NANGA WA DEPO
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 917
- 1,201
muongo Mimi nilikuwepo hapo ni msalato mnadani...najua kilichotea ni kwamba Watu walichukia kwa sababu msafara wa Rais haukusimamaEdited clip wadanganye wanasaccos.
..clip ya siku nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muongo Mimi nilikuwepo hapo ni msalato mnadani...najua kilichotea ni kwamba Watu walichukia kwa sababu msafara wa Rais haukusimamaEdited clip wadanganye wanasaccos.
Unawezaje kusema mtu ni muongo bila kumthibitishia kwa ushahidi ni muongo?muongo Mimi nilikuwepo hapo ni msalato mnadani...najua kilichotea ni kwamba Watu walichukia kwa sababu msafara wa Rais haukusimama
..clip ya siku nyingi.
Tena watu hatari sanaCCM ni genge la wahuni, nina wasiwasi na mtanzania anayeweza kuunga mkono genge hili huenda akawa ana matatizo ya ufahamu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39]Sema mkuu amechukia Nini uyo peremendeUnawezaje kusema mtu ni muongo bila kumthibitishia kwa ushahidi ni muongo?
Mimi nimeleta ushahidi wa video Mavunde kuzomewa na wananchi wa Dodoma mjini kipindi alipoenda kushukuru.
Unajua kwanini polepole amekataza kushukuru?[emoji23][emoji23]
Tutapinga kwa maandamano yasiyo ya kikomoWanalazimisha kuongoza kwa dola
Hakuna kitu mkuu hatutafanya chochoteTutapinga kwa maandamano yasiyo ya kikomo
Yaani nitamparua parua kwa facts mpaka akojoe dagaaa![emoji23][emoji23][emoji373][emoji374][emoji373][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39]Sema mkuu amechukia Nini uyo peremende
Tulia we mrembo, kazi hizi tunaziweza wanaume wa shokaLabda Ubeljiji nyie Id zenu mmeficha mnandamana kwa keyboard pumbafuuuhuu
Kwa mara ya kwanza Tanzania inaenda kupoteza ....La Kuvunda Halina Ubani
Tenda Miujiza Mwaka Huu Usiishe Bila Kutenda Miujiza
[emoji16][emoji23][emoji3][emoji28][emoji1][emoji2]
Jinsi lilivyo jinga n lipumbavu linaenda kushukuru wananchi ambao hawakumchagua,lingeeda ofisi za nec na ikulu kumshukuru mekoHabari wakuu!
Jana, Oct 30 2020 Mbunge aliyeshinda jimbo la Dodoma mjini kwa tiketi ya CCM, ndugu Anthony Mavunde ameshindwa kuongea na wananchi wa Dodoma mjini baada ya kundi kubwa kuanza kumzomea.
Kitu hicho kilimpelekea kuingia kwenye gari na kuondoka kwa aibu kubwa.
Wananchi hao walisikika wakisema " WE NENDA, HATUKUTAKI , HATUJAKUCHAGUA, PANDA GARI UENDE ZAKO"
Hali iliyozua maswali mengi mtandaoni kwamba inakuwaje kuzomewa na kundi kubwa vile tena kipindi alipoenda kutoa shukrani kuchaguliwa?
Hii inaashiria nini tuendako? Na Dodoma si ngome ya CCM?
Je, wananchi wanatuma ujumbe gani kwa hili tukio?
Kusema wenye nchi ni wananchi?
Nisiwachoshe kwa maswali tazama mkasa mzima hapo chini.
View attachment 1616367
Aisee.. Kujifariji tu hamjamboTunaanza rasmi maandamano kesho, wasubiri na bado. Genge la magu wangejua wangeacha uchaguzi wa haki, bado jiwe angeshinda tu sababua anapendwa na wengi sana, ila wabunge wengi wasingepata nafasi. Yeye kalikoroga
Nipo hapahapa Dom. Nyie si mmeiba Kura kwa mabox. Sasa subiri uone Kama inji hii itatawalika kirahisi. Zitto wamesui mpaka wakala wake kuingia chumba Cha kujumliehia.sasa sasa sasa mtaona Cha mtema kuni. Na Kama mungu yupo Basi naomba anisaidie Mana namuwinda Sana jpmYaan hapa upo tandahimba unasema utakua na mawe😂 Nyie ndio Nguvu ya Umma au sio😂😂
Hayo hayatuhusu nyinyi kusanyeni makaratasi na kuchanachana mbele ya kamera.