Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Polisi wa nini sasa kama sio kumpa promo huyu confused personalityMbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima amefika Bungeni Dodoma muda huu kuitikia wito uliomtaka kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Hajavaa barakoa!Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima amefika Bungeni Dodoma muda huu kuitikia wito uliomtaka kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Police ndugu zao ccmPolisi wa nini sasa kama sio kumpa promo huyu confused personality
Wawe makini sana, Askofu Gwajima kwa sasa anaonekana kama ndiye mkombozi wa kweli wa Watanzania.Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima amefika Bungeni Dodoma muda huu kuitikia wito uliomtaka kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Mbona hakumfufua baba yake?Leo lazima kiti kiwake moto, nchi hii, imechezewa sana inahitaji watumishi bora kama Askofu Gwajima, kuitakasa kwa upako wa ufufuo na uzima. Chonde chonde wasije kumKorimba, mtumishi wa mwenyezi Mungu Mkuu, DR. Rashid Joseph Gwajima! Microphone, kaa mbali nayo mita moja.
Wakati wa kutoka akitoka bila escort ya police jua Gwajima kawashinda hoja.Na polisi tena bungeni?!
Kwa Prof Assad na Pascal Mayalla haikuwa hivi!