Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Huna akili.....Bandari.
OK, tayari mmeshauzwa nyie manamba wa bara.
Watu milioni 60 wanazidiwa akili na wala urojo milioni 1
😂😂😂😂😂 Mbavu zangu.[emoji1787][emoji1787]
Niliweka uzi humu ndani kuhusu chuki za "kitanganyika"...nikaishia kutukanwa matusi yote mpaka kuambiwa mimi ni mzanzibari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duuuh yaani Mnyaki mimi muungwana leo napelekwa Chokocho Pemba badala ya kwetu ziwani Matema Beach Kyela ?!!![emoji1787]
Upumbavu gani?huu upumbavu usijurudie.
Mbona muda mfupi hivyo? Mimi natamani ungekuwa ni wa Milele na Milele kabisa.Mkataba ni wa milele
Punguza kuvuta bange
P
Kwa hiyo wabunge wetu hawana elimu bora ?!!!Tatizo la Tanzania ni Elimu, Elimu, Elimu
Watu wangesomeshwa kwa kupewa Elimu bora wangesimamia maslahi ya nchi
[emoji1787][emoji1787]Niitowe wapi hoja na hoja ipo bungeni inajadiliwa sasa hivi.
Uko ndotoni....Hatuna Bunge.
Fedha ya nyoko.Yule ni capitalist. Hapo kaona faida.Kwa hiyo wabunge wetu hawana elimu bora ?!!!
Elimu bora inaingiaje katika kumkaribisha mwekezaji ambaye anakwenda kutuingizia fedha tele?!!!![emoji1787]
Ukweli ni kuwa bandarini juna mlolongo wa matatizo, kuanzia TRA mpaka Bandari yenyewe, mpaka custom officers, mpaka polisi wa bandarini, mpaka walinda usalama wetu.Mnada mara nyingi husababishwa na Kodi za tra, ama nakosea?
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Nimechoka balaa,atakuwa kalewa pombe huyu,sio bure,kaachana na hoja mezani,anamshambulia MboweHuyu Waitara anaongea nini?
Akitoka hapo akaanze kulia tenaHuyu Waitara anaongea nini?
Unaongea hisia zako.....Wabunge gani?. Hawa wanaoongzwa na remote control.