Uchaguzi 2020 Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi

Uchaguzi 2020 Dodoma: Anthony Mavunde azomewa na wananchi

Mkuu, hapo alipo zomewa ilikua mitaa gani?
Maswali gani hayo?
 
Mbinu ile ile ya Wapinzani....."Rweikiza azomewa....", "JPM azomewa Bukoba..." aina hii ya 'siasa' itawachukua miaka mingine 100 kupewa uongozi..!
Kwanini msiwe wabunifu hata kukopy kwa nchi jirani mf. Kenya?
Mbinu au ni UHALISIA?

Kuna mtu wa upinzani kamzomea Mavunde hapo?

Si wananchi wenyewe tena kambi ya CCM?

Ndio maana kila mtu hadi dunia inashangaa ushindi huu wa kutengenezwa.


Nobody is happy from the heart!
 
Mkuu haingii akilini watu wa Tarime vijijini wamkatae John Heche alafu watu wa Nkasi ndio wamchague Aida Kenani[emoji23][emoji23]

Wizi Mtupu.
Heche ana lipi la ajabu, kuomba serikali inunue ndege na huyo huyo kupinga ununuzi wa ndege? Umetumia kigezo gani kulinganisha Tarime na Nkasi...jamaa mmoja hapa JF alisema Ndalichako hawezi kuchaguliwa kwasababu ya "dini" yake!
 
Heche kuchaguliwa vizuri tena kwa kura nyingi mno lakini mwita waitara kalinajisi kabaka sanduku la kura kwa njia haramu za kishetani
Isitoshe wakafanya mauaji ya kada wa chadema ( RIP)

Huu ni USHETANI.
 
Niko tayari kujiunga na kikundi cha ugaidi bila malipo

Najua huna roho mbaya hiyo magaidi ulimwenguni kote wanapigwa vita hakuna amani katika ugaidi..tujifunze kukubaliana na matokeo.

Katika ushindani kuna kushinda na kushindwa na ukishindwa jipange kwa mashindano yajayo.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Mbinu au ni UHALISIA?

Kuna mtu wa upinzani kamzomea Mavunde hapo?

Si wananchi wenyewe tena kambi ya CCM?

Ndio maana kila mtu hadi dunia inashangaa ushindi huu wa kutengenezwa.


Nobody is happy from the heart!
Hakuna uchaguzi Tanzania kilichofanyika ni CCM kuulawiti kuubaka uchaguzi kwa njia haramu za kishetani
 
Heche ana lipi la ajabu, kuomba serikali inunue ndege na huyo huyo kupinga ununuzi wa ndege? Umetumia kigezo gani kulinganisha Tarime na Nkasi...jamaa mmoja hapa JF alisema Ndalichako hawezi kuchaguliwa kwasababu ya "dini" yake!
Unadhani nitatumia nguvu kukuelewesha wakati ukweli unajua kuhusu wizi huu na ushahidi wa picha na video upo?

Lissu kwenye kufunga kampeni alitangaza kuna taarifa matokeo yapo mezani magu ana kura 12m tayari na unabii ukatimia.

Walishindwa kubadilisha kwasababu hesabu ingefail.[emoji23][emoji23]
 
Mbinu ile ile ya Wapinzani....."Rweikiza azomewa....", "JPM azomewa Bukoba..." aina hii ya 'siasa' itawachukua miaka mingine 100 kupewa uongozi..!
Kwanini msiwe wabunifu hata kukopy kwa nchi jirani mf. Kenya?
Una maanisha mbinu ya kujitoa mhanga au mbinu gani hiyo? iweke wazi basi hiyo mbinu ili watu waijue, labda kuna wa kujitolea humu na kuifanikisha kwa niaba ya wengine...
 
Najua huna roho mbaya hiyo magaidi ulimwenguni kote wanapigwa vita hakuna amani katika ugaidi..tujifunze kukubaliana na matokeo.

Katika ushindani kuna kushinda na kushindwa na ukishindwa jipange kwa mashindano yajayo.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Ukubali kuporwa HAKI?

Watu wanaiba na kupora masanduku ya kura ili kupika data alafu tukubali?

Hakuna kitu kama hicho kwa MTU mwenye akili timamu.

Mmetudharau wananchi kutupa watu hatujawachagua mkajaza makura feki.
 
Najua huna roho mbaya hiyo magaidi ulimwenguni kote wanapigwa vita hakuna amani katika ugaidi..tujifunze kukubaliana na matokeo.

Katika ushindani kuna kushinda na kushindwa na ukishindwa jipange kwa mashindano yajayo.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Ugaidi huletwa na watu kunywimwa haki zao watu kuporwa haki zao, CCM ndiyo inatengeneza mazingira ya ugaidi, CCM ni chanzo cha ushetani wote Nchini, Ushindani upi? Kuna kushinda na kushindwa? Magufuli kashinda uchaguzi upi? Wateule wa wakurugenziccm NECCCM Tumeccm na Polisiccm eti wanajiita washindi? Kwa uchaguzi upi? Hongera mtukufu magufuli kwa kitu kipi? au unampa hongera kwa kupora Nchi kwa njia haramu za kishetani pasipo idhini ridhaa ya wapiga kura?
 
Habari wakuu!

Jana, Oct 30 2020 Mbunge aliyeshinda jimbo la Dodoma mjini kwa tiketi ya CCM, ndugu Anthony Mavunde ameshindwa kuongea na wananchi wa Dodoma mjini baada ya kundi kubwa kuanza kumzomea.

Kitu hicho kilimpelekea kuingia kwenye gari na kuondoka kwa aibu kubwa.

Wananchi hao walisikika wakisema " WE NENDA, HATUKUTAKI , HATUJAKUCHAGUA, PANDA GARI UENDE ZAKO"

Hali iliyozua maswali mengi mtandaoni kwamba inakuwaje kuzomewa na kundi kubwa vile tena kipindi alipoenda kutoa shukrani kuchaguliwa?

Hii inaashiria nini tuendako? Na Dodoma si ngome ya CCM?

Je, wananchi wanatuma ujumbe gani kwa hili tukio?

Kusema wenye nchi ni wananchi?

Nisiwachoshe kwa maswali tazama mkasa mzima hapo chini.

View attachment 1616367
Edited clip wadanganye wanasaccos.
 
Back
Top Bottom