Dodoma city photo

Dodoma city photo

Acheni ufala nyie. Dodoma ndio jiji linalokua kwa haraka kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga. Hata Dsm itapitwa maana serikali inalijenga jiji la Dodoma KWA MAKUSUDI. Tutafutane kwenye huu uzi baada ya miaka mitano muone picha zake.
Tena ungekua muungwana hata ungepiga picha ya jengo la LAPF hapo Makole ukaweka kisha ndio uulize viswali vyako uchwara. Shwaaaiin

Sent using Jamii Forums mobile app


ww mwanza inatafuta nini kwenye huu uzi yaani dodoma ata iwe makao makuu ya dunia bado sana mkuu kuifikia mwanza.Mji umepauka sana ila poa kwenye miaka ya 21000 ndoto yako itatimia
 
Screenshot_20190314-131512.jpeg
Screenshot_20190314-132217.jpeg
Screenshot_20190314-132127.jpeg
Screenshot_20190314-131616.jpeg
Screenshot_20190314-131424.jpeg
Screenshot_20190314-131112.jpeg
Screenshot_20190314-131049.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni ufala nyie. Dodoma ndio jiji linalokua kwa haraka kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga. Hata Dsm itapitwa maana serikali inalijenga jiji la Dodoma KWA MAKUSUDI. Tutafutane kwenye huu uzi baada ya miaka mitano muone picha zake.
Tena ungekua muungwana hata ungepiga picha ya jengo la LAPF hapo Makole ukaweka kisha ndio uulize viswali vyako uchwara. Shwaaaiin

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kwamba baada ya miaka 5 Dodoma itaipita Dar....

Ebu kuwa serious bana, iache Dar kama ilivyo usiifananishe na mambo ya hovyo hovyo
 
Ayo ni baadhi ya majengo yanayopatikana Dodoma.....kiukwel Dodoma inakuja kwa kasi japo kuifikia dar kazi sana ila baada ya miaka miwil itaizidi mwanza ......naweza kusema ni jiji LA tatu kwa uzur baada ya dar na mwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupinga kwa nguvu zote, labda useme miaka 10 ijayo(napo pia ni ndoto) na si miaka 3.

Naijua Mwanza, naijua Dodoma
 
Ayo ni baadhi ya majengo yanayopatikana Dodoma.....kiukwel Dodoma inakuja kwa kasi japo kuifikia dar kazi sana ila baada ya miaka miwil itaizidi mwanza ......naweza kusema ni jiji LA tatu kwa uzur baada ya dar na mwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Itachukua miaka 15 kuizidi Mwanza,sio miwili kama unavyosema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio inaweza kukua kuliko Dsm Yaani Growth Rate. Haimaanishi itaizidi Dsm ila nayo itapanda kiwango kikubwa.

Sasa hivi majengo mengi ya serikali na investors yanajengwa Dom. Miundombinu kibao inaelekezwa huko, hayo yote huyajui. Fumbua macho amkaaa Kumekucha
Mkuu, kwamba baada ya miaka 5 Dodoma itaipita Dar....

Ebu kuwa serious bana, iache Dar kama ilivyo usiifananishe na mambo ya hovyo hovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni ufala nyie. Dodoma ndio jiji linalokua kwa haraka kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga. Hata Dsm itapitwa maana serikali inalijenga jiji la Dodoma KWA MAKUSUDI. Tutafutane kwenye huu uzi baada ya miaka mitano muone picha zake.
Tena ungekua muungwana hata ungepiga picha ya jengo la LAPF hapo Makole ukaweka kisha ndio uulize viswali vyako uchwara. Shwaaaiin

Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia kipimo gan mkuu kujua hayo..?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom