Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Madalali wa DP world washakunja chao mapema.

Msukuma kapata V8 LC 300 safi.
Mkuu keshokutwa narejea DIZIM...nitumie "contacts" zako "bobo" ili tuwasiliane...

Nikifika nitakutumia "chupa 2 kubwa za Ciroc" kwa UBER....si unajua tena NEEMA JUU YA NEEMA kakaa[emoji1787]

Nawe komredi umlambe "mnyama" Ciroc ulisuuze koo lako lililozoea "smart Gin" na shengena.....[emoji1787]

#MamaAnaupigaMwingi[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mkataba huu utafanya watu waogope kugombea urais Tz kwa kuwa hakuna rais ataruhusiwa kuuvunja au kuurekebisha. Mama kaua kiu ya wawania urais.

Lakini zaidi DP World itakuwa na nguvu kuliko Katiba ya JMT kwa sababu hata marekebisho yoyote ya Katiba au Katiba mpya yoyote haitaruhusiwa kugusa mkataba wa DP World. Ni mkatabamsahafu usiogusika na wenye nchi yao JMT.

Katiba ya JMT itakuwa subordinate kwa DP World na hivyo nchi kutweza sovereignty yake.

Aidha, Katiba ya Znz itakuwa Superior kwa Katiba ya JMT kwa kuwa DP World hawaruhusiwi na Katiba ya SMZ kugusa bandari ya Znz.

Yote haya yanachagiza mabadiliko ya Katiba ya JMT lkn kwa tahadhari kubwa ya kutogusa maslahi ya DP World.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Hivi Bunge letu lina jipya na cha maana kweli ukiondoa compliance ya Katiba? Nina maanisha does it meet objectives of its establishment or it merely the matter of Katiba compliance?
Mkataba huu utafanya watu waogope kugombea urais Tz kwa kuwa hakuna rais ataruhusiwa kuuvunja au kuurekebisha. Mama kaua kiu ya wawania urais.

Lakini zaidi DP World itakuwa na nguvu kuliko Katiba ya JMT kwa sababu hata marekebisho yoyote ya Katiba au Katiba mpya yoyote haitaruhusiwa kugusa mkataba wa DP World. Ni mkatabamsahafu usiogusika na wenye nchi yao JMT.

Katiba ya JMT itakuwa subordinate kwa DP World na hivyo nchi kutweza sovereignty yake.

Aidha, Katiba ya Znz itakuwa Superior kwa Katiba ya JMT kwa kuwa DP World hawaruhusiwi na Katiba ya SMZ kugusa bandari ya Znz.

Yote haya yanachagiza mabadiliko ya Katiba ya JMT lkn kwa tahadhari kubwa ya kutogusa maslahi ya DP World.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
 
^Profesa, mkataba huu ni wa miaka mingapi?^

Prof. Mbarawa: ^Mkataba utakuwa hai mpaka pale ambapo shughuli za miradi zitasitishwa, au kuisha kwa muda wa mikataba ya nchi mwenyeji na mikataba ya miradi. Msingi wa mkataba huu kuendana na mikataba ya miradi ni kutokana na kwamba unaweka msingi unaowezesha kuingia na kutekelezwa kwa mikataba hiyo nchini.^

Aliyeelewa please
 
Porojo hizo, kujaza watu ujinga uliokujaa.

Soma article 20.
 
Kuna mahali lipo tatizo kubwa kabisa na hata Rais sijui kama analijua.
Unajiuliza je Hawa walioweka mkono saini je walisoma mstari hadi mwisho.
Kwa kuwa Mh. Rais yeye anapoenda mahali anaandamana na Hao mawaziri husika.

Wanapoingia kusaini hii mikataba Hawa wanapewa Ile kurasa ya mwisho ya kuweka saini bila kusoma yaliyopo ndani kwani ni mrefu na muda pia..
Hatuoni alikoweka saini Rais si ajabu Hawa ndio matokeo ya yote haya kuingiziwa mapungufu kibao.

Sasa basi na Hawa wabunge wetu mambuluma wanapitishaje kitu yenye mapungufu kivile? Hawasomi na hata kama hawasomi je hawasikii mawazo na maoni ya wajuvi huku mtandaoni??

Mh. Rais unahujumiwa na bado hushtuki! Huu hauna tofauti na aliokataa Hayati Yale ya Bagamoyo! Huu nao umezidi kiwango. Rais umeupitia kabla
???
 
Kuna mahali lipo tatizo kubwa kabisa na hata Rais sijui kama analijua.
Unajiuliza je Hawa walioweka mkono saini je walisoma mstari hadi mwisho...
Wasiwasi wako tu.

DP World wanakwenda kutuingizia mapato yanayolingana na nusu bajeti ya nchi ya kila "fiscal year"....

Hakika mama anaupiga mwingi[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna Bunge hapo.

Labda useme Mh.Rais SSH anakua wa kwanza kuruhusu mjadala wa mikataba katika kikao cha chama chake ambacho yeye ni mwenyekiti, bila yeye kuhudhuria kikao hicho.
[emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hakuna bunge na wabunge walikuwa kikaoni ?!!!

Mkuu una "delusion"?!!!

Hilo ndilo bunge letu...liko kikatiba[emoji1787]

#Tuko na DP WORLD [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…