Dodoma Chang'ombe ndio home

Elewa unachoambiwa ndugu yangu wa dodoma humu ni sehemu ya faragha mwenye picha ni pasco mayalla tu,ambae alisha pigwa dongo na mkuu mayalla kwao huita njaa njaa kali zisizo na kikomo.....utakuja kukoment kitu jukwaa fulani ukajichanganya makachero wakakufanyia mbaya uko ulipo futa picha na toa picha kwenye avatar.
 
Kweli brother hapo nimekusoma brother. Makini sana bro
 
Nafikaga sana brother pande hzo lakn kimishe bro maan mmi na deal na mamb ya ufnd.
 
Hilo ndilo tatizo nimeliona la men kuchanganyikana na boys kama wewe mkuu ni boy bado, pili humu sio sehemu ya kutafuta na kuongeza marafiki, hizo mambo ndio maana wadau wamekuambia bora urudi Facebook tu. Humu ni kwa Great thinkers tu. Ndio maana majina mengi ya great thnkers humu ukifuatilia kwa makini sio majina yao halisi. Rafiki lazima uanze kufahamu jina lake n.k , mwisho hiki sio chama cha Kuzikana. Samahani lakini...
 
Kwahiyo kwa akili yako unajiona mjanja kweli kweli!nenda fb huku hapakufai.
Hamna mmi cjaona chochte,hamna ujanja wala nni ila ni pic tu bro.usifanye mambo yakaonekana kam unavodhan bro, kawaida tu.kama kuna jahuu majamaa kama walivosema ndo naitoa kwa kuwa usalama ni muhmu.sem nn naondoa bro
 
Hahahahhahaha
Mi nipo four ways hapa uwanja wa swai, mbona ungeniuliza jf ningekujibu kuwa hatuendi hiv,Unakuja kutudhalilisha tuonekane wagogo wote washenzi,NAOMBA RADHI kwa ajili ya ndg yangu huyu wa ukae Clement paul
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…