LGE2024 Dodoma: Baadhi ya wasimamizi wa uchaguzi hawapo vituo vya kupigia kura. Mawakala wa vyama waingia mitini, askari wamekuwa wasimamizi wazuri

LGE2024 Dodoma: Baadhi ya wasimamizi wa uchaguzi hawapo vituo vya kupigia kura. Mawakala wa vyama waingia mitini, askari wamekuwa wasimamizi wazuri

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mzee wa Code

Member
Joined
Sep 23, 2024
Posts
61
Reaction score
91
Baadhi ya Wasimamizi wa Uchaguzi hawapo katika Vituo vya Kupigia Kura Jijini Dodoma, Mfano ni Kituo cha kupigia Kura Ofisi ya kata ya Chamwino hakuna msimamizi wa uchaguzi na Askari wote kwa pamoja hawapo kwenye vituo vya kupigia kura, Msimamizi wa Kituo cha kupigia kura Mtaa wa nduka chamwino pia hayupo katika kituo chake amewaachia uzimamizi makarani wa kupigisha kura na Askari

Kukosekana mawakala wa vyama, vituo vingi vya kupigia kura mawakala wa vyama hawapo vituoni kabisa uku makarani wakifanya kazi ya usaidizi wa kuwapigia kura baadhi ya wapiga kura

Ajabu katika uchaguzi huu askari wamekuwa wema sana hawataki kabisa kujiusidha kwa namna yoyote ile ya upigaji kura wamekuwa waangalizi wa usalama na sio vinginevyo wanatoa ushirikiano kwa wapiga kura kwa kiwango ambacho nimeshangaa jamaa wamelishwa nini

WhatsApp Image 2024-11-27 at 13.01.37.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-27 at 13.01.38.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-27 at 13.01.39.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-27 at 13.01.40.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-27 at 13.01.41.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-27 at 13.01.42.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-27 at 13.01.43 (1).jpeg
WhatsApp Image 2024-11-27 at 13.01.43.jpeg
WhatsApp Image 2024-11-27 at 13.01.44.jpeg
 
Jamani???
Katika mkoa wenye RC wa hovyo, na WA mitandaoni ni Dodoma
 
We jamaa sijui hata umeandika nn
Mm nilidhani kuwa shughuli ya upigaji kura imesimama kumbe shuguli inaendelea.
Kwahy shida ako nini? Unataka hata msimamizi asiende kukojoa? Mkuu tafuta lawama zingine sio katika hili
 
Back
Top Bottom