Anaongea pumba tu.Kishikwambi cha mbunge wa iringa mjini Jesca msambatavangu ni KICHAFU kava CHAFU kweli, ni jinsi gani hawa watu ni wachafu kiakili mpaka mwili wao na sijui huko chini kukoje
Na wewe pika majunguFitna na majungu yote ya mitandaoni anayapika yeye.
Toa neno [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Tusifike huko
Kama anasukumiwa vileAnaongea pumba tu.
Ni kweli kwa sababu, shughuli za bandar haziwezi kuisha muda wake, ni shughuli za kila siku hadi dahariMkataba ni wa milele
🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Tokea Uhuru Wataalamu ndio wameongoza kutafuna mali za umma.
Wewe pia ukipewa ofisi utaiba tu.
Fursa iliyobaki ni sisi kuuzwaKhe! Serikali ya Tz itawaambia Waarabu wa Dubai fursa zingine zilizopo nchini ili waje wawekeze zaidi [emoji2]
Mie napakua majungu.