Dodoma Chang'ombe ndio home

Wemvulana, wapi umeona umetukanwa kwani...!!??
Alafu, naomba nimpongeze mwalimu wako wa lugha ya kiswahili kwa kutuandalia kijana mujarab kabisa....teh[emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi kabla ya kujiregister humu ulisoma hata jf rules?...
 
Dogo utanyakuliwa shauri lako..hii ni jf cheza tu...
 
dogo alijua kila kwenye profile ni sehemu ya kutamba kwa maphoto
 
Mzee humu wengi wajuaji,wanaona ni watu flani hivi kutoka Pluto ila achana nao fanya yako , ila kama umeamua kutumia uhalisia wako usije mtukana mtu, wala kuongea mbovu kwa kiongozi yeyote, mm kama mwana Adam mgeni JF nimegundua wengi ni waoga sana na wanafki wanajificha kwenye uhalisia wa uongo na kujidanganya kwamba wao mashujaa hawawezi kutishwa na kitu chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…