Dodoma Chang'ombe ndio home

Dodoma Chang'ombe ndio home

Ngoja nikwambie kitu:
Humu huwa hatuweki avatar (profile picture) za sura zetu halisi, ili kulinda utambulisho wetu, vile vile hata majina tunayotumia sio halisi na hata namba za simu hatuweki wazi pia. Hiyo yote ni kwa ajili ya kujilinda kwani kuna watu wa aina zote na ni mwendo wa kuangalia nani kaharibu nini. So kuweka hivyo vitu halisi ni kuwarahisishia wenye kazi zao endapo utaharibu waweze kukunyaka kirahisi sana. So fuata ushauri wangu. Anzia kuondoa/kubadili hiyo picha yako halisi kisha omba kubadilisha jina. Kwenye App yako kuna sehemu ya kutuma msg kwa mtu umtakae, hiyo pia unaweza kuitumia kwa ajili ya kutuma msg kwa mtu mmoja mmoja, huko pia unaweza kumtumia namba za simu unaeelewana nae na sio kuweka namba zako wazi. You will thank me later! (Utanishukuru baadae).
Ah aise shukran brother, nlikuwa cna ufahamu juu ya ilo.naitoa brother, ntafata ushauri wako.brothers forever
 
Kwani shule zimefungwa? Dogo anatafuta Penpal
 
Niaje Dingile?
Mwana Hapa Jf Huwaga Kuweka Real Pics Ni Soo Bro.
Weka Avatar Ya Mtu Yeyote Na Badili Jina Lak La Ukweli.
Maana Wenye Kaya Wapo Humu Wanatafuta Wale Waponda Kaya.
So Ukiweka Kama Hivyo Jina Lako Real, Pics Real, Ukiharibu Inakuwa Simple Kukunyaka Broh.
Thats Why Unaona Wote Humu Tuna Avatar Za Watu Wengine Bro

Anyway Nipo Uku Eastzoo Ushafikaga?
 
Ah aise shukran brother, nlikuwa cna ufahamu juu ya ilo.naitoa brother, ntafata ushauri wako.brothers forever
halafu nikwambie nini mwana, achana na hii ID unayotumia sasa cos zoezi la kubadili ID ni complicated sana, mpaka uwasiliane na wahusika wa jf.

la muhimu create ID mpya na tumia jina fake, usitumie jina lako halisi. pia usipost picha zako jf. kupost picha yako jf ni kosa kubwa ambalo litakuja kukugharimu siku moja. kuna watu wanaweza kuzitumia kukufanyia bullying au jambo lolote baya.

jf sio sawa na facebook au instagram.
 
Yeah ni kweli nlikuwa napiga push up nyingi san kwa kuwa nlikuwa natafuta uzito wa mkono kwa kuwa mmi sipendi kupiga chuma.lakin kwa sasa nimepunguza kiwango cha push up yani napiga push chache tu na zile push up muhimu tu,baada ya hapo nafanya mengine ya kawaida.maana mmi najifunza michezo ya ngumi napenda so daily napasha geto bado cjaanza dojo kwa kuwa ni gharama.

Mtafute Kiduku Lilo tajiri wa jf anainua maisha ya watu wengi
 
Watu Wa chang'ombe hatunaga mambo Kama haya yako yani we umejiunga tangu 2016 halafu bado folena?
 
Nimekuelewa San ndgu hao wengine wote wanarusha sana,unajua bhna watu tuna tabu sana.jamani emu kuweni bhna,kila mtu yupo free na lake kama cyo jambo baya.dah yani mtu mtandaoni unawez ukawa huru kujibu lolote bila kufikilia jibu lako.tatzo nini juu ya hyo post.dah afu wanaume wenzangu ndo wanaozingua,wana nyie niaje mbna hizo cuts chenga.machalii mnarucha,don't act life.siact life,hyo ndo life yangu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom