Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Lakini kama zitaendelea kufujwa kuibiwa kwa kiwango hichi huku ripoti ya CAG ikipuuzwa sioni future
HII NCHI IMESHINDWA KUJINDESHA YENYEWE KITAMBO SANA. MADENI YANAZIDI KUPANDA. HII KUIUZA NCHI KIDOGO KIDOGO HATUTAIONA FAIDA YOYOTE ILE. KWANINI TISIWEKE TANGAZO KUWA TUNAIUZA NCHI KWA UJUMLA WAKE ILI KILA MTU APATIWE CHAKE?
 
Ah wapi mbwa za green guard hazina uwezo bila mabwana zao wanaobema \SMG! Jitokezeni wenyewe tu hata hizo uniform waazimeni FFU kama kawaida yenu ili tutangaze mazishi ya askari! Kunyoko! haujui kuwa bandari ni mpaka unahitaji usalama! Masaburi hayo yakijaa ubongo haufanyi kazi! |Siku yenu yaja!
 
Hii INSHU ya Bandari yetu kupewa WAARABU mbona “SINTOFAHAMU” ni nyingi sana…nini KINAENDELEA tafadhali?? [emoji3166]
 
Kwa hivyo kwa akili zao fupi wanaona agreement kutoweza kuvunjwa ni kitu kizuri?

That is precisely the problem.
 
Imeisha hiyo, ukiona kitu kinapipiganiwa sana jua kuna shida sehemu
Ndomana wengine tulikuwa kama watazamaji haha [emoji1] tu
Na bado tunaendelea kuwa watazamaji

Ova
 

Huko nilishapita. Imani yangu inanifundisha to operate above devil's line. Shetani na agents wake hawezi kukulazimisha utende dhambi wanakushawishi tu. 1John 4:4

Wako wanaodhania baada ya Azimio la Bunge hili kutoa baraka kwa huu nchakato mambo ni nserereko tu. Sio hivyo hata kidogo wako mpaka wafagizi wa TPA na wote walio nyuma yao kwa utegemezi wanajiuliza tutaishi ishije kazi zipo in dailema.
 
Uteuzi wa ma DC ukikosa basi kaoge baharini itakuwa ukoo wenu una laana ya vizazi vinne! Wabongo wanapinga kuuzwa nchi yao kinara wao Nduguyai we unasupport?

Hivi Kakonko ni mpakani na nchi Gani utakuwa mzamiaji I guess not a citizen by birth!
 
MD WA DP WORLD UKIPITIA HII THREAD NAOMBA KITENGO BANDARINI

DP WORLD KWA MAENDELEO MAPANA YA HII NCHI
 
MD WA DP WORLD UKIPITIA HII THREAD NAOMBA KITENGO BANDARINI

DP WORLD KWA MAENDELEO MAPANA YA HII NCHI
 
MD WA DP WORLD UKIPITIA HII THREAD NAOMBA KITENGO BANDARINI

DP WORLD KWA MAENDELEO MAPANA YA HII NCHI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…