TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Nimepanda ghorofa nne kupitia ngazi nikiwa nimeivaa, kidogo nizimie! Sirudii tena mchezo huo.Hivi unajua athari za barakoa wewe. kweli.Yaani umeonyesha uzuzu wako dhahiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepanda ghorofa nne kupitia ngazi nikiwa nimeivaa, kidogo nizimie! Sirudii tena mchezo huo.Hivi unajua athari za barakoa wewe. kweli.Yaani umeonyesha uzuzu wako dhahiri.
A stupid comment.Mtu labda ni kijana na afya njema, hata Corona ikikupitia una nafasi kubwa ya kupona lakini unashinda mitandaoni kuwatisha watu wenye afya zinazohitaji chanjo wasichanje kwa kuongozwa na hisia tu.
Dawa unazomeza na chanjo ulizodungwa utotoni usalama wake uliudhihirisha vipi?!
Nimepanda ghorofa nne kupitia ngazi nikiwa nimeivaa, kidogo nizimie! Sirudii tena mchezo huo.
CCM na Serikali yake hawamuwezi GwajimaUjue wanavyotaka kumlia timing!
Gwajima anaichezea CCM kweli, wakuu wa siasa zote nzuri na mbaya!
Ataijua Dodoma.
Amkumbuke Kolimba, katibu mkuu wa CCM.
Ngoja tuoneMbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima amefika Bungeni Dodoma muda huu kuitikia wito uliomtaka kufika mbele ya Kamati ya Maadili na Madaraka ya Bunge ili kujibu tuhuma mbalimbali ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Ila unachekesha sana jamanNi ufufuo wa kiroho, si ule wa damu na nyama. Askofu Gwajima ndiye tumaini la wanyonge aliyebaki, na kijana machachari, Mheshimiwa, Humphrey Polepole.
Askofu Gwajima yuko kimataifa zaidi yule Kolimba alikuwa kitaifa!Ujue wanavyotaka kumlia timing!
Gwajima anaichezea CCM kweli, wakuu wa siasa zote nzuri na mbaya!
Ataijua Dodoma.
Amkumbuke Kolimba, katibu mkuu wa CCM.
Barakoa ni mpango wa kuua watu pole pole,sijui kwa nini watu wamekubali upuuzi huu.Kama mtu amesoma kidogo tu akifanya utafiti kidogo atapata ukweli wote.Mimi I must be frank,I hate seeing a person in a face mask.Namuona kama mtu ambaye amekubali kuwa yeye ni mtumwa na mjinga.Nimepanda ghorofa nne kupitia ngazi nikiwa nimeivaa, kidogo nizimie! Sirudii tena mchezo huo.
Hapo ndipo wataharibu kabisa!Hata wale ambao walikuwa hesitant ndio itatoka.
Lakini usisahau kwamba Watanzania walio wengi, hata security forces, zinamuona Gwajima kama hero kwa kuwa amewatetea wasichanjwe kwa lazima.Reaction ya Sirro was a testimony to this.
Wanasema unachanjwa afu unaambukizwa afu unaumwa afu usiilaumu sirikale haihusiki na kuumwa kwako afu UNAKUFA!!Mambo ya chanjo...nguvu kubwa inatumika kushawishi watu...hii science ya chanjo sijaielewa, unachanjwa huponi
Askofu Gwajima yuko kimataifa zaidi yule Kolimba alikuwa kitaifa!