizabeth na ikawa kama aibu kwa royal family, na ili kuzuia aibu zaidi , queen Elizabeth wakapanga assassination ya Diana, wakavizia ameenda france kula bata wakatengeneza ajali iliyomuua, iyo royal family wanaroho mbaya kisenge kuanzia queen Elizabeth , we huoni hadi harry kaamua kuwakataa kwa sababu za ubaguzi, kama queen na wanae walikuwa wanambagua harry na wife na watoto wa harry kisa ya asili ya merghan vipi kuhusu kuwapenda ngozi nyeusi na africa?
King Charles na Camilla walianza mahusiano yao kabla hata hajalazimishwa kumuoa Diana. Ulipofika muda wa Charles kuoa familia ikamkataa Camila wakidai eti "she has been quiet around" kwa maneno mengine "alikuwa ametumika sana".

Charles alipata presha kali kutoka kwa baba yake Phillip amuoe Diana ambaye alikuwa mwali. Ili kumtoa Camila mchezoni, ukasukwa mpango Camila akaolewa na Ofisa wa jeshi aitwaye Parker Bowles. Lakini yote yalishindikana, Camila hakukaa sana kwenye ndoa yake wakaachana na mumewe na wakaliendeleza libeneke na Charles. Fujo ndio zikaanzia hapo.
 
Nilisoma habari za kifo cha princess D lile tukio lilipangwa na mbaya zaidi hata mwandishi alofatilia ile ajali aliwekwa kizuizini huko Marecan na kitabu chake kilizuiliwa kuuzwa.
Kikubwa nilicho-note mzungu na mwarabu ni paka na panya na hatua walokuwa wamefikia Diana na huyo mchumba wake mwenye asili ya Misri ingekuwa ni aibu kwa familia ya malkia Elizabeth piga ua ingefika kipindi mwanaharam angekuwa ndani ya kasri la malkia
Kuchanganya damu ni haramu ?
 
King Charles na Camilla walianza mahusiano yao kabla hata hajalazimishwa kumuoa Diana. Ulipofika muda wa Charles kuoa familia ikamkataa Camila wakidai eti "she has been quiet around" kwa maneno mengine "alikuwa ametumika sana".

Charles alipata presha kali kutoka kwa baba yake Phillip amuoe Diana ambaye alikuwa mwali. Ili kumtoa Camila mchezoni, ukasukwa mpango Camila akaolewa na Ofisa wa jeshi aitwaye Parker Bowles. Lakini yote yalishindikana, Camila hakukaa sana kwenye ndoa yake wakaachana na mumewe na wakaliendeleza libeneke na Charles. Fujo ndio zikaanzia hapo.
Huyo kasoma kitabu kilichotungwa tu maana Chaz alianza mahusiano na Camilla wakati Di alikuwa na miaka 10 tu maishani
 
Diana nafikiri alikuwa na pepo la ngono. Kuna uwezekano mkubwa Harry siyo mtoto wa Charles.
Hamna kitu kama hicho we kijana. Wenzetu kule wameendelea sana na mtoto hata kabla ya kuzaliwa wanapata DNA zake

Mtoto akizaliwa pia anachukuliwa DNA hapo hapo.
 
Acha uongo wewe,hakuna timu inaitwa Fulham United,Wala Dodi si mtoto wa mmiliki wa Fulham fc
Bali aliyewahi kuwa mmiliki wa Fulham ni bwn Mohamed Al Fayed,baba wa Dodi,muingereza mwenye asili ya Misri mmiliki wa maduka ya Harrods,ambaye kipindi Cha kifo Cha Dodi na Dianna hakuwa mmiliki wa Fulham

Mmiliki wa Sasa wa Fulham ni Sajjad Khan, muingereza mwenye asili ya Pakistan
Baba yake dodi alikuwa mmiliki WA fulham. Mwanae ndio alikuwa anatoka na Diana. Na hadi alipeleka kesi mahakamani kuwa utawala WA uingereza umemuua mtoto wake.....
 
