witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Sasa hivi vitafukuliwa vitu kibao!...media zote zilikuwa zinamuogopa huyo bibi achaBaada ya malkia kufa sio
Charles mpenda bataz sijui kama uking atauweza[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi vitafukuliwa vitu kibao!...media zote zilikuwa zinamuogopa huyo bibi achaBaada ya malkia kufa sio
Ewaaa..kama hilo li avatar lako hapo 😄🤣Kweli asee licamilla lina minyama nyama supu supu[emoji38][emoji38][emoji1787]
[emoji14][emoji14] meona eehEwaaa..kama hilo li avatar lako hapo [emoji1][emoji1787]
Sasa wewe Africa upendwe Kwa lipi ?[emoji3][emoji3]kasome kitabu kinaitwa THE DAY PRINCESS DIANA DIED, utajua kisa na mkasa cha princess kumuacha king Charles na kwenda kuanzisha mapenzi na mtoto wa billionaire wa Uk, Dodi, princess diana alikuwa ananyanyasika full kipigo kutoka kwa king Charles, charles mapenzi yake ayakuwa kwa Diana ni kama alijikuta tu kwenye ndoa naye, kwa kushinikizwa , ivyo charles alitafuta kimada ambaye sa hivi ndo mke wake,na ndo queen sa hivi, diana baada ya kuchoka manyanyaso akaamua atafute upendo ndo akajikuta kwa Dodi, icho kitu kilimuuzi marehemu queen Elizabeth na ikawa kama aibu kwa royal family, na ili kuzuia aibu zaidi , queen Elizabeth wakapanga assassination ya Diana, wakavizia ameenda france kula bata wakatengeneza ajali iliyomuua, iyo royal family wanaroho mbaya kisenge kuanzia queen Elizabeth , we huoni hadi harry kaamua kuwakataa kwa sababu za ubaguzi, kama queen na wanae walikuwa wanambagua harry na wife na watoto wa harry kisa ya asili ya merghan vipi kuhusu kuwapenda ngozi nyeusi na africa?
Dada yake nani atatawazwa kuwa Malkia?Duh ! Dunia inakwenda kasi sana. Ni juzi juzi tuu habari za mahusiano na kifo cha diana vilipamba moto, leo William anaonekana mzee mkongwe kweli kweli.
Natabiri huyu jamaa anaonekana na misongo ya kufa mtu na hawezi kumaliza ufalme wake ,atang'atuka kama babu yake Edward III na dada yake atatawazwa kuwa malkia. Ukoo huo ambao siuelewi maana wawe wa ujombani wanaongoza ila wanawake wanaonekana wapo imara zaidi ya wanaume
Ukiwa kwenye huu mwili, halafu uwe kwenye mamlaka ya kifanyike hiki na kisifanyike hiki, hii sentensi yako haina maana. Inapata maana kwa siye wasaka tonge.Maisha bana sasa huyu bibi alipata faida gani...nae mbona kasepa!
Kwani kuna ambae hatakufa?Maisha bana sasa huyu bibi alipata faida gani...nae mbona kasepa!
Jinga HiloUkiwa kwenye huu mwili, halafu uwe kwenye mamlaka ya kifanyike hiki na kisifanyike hiki, hii sentensi yako haina maana. Inapata maana kwa siye wasaka tonge.
Alifanya hivyo sababu ya stress toka kwa CharlesKiufupi aliigawa Sana papuchi yake
Sidhani kama ni kweli wangeshamuua zamani tuYeah kuna za chinichini kwamba Harry ni mwana haram, wanasema Princess Diana alikuwa anacheat na Dodi wakati yuko na Charles,
Ndio maana dogo haeleweki eleweki
Mbongo Kwa uongo [emoji1][emoji1][emoji1]Yeah kuna za chinichini kwamba Harry ni mwana haram, wanasema Princess Diana alikuwa anacheat na Dodi wakati yuko na Charles,
Ndio maana dogo haeleweki eleweki
History will always put us in our right places!!!!Dakika ishirini(umeipata hiyo? Ambulance inakwenda kabla ya ajali kutokea) kabla ajali haijatokea, ambulance iliondoka kutoka kwenye American Military Hospital in Paris kwenda kumchukua Diana. Akachukuliwa Diana akapelekwa kwenye Ile hospitali ya Wamarekani ingawa hospitali nyingine ilikuwepo karibu.
Lakini mimi napinga watu kuibua hizi scandals wakati huu wa maombolezo. Inaonyesha disrespect for the dead.
Haya mambo yalikuwa yanasemwa siku mbili tu au tatu baada ya ajali kutokea ili kuwasuta wale waliokuwa wanatangaza habari za uongo. In other words,haya mambo yalikuwa yanasemwa in real time, wakati ule ule yalipokuwa yanatokea. Lakini ukiyazungumzia sasa,unafukua makaburi,na hilo ni kosa
Kwanini unaamimi.hivyo?Dodi na Diana walistahili kifo jcha kupanga japo walikufa natural death.
MuhamadiansDodi alikua dini gani?
Asili ya Africa ya kumulika na Tochi.Ubaguzi ni kitu kibaya sana,lakini mwanae wa marehemu amechukua mtu mwenye asili ya Africa ndiyo maana mama yetu SSH ameenda msibani.
Ilipimwa DNA.Diana nafikiri alikuwa na pepo la ngono. Kuna uwezekano mkubwa Harry siyo mtoto wa Charles.
Huyu mfale si ana dada yake?Dada yake nani atatawazwa kuwa Malkia?