TANZIA Dodoma: Asia Saidi, Mwenyekiti wa BAWACHA afariki dunia kwa kupigwa na mshale

TANZIA Dodoma: Asia Saidi, Mwenyekiti wa BAWACHA afariki dunia kwa kupigwa na mshale

R.I.P dada yetu. Tusubiri ripoti ya polisi. Picha yake tafadhali
 
Uchaguzi wa mwaka huu, Mungu atusaidie sana amani itamalaki na uvumilivu uwepo kila mahali,bila ya kujali haki imetendeka au laah.
"bila kujali haki imetendeka au lah"

Haki ndiyo msingi wa amani,bila hiyo huwezi kupata amani,labda kupata uvumilivu tu...
 
Unaweza kuta 7bu ni mambo haya haya ya siasa
Awamu hii ya 5 hilo linawezekana kbs...najua serikali haitafanya chochote hapo kama tu ilivyotokea kwa kifo cha Mawazo.
Hata hivyo MUNGU yupo na damu ya mtu haipotei hivihivi malipo ni hapahapa duniani.

R.I.P Asia.
 
Kupoteza roho ya mtu kwa sababu yoyote ile ni jambo lisilovumilika, ni ovu, na linastahili kulaaniwa haswa, sio kusema tu RIP.

Natumai polisi watafanya uchunguzi wao, wawakamate wahusika wafikishwe panapostahili sheria ichukue mkondo wake.

Nalaani kabisa.
 
Hii huenda ikawa ni kazi ya watu wasiojulikana na lengo likiwa ni kuanza kutisha watu.

Subiri kuona danadana za uchunguzi wa hili tukio ndio utajua ni kina nani wanahusika.

Ni kama vile mtu ajifichae nyuma ya "keyboard" na kurusha makombora ya matusi na kejeli.

Mwanamme mzima ashindwa kukutana uso kwa uso na bi Asia abishane nae kwa hoja badala yake aamua kumtwanga mshale!

Kuna baadhi ya watanzania bado wanaishi miaka 60 na zaidi nyuma kwenye fikra zao.

RIP Bi Asia.
 
Chadema wameanza kuuwana wao kwa wao.

Kwa nini wasifanye kura za maoni kama ccm tu
Kama hajawahipo kuitwa polis na kuwekwa ndani kwa sababu za kisiasa hapo ungaliwasema chadema lkn week 2 tu zimepita katoka polis kwa ishu za kupachika bendera za chama cha chadema hapo tutasema hiyo ni mipango ya mda mrefu kwa kile kivuli munachojifichia munacho watangazia umma kama niwatu wasio julikana
 
Chadema.bana,hata kqma alikua anaiba mume wa mtu,wao wanasema ni siasa
Chemba nzima chadema hawafiki hata 200,
 
Chadema.bana,hata kqma alikua anaiba mume wa mtu,wao wanasema ni siasa
Chemba nzima chadema hawafiki hata 200,
Siku utakapo fiwa na mumeo/mke/mama yako akili ya kibinaadamu huenda itakurudia.
 
Back
Top Bottom