Jamani eeh, mimi natoka kidogo. Likishapitishwa hili naomba mnistue nianze kunywa bia hukohuko nitakapokuwepo.
Halafu tukimaliza hili tugeukie Mwendokasi na SGR.
Mwendokasi hadi inatia huruma, zile barabara zimeshaanza kuota majani, vituo vimeshachakaa, mabasi nayo yapoyapo yanatangaza biashara.
Hapana storage ni kubwa na inahesabika kwa cubic meter regardless of the value TPA walikua wezi wakupitiliza bora tupate hao wapya,Mnada mara nyingi husababishwa na Kodi za tra, ama nakosea?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Wewe bibi hebu niache.Jifurahishe. Upo huru.
Vipi, unategemea kutembelea Uganda hivi karibuni?
Sibishani na mjinga mmoja , najua nini nasema mbele Mungu ,na sio kwa binadam mwenzangu ambae najua wote tufukiwa siku moja na kila mtu kwa mda wake ,pumbavuBro hukuandika chochote cha maana zaidi ya kujisifia tu. Nimekuambia, niambie na nionyeshe nini tatizo kwenye huo mkataba We unaleta ngonjera na majigambo kuwa una jicho la kiroho.
Storage na demurrage.Mnada mara nyingi husababishwa na Kodi za tra, ama nakosea?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Nimezima mpaka kwenye socket breaker kwa namna walivyo mu interupt ingawa mimi sio mwana CHADEMA
Ña Halima Mdee ni hivyo hivyo!Lazima iwe hivyo, kwa sababu aliowategemea walishamsaliti; ata ungekuwa wewe ungefanya nini?
hana cha maana alichosema mdee zaidi ya kubabaisha mradibapewe fedha tuNoma Sana wakuuu.
Huyu dada apewe uenyekiti wa chama chetu, ana maono mkubwa.
Hebu ziorodhesheterms za mikataba
Hisani imeisha lini duniani?!!!Acha kubisha na huyu mjinga, kuna watu ni hivyo sana, watu wamezoa kupewa hisani na matokeo yake ndiyo haya nchi haiendelei
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbunge wa mkoa wangu msongoziii, anapuyangaaa hadi aibuu, huyo baba wa pembeni yake anatamani kucheka ila anajizuia tyuuh.
Anatia aibu huyu, na hilo dela lake ya buku teni, mxxxxiiiiiieeeeewwwww!!
Ubunge viti maalumu ufutwee, aibu hii sasa. Khaaah
Kwa mazingira hayo, wote wanapambania ugali wao; hiyo ndio ajira yao.Ña Halima Mdee ni hivyo hivyo!
Chuo kikuu hufundishwa somo la kutumia HEKIMA..."tough decision making"......Maslahi ya nchi yepi? Ya kukodisha bandari
Classmate anazingua Carasco Putin