Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 17,251
- 22,929
Hivi unajua athari za barakoa wewe. kweli.Yaani umeonyesha uzuzu wako dhahiri.Hajavaa barakoa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unajua athari za barakoa wewe. kweli.Yaani umeonyesha uzuzu wako dhahiri.Hajavaa barakoa!
Mkombozi kwenye lipi?Wawe makini sana, Askofu Gwajima kwa sasa anaonekana kama ndiye mkombozi wa kweli wa Watanzania.
Aliwahi kukufufua?Leo lazima kiti kiwake moto, nchi hii, imechezewa sana inahitaji watumishi bora kama Askofu Gwajima, kuitakasa kwa upako wa ufufuo na uzima. Chonde chonde wasije kumKorimba, mtumishi wa mwenyezi Mungu Mkuu, DR. Rashid Joseph Gwajima! Microphone, kaa mbali nayo mita moja.
Angekuwa mtu wa upinzani mngesema kuwa haina tatizo kwa kuwa yuk chini ya vyombo vya usalama, ila kwakuwa ni mwanaccm mwenzenu mnashangaa? Lema/Lissu aliposema wakimalizana na upinzani watawageukia wa chumbani hamkuwaelewa?Bwana Yesu asifiwe!
Nimemuona askofu Gwajima akiingia bungeni akiwa ameongozana na walinzi wa amani.
Je ndio ameshakamatwa kufuatia agizo la wizara ya afya?
Mungu ni mwema wakati wote!
Lini baba yake kafaMbona hakumfufua baba yake?
Ni ufufuo wa kiroho, si ule wa damu na nyama. Askofu Gwajima ndiye tumaini la wanyonge aliyebaki, na kijana machachari, Mheshimiwa, Humphrey Polepole.Mbona hakumfufua baba yake?
yuko mess up kishenziPolisi wa nini sasa kama sio kumpa promo huyu confused personality
Mkombozi kutoka kwenye chanjo ya Corona,kwa kuwa amechangia pakubwa kuwa alert Watanzania kwamba chanjo ya C-19 si salama,which is 100% true.His message ime-circulate extremely fast.Mkombozi kwenye lipi?
kwahiyo wale aliokuwa anatuonyesha kuwa kawafufua ilikuwa utapeli?Ni ufufuo wa kiroho, si ule wa damu na nyama. Gwajima ndiye tumaini la wanyonge aliyebaki, na kijana machachari, Mheshimiwa, Polepole.
wamrundike tu, maana si salaama kwa jamiiBwana Yesu asifiwe!
Nimemuona askofu Gwajima akiingia bungeni akiwa ameongozana na walinzi wa amani.
Je ndio ameshakamatwa kufuatia agizo la wizara ya afya?
Mungu ni mwema wakati wote!
Ujue wanavyotaka kumlia timing!Na polisi tena bungeni?!
Kwa Prof Assad na Pascal Mayalla haikuwa hivi!
Hakuna uhusiano,haya ni mahojiano tu,Bunge halina mamlaka hayo.Bwana Yesu asifiwe!
Nimemuona askofu Gwajima akiingia bungeni akiwa ameongozana na walinzi wa amani.
Je ndio ameshakamatwa kufuatia agizo la wizara ya afya?
Mungu ni mwema wakati wote!
Mtu labda ni kijana na afya njema, hata Corona ikikupitia una nafasi kubwa ya kupona lakini unashinda mitandaoni kuwatisha watu wenye afya zinazohitaji chanjo wasichanje kwa kuongozwa na hisia tu.Mkombozi kutoka kwenye chanjo ya Corona,kwa kuwa amechangia pakubwa kuwa alert Watanzania kwamba chanjo ya C-19 si salama,which is 100% true.His message ime-circulate extremely fast.
Mmoja analiwa kichwa hapoKamadi ya Madili na mzee wa madili wamekutana.
Hapo ndipo wataharibu kabisa!Hata wale ambao walikuwa hesitant ndio itatoka.Ujue wanavyotaka kumlia timing!
Gwajima anaichezea CCM kweli, wakuu wa siasa zote nzuri na mbaya!
Ataijua Dodoma.
Amkumbuke Kolimba, katibu mkuu wa CCM.
Hivi hayo mavazi yake kumbe huwa anatoka nayo mle kwenye lile sinagogi lake la shetani