Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr.Bashiru huyuhuyu ambaye "aliwezeshwa" kuwa KATIBU MKUU ikulu?!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bashiru aliamua kukaa kimya kitambo maana mara zote ambazo aliongea, alijikuta anaingia kwenye mgogoro na wajinga wengi.
Udhani katika hili Bashiru ataunga mkono? Busara ni kukaa kimya.
Hata Mbowe yuko kwenye maridhianoAsingeyumba hapo nyuma, 'legacy' yake ingekuwa iko vizuri sana na watu wangemuamini na kumuheshimu kwa kile anachokiongea; ila ile kuwa 'cheap' imemuharibia, ndio maana wengine wanampuuza tu hapo mjengoni; ingawa wanasema hakuna mkate mgumu kwenye chai.
Niitowe wapi hoja na hoja ipo bungeni inajadiliwa sasa hivi.Umetumwa, huna hoja
Madini gani?Katema bonge la Madini.Wamemuinterrupt
Kitu kizuri kinashindwa kuonekana?!!!!
Wabunge wote wamekiona.....
Mtukane tu halafu kila siku anawaombea muongezewe stahiki zenu huko mashuleni.....Kishikwambi cha mbunge wa iringa mjini Jesca msambatavangu ni KICHAFU kava CHAFU kweli, ni jinsi gani hawa watu ni wachafu kiakili mpaka mwili wao na sijui huko chini kukoje
Tangu lini Mzanzibar akawa smart ? Mtu aliyefeli form 4Alikuwa smart sana tena sana ndiyo maana akaweza kuwa mwanamke Makamo(u) wa kwanza wa Rais wa Tanzania.
Namuona Speaker, amegeuka yeye ndie mchangiaji Mkuu.Hatuna Bunge.
Maslahi ya nchi yepi? Ya kukodisha bandari?Tatizo la Tanzania ni Elimu, Elimu, Elimu
Watu wangesomeshwa kwa kupewa Elimu bora wangesimamia maslahi ya nchi
Maslahi ya nchi yepi? Ya kukodisha bandariTatizo la Tanzania ni Elimu, Elimu, Elimu
Watu wangesomeshwa kwa kupewa Elimu bora wangesimamia maslahi ya nchi
Usinilishe maneno ndugu, nimesema Samia yuko smart sana upstairs tena kuliko yule professa mtaalamu wa sheria na mambo ya "kanyaboya" Mr Magamba Kadubi.Asante kwa kukubali kuwa "wajinga
Kama hujaelewa hutaelewaMaslahi ya nchi yepi? Ya kukodisha bandari