Diana alikosea.Ingawa washabiki wake wanampenda sana na kumtetea.Kuna mambo hawayafikirii kwa undani kiasi;
-Kuibiwa mke kunaumiza sana kwa mume bila kujali kiwango cha mapenzi yenu.
-Alipolalamika mumewe malaya(mfalme wa sasa)alipaswa kuweka kichwani kwamba wanaume wamezaliwa na "kijiumalaya" fulani hivi.Alitakiwa awe mkali tu na si kuchepuka.
-Diana alipaswa achague aina,asili ya mtu na wakati wa kuchepuka.
-Hakutakiwa kushika mimba ya hawara yake huyo.Makosa!
-Alipaswa na aliijua nguvu ya ukoo na wanaouzunguka ufalme.Hakupaswa kuwajaribu.
Alipaswa kujua kwamba Royal families huenenda kwa kanuni,sheria,taratibu na tamaduni zisizobadilikabadilika.They are going by the book.Alipaswa atumie jicho la tatu hadi la nne kuyaishi aliyoyaishi.
Nadhani walikuwa wameshaachana na Charles kipindi hiko.... Kama sijakosea
 
Duh ! Dunia inakwenda kasi sana. Ni juzi juzi tuu habari za mahusiano na kifo cha diana vilipamba moto, leo William anaonekana mzee mkongwe kweli kweli.

Natabiri huyu jamaa anaonekana na misongo ya kufa mtu na hawezi kumaliza ufalme wake ,atang'atuka kama babu yake Edward III na dada yake atatawazwa kuwa malkia. Ukoo huo ambao siuelewi maana wawe wa ujombani wanaongoza ila wanawake wanaonekana wapo imara zaidi ya wanaume
Dada yake kivipi wakati mwamba ana mtoto?
 
charles wa camila, ndoa za kulazimishwa mbaya sana Diana kapitia mazito yule prince harry anasiri nyingi sana za mama yake nadhani alimchukia bibi yake kwa sababu maalumu na akaona amuweke mke wake meghan mbali na ile familia anaogopa kilicho mtokea mama yake kisije mtokea mkewe, inasemekana mama yake alimwambia harry atauauwa yupo kwenye hatari na kwelu baada ya muda mfupi CIA wakafanya yao.
CIA tena how? Nikajua wale MI5 au kwa kukuwa alifia hospital la wamarekani?
 
King Charles na Camilla walianza mahusiano yao kabla hata hajalazimishwa kumuoa Diana. Ulipofika muda wa Charles kuoa familia ikamkataa Camila wakidai eti "she has been quiet around" kwa maneno mengine "alikuwa ametumika sana".

Charles alipata presha kali kutoka kwa baba yake Phillip amuoe Diana ambaye alikuwa mwali. Ili kumtoa Camila mchezoni, ukasukwa mpango Camila akaolewa na Ofisa wa jeshi aitwaye Parker Bowles. Lakini yote yalishindikana, Camila hakukaa sana kwenye ndoa yake wakaachana na mumewe na wakaliendeleza libeneke na Charles. Fujo ndio zikaanzia hapo.
Na mchezo ukaendelea Andrew Parker Bowles akatembea na Princess Anne Dada yake Chaz haha
 
Bilionea Mohamed Ibrahim au kama wao wanavyopenda kumuita Mo Ibrahim ni Mwingereza mwenye asili ya Sudan kww kuzaliwa na si Egypt.
Mo Ibrahim ni Msudani na sio Mmisri
Na hakuna matajiri wakubwa hapa wamisri
Mo Saleh mcheza mpira na Al Fayed alibebwa na shemeji yake Adnan Khashoghi ambae alikuwa Billionaire la Saudia ambae historia yake alianza kuuza mashuka alipokuwa anasoma Egypt Chuo kikuu
Ni akili ya tangu mdogo
 
Duh ! Dunia inakwenda kasi sana. Ni juzi juzi tuu habari za mahusiano na kifo cha diana vilipamba moto, leo William anaonekana mzee mkongwe kweli kweli.

Natabiri huyu jamaa anaonekana na misongo ya kufa mtu na hawezi kumaliza ufalme wake ,atang'atuka kama babu yake Edward III na dada yake atatawazwa kuwa malkia. Ukoo huo ambao siuelewi maana wawe wa ujombani wanaongoza ila wanawake wanaonekana wapo imara zaidi ya wanaume
Mkuu Dada yake hawezi kuwa Malikia maana next to the throne ni mwanae William halafu mtoto wa William ambae ni Prince George of Wales ndio atakuwa Mfalme baadae kama atafika

Huoni protocol ilivunjwa walisema George asiletwe kwenye jeneza ila wazee wa maamuzi wakasema ni lazima awepo maana anamfuatia baba yake kurithi kiti ni vizuri akaona
 
Back
Top Bottom