denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Umeona mbali, wenyewe sura zao zimekunjamana hawana amani, hiyo nguvu ya kushangilia wataitoa wapi?!Teh teh
Alitumwa kama chambo kupima upepo
Wameona upepo hausomeki ...Polepole kaja na tamko kuwa hawaruhusiwi kusherehekea...
Washerehekee na nani kama wananchi wanawazomea....
Pole pole bana