Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Jamani eeh, mimi natoka kidogo. Likishapitishwa hili naomba mnistue nianze kunywa bia hukohuko nitakapokuwepo.
Halafu tukimaliza hili tugeukie Mwendokasi na SGR.
Mwendokasi hadi inatia huruma, zile barabara zimeshaanza kuota majani, vituo vimeshachakaa, mabasi nayo yapoyapo yanatangaza biashara.

SGR wameshaanza kushusha mabehewa ya ghorofa second hand toka Ujerumani 😂😂

Bado tunayasubiri yale mapya ya Korea
 
Kuweni specific ajira zipi za Watanzania zitakazo lindwa ili ieleweke. Kwa wafanyakazi wa PTA ukweli ni kuwa panga kubwa linakuja. Muwekezaji analeta mifumo ya kisasa. Mifumo yote ya kisasa ni robots oriented. Kazi ya watu 100 ni robot 1 tu pengine na operator mmoja.

Suala la kusema anakusanya mizigo mingi ni mjinga tu anaye weza kudhania ni lazima hiyo mizigo apitishie DSM. Huyu anatafuta na bandari za Kenya akisha pata mjue mtagawana hiyo mizigo. Hao mnao waita washindani ambao walikuwa wanapitisha mizigo hapa kwetu kabla hatujafungamana na DP wanaweza wasipitishe mizigo yao DSM. Yako mambo mengi mno ya kufikirisha si rahisi/mteremko.
 
Bro hukuandika chochote cha maana zaidi ya kujisifia tu. Nimekuambia, niambie na nionyeshe nini tatizo kwenye huo mkataba We unaleta ngonjera na majigambo kuwa una jicho la kiroho.
Sibishani na mjinga mmoja , najua nini nasema mbele Mungu ,na sio kwa binadam mwenzangu ambae najua wote tufukiwa siku moja na kila mtu kwa mda wake ,pumbavu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbunge wa mkoa wangu msongoziii, anapuyangaaa hadi aibuu, huyo baba wa pembeni yake anatamani kucheka ila anajizuia tyuuh.

Anatia aibu huyu, na hilo dela lake ya buku teni, mxxxxiiiiiieeeeewwwww!!

Ubunge viti maalumu ufutwee, aibu hii sasa. Khaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbunge wa mkoa wangu msongoziii, anapuyangaaa hadi aibuu, huyo baba wa pembeni yake anatamani kucheka ila anajizuia tyuuh.

Anatia aibu huyu, na hilo dela lake ya buku teni, mxxxxiiiiiieeeeewwwww!!

Ubunge viti maalumu ufutwee, aibu hii sasa. Khaaah
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Maslahi ya nchi yepi? Ya kukodisha bandari
Chuo kikuu hufundishwa somo la kutumia HEKIMA..."tough decision making"......

UPANDE mmoja una UPIGAJI USIOKUPA KIKUBWA....

UPANDE WA PILI UNAKWENDA KUKUPA KIKUBWA kuliko ule mwingine....utahofishwa na upigaji wao ambao haujaanza kuonekana?!!!

#MamaAnaupigaMwingi[emoji120]
 
IMG_6853.jpg

IMG_6849.jpg

IMG_6845.jpg

IMG_6846.jpg

IMG_6851.jpg
 
Back
Top Bottom