Bhisumbinyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 797
- 581
Tena inaenda vizuri sana maana Magufuli alikuwa kikwazo kikubwa sana. Mungu atamlipa kwa kadiri ya matendo yake.Acha kamba wewe..nchi inaendelea kusonga bila ya Magufuli..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena inaenda vizuri sana maana Magufuli alikuwa kikwazo kikubwa sana. Mungu atamlipa kwa kadiri ya matendo yake.Acha kamba wewe..nchi inaendelea kusonga bila ya Magufuli..
Kupotisha=KupotoshaWacha kupotisha, yaliyojadiliwa leo siyo mkataba.
Hakuna kwenye makubaliano yoyote ya ushirikiano wa kimaendeleo wa nchi na nchi ambao unakuwa na kikomo, kunakuwa na mwanzo tu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hivi ulimsikiliza Nape leo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pumbavu sana wale.
Haliwezi kukuhusu Mkuu, Ndo maana Katiba imesema wazi kuna uhuru wa kutoa Maoni.Uko ndotoni....
Sasa bunge la ndotoni mwako wewe linatuhusu nini sisi ?!!! [emoji1787][emoji1787]
Mimi niliamua kuzika ki TV changu na kusoma kitabu cha Riwaya tuNamuona Speaker, amegeuka yeye ndie mchangiaji Mkuu.
ComeoooooooonHili lishangazi linaloongea saizi lipo vizuri sana. Ukilipata hili unalipiga deki mpaka likuhonge na ubunge wenyewe kudadeki.
it means hadi unyakuo kwa wale watakaokuwa hai - poor Tanganyika.Mkataba ni wa milele
Yeye ndo aliyeshababisha bunge kuwa la chama kimoja dikteta magufuliAlikuwa sahihi tu....
Ninakumbuka maneno yake..."Mimi si mwanasiasa....".
Bungeni kuna wanasiasa...
Bungeni kuna siasa.....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hamtaki bandari yenu iwe kama dubai[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Imeisha hiyo, ukiona kitu kinapipiganiwa sana jua kuna shida sehemuit means hadi unyakuo kwa wale watakaokuwa hai - poor Tanganyika.
Acheni kupotosha jamii....basi semeni ata TAMOFA,TAZAMA na TAZARA vimeuzwa.Bunge feki limeuza bandari.... wezi wa kura wameuza Bandari hawana uchungu sababu hawatokani na sisi wananchi.
Mamlaka inatoka kwakeHakuna sehemu niliyokuuliza bandari ni ya nani. MUNGU haigilii Huu ujinga. Tayari zipo mamlaka na watu wenye utashi inatosha
Mamlaka inatoka kwake
Huu sio mkataba ..ni makubaliano ya kwenda kwenye mikataba.Mh.Rais SSH anakua rais wa kwanza kuruhusu mikataba ijadiliwe hadharani [emoji123]
#MamaKaja[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Imeuzwa lini hiyo bandari? Imeuzwa shilling ngapi? Amka usingizini kijana.Kuuzwa kwa Bandari ya Dar es salaam ni dhambi ya JPM ya kuokota watu mtaani Mfano Yule mbunge wa Siha Daktari feki na kuwapa ubunge wa bure leo wanauza nchi.
Uchafu upi?? PPP ni uchafu??Hili Bunge linaenda kuandika historia mbaya zaidi kuwahi kutokea au linaenda kufanya tukio la kishujaa. Kila dalili ni Bunge kuingia kwenye historia mbaya!
Mh Tulia is very young kuingia kwenye uchafu huu.