Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Azimio la Bunge kuhusu Pendekezo la Kuridhiwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini leo Juni 10, 2023.


Mifumo yote ya Tehama itakayosimikwa itasomana na mifumo tote ya serikali....

Hapo tutakuwa uchi kama Taifa kwani wadukuaji hawatotuacha salama
 
Azimio la Bunge kuhusu Pendekezo la Kuridhiwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini leo Juni 10, 2023.


kwa haya makofi ya kina msukuma, kibajaji, lusinde, na wengine walioishia lasaba mkataba umepita, CCM ni ile ile.
 
Maana DP World wanapewa Berth 1-7 tu
8-11 zinabaki TPA kama kawaida

Mafuta, Gesi, Magari yanabaki TPA

Ulinzi unabaki kwa Tanzania

Mtwara na Tanga hazitahusika
Napenda mngesoma mkataba vizuri kabisa badala ya kusikiliza porojo za mbarawa labda watuambie kuwa ule mkataba ulio sainiwa ni fake
 
DP world ndio kampuni pekee yenye uzoefu katika uwekezaji wa Bandari, imewekeza katika nchi 6 ktk bara la Afrika na pia katika Bara la ulaya.

hii ni vita kati ya Makampuni mengine yaliyo kosa nfasi ya kuwekeza katik bandari yetu dhidi ya DP World.

tuwe makini tusicheze ngoma tusio ijua.
DP world ndio kampuni sahihi katika uwekezaji wa Bandari yetu.
 
Manufaa


Kupunguza muda wa Meli kukaa Nangani kutoka Siku 5 hadi Siku 1

Muda wa kushusha Makasha utakuwa siku 2

Gharama za kusafirisha kupungua

Gharama za usafirishaji utatoka dollar 12,000 hadi 6000

Kuongezeka kwa Tani za mizigo

Kuongezeka kwa mapato kutoka Tril 7 hadi 29
Unaowaamini hawa?
 
Wanatabirika sana. Hoja itapita. Wakina Halima wata abstain. CCM wote ( pamoja na wale ambao watakuwa wakali sana na kuuliza maswali magumu wakati wa majadiliano) wataunga mkono. Ndivyo itakavyokuwa.

Amandla...
Naomba Mungu isiwe hivyo😭😭😭
 
Back
Top Bottom