Dodi Al Fayed mchumba wa Princess Diana mpaka Kifo!

Dodi Al Fayed mchumba wa Princess Diana mpaka Kifo!

Ina maana Diana aliingilia mahusiano ya watu yaliyokuwepo kwa muda mrefu ?
Inawezekana kwa baadhi maana 1981 ndio aliolewa na 1986 Di akakutana na Hewitt huku Buckingham Palace akifundishwa farasi ndipo jamaa anasema eti aka fall in love huku akijua Di kaolewa halafu alikuwa anamjua Chaz vizuri

Hao wengine walikuwa na familia zao nafikiri
 
Siyo ubaguzi.Kuna watu hapa duniani huwa hawaeleweki baada ya dakika mbili watafanya kiroja gani!Siyo wa kuwaamini.And,the only good way of keeping your beloved ones safe from the enemies,is to keep the distance!😂😂😂😂

siku zote mbaguzi hua hajihisi kuwa yeye ni mbaguzi, wewe ni mmoja wao.
 
Dada yake kivipi wakati mwamba ana mtoto?
Kwani hata wanawake si wapo kwenye list ya ufalme? Itawezekana vip mtoto wa philip awe mfalme kama baba yake atangatuka wakati philip ana dada yake?
 
Kwani hata wanawake si wapo kwenye list ya ufalme? Itawezekana vip mtoto wa philip awe mfalme kama baba yake atangatuka wakati philip ana dada yake?
Wapo kwenye list ya Ufalme lakini sio hivyo unavyofikiri wewe wanavyopangwa

Anne Princess Royal yaani Dada yake na Charles ni wa 16 kuwa malkia yaani atakufa hajaupata
Maana wapo 15 mbele yake
 
Nilisoma habari za kifo cha princess D lile tukio lilipangwa na mbaya zaidi hata mwandishi alofatilia ile ajali aliwekwa kizuizini huko Marecan na kitabu chake kilizuiliwa kuuzwa.
Kikubwa nilicho-note mzungu na mwarabu ni paka na panya na hatua walokuwa wamefikia Diana na huyo mchumba wake mwenye asili ya Misri ingekuwa ni aibu kwa familia ya malkia Elizabeth piga ua ingefika kipindi mwanaharam angekuwa ndani ya kasri la malkia

Huyo Diana alijipatia aise, mwarabu kabisa, ngozi ya mtume ile acha kabisa. Ila sikupenda uchumba wao, uchi uchi tu. Mungu hapendi huo ujinga.
 
Huyo Diana alipata bahati sana kwa mwarabu, ngozi ya mtume ile acha kabisa. Ila sikupenda uchumba wao, uchi uchi tu. Mungu hapendi huo ujinga.
Unatamani ingekuwa wewe sio ?
 
Nje ya mada,.

Waingereza (watawala) hawashibani na waarabu, vipi waarabu wanalimezea soko la mpira wa miguu England kwa kununua timu hasa za pale EPL, itakuaje huko mbeleni.?!

Au wanawa time wapite na vichwa kama bwana Roman Abramovic?

Wamarekani ndo wanapata nafasi kubwa kuzinunua timu. Kwa epl mpaka sasa zile best 4 za awali zipo chini ya wamerekani.
Liverpool
Manchester utd
Arsenal
Chelsea
Wangeleta hizo pesa hapa KISIJU tujenge Misikiti na Madrassa.
 
Eeh! Hii sikuijua Mkuu.
We kula huku mi nakula huku
Yaani mambo yalikuwa mabaya sana
Yaani Camilla alikuwa na sura ngumu tangu mdogo haha
Screenshot_20220921-145940_Google.jpg
 
kwa story hii bibi hakuwa na noma,mwenye noma ni charles kumbe.

yeye ndiye kamvuruga dianah mpaka akawa kichaa wa mapenzi.
 
Back
Top Bottom