Dodoma city photo

Dodoma city photo

Ndio inaweza kukua kuliko Dsm Yaani Growth Rate. Haimaanishi itaizidi Dsm ila nayo itapanda kiwango kikubwa.

Sasa hivi majengo mengi ya serikali na investors yanajengwa Dom. Miundombinu kibao inaelekezwa huko, hayo yote huyajui. Fumbua macho amkaaa Kumekucha

Sent using Jamii Forums mobile app
hata miaka 100 haiwezi fikia dar, dar ni jiji la biashara tena za kimataifa zikiwemo jipe moyo Dodoma litabaki kua mji mkuu na jiji la siasa. Mbukwenyi
 
Ndio inaweza kukua kuliko Dsm Yaani Growth Rate. Haimaanishi itaizidi Dsm ila nayo itapanda kiwango kikubwa.

Sasa hivi majengo mengi ya serikali na investors yanajengwa Dom. Miundombinu kibao inaelekezwa huko, hayo yote huyajui. Fumbua macho amkaaa Kumekucha

Sent using Jamii Forums mobile app
Sitaki kuwa mshabiki, nakuwa mkweli kwa ninachokiona. Majengo ya serikali yanajengwa mangapi hadi iweze kuipita Mwanza kwa muda mfupi kiasi hicho?

Kwa majiji na miji majengo ya serikali huwa hayazidi majengo ya watu wengine wakiongozwa na wawekezaji. Jee unayo takwimu gani inayoonesha wawekezaji watakuwa wengi Dodoma kuliko Mwanza kwa kipindi kifupi unachodai?
 
Sitaki kuwa mshabiki, nakuwa mkweli kwa ninachokiona. Majengo ya serikali yanajengwa mangapi hadi iweze kuipita Mwanza kwa muda mfupi kiasi hicho?

Kwa majiji na miji majengo ya serikali huwa hayazidi majengo ya watu wengine wakiongozwa na wawekezaji. Jee unayo takwimu gani inayoonesha wawekezaji watakuwa wengi Dodoma kuliko Mwanza kwa kipindi kifupi unachodai?
nasikia ukitoka katikati ya mji kwenda kokote km 15 unakutana na mapori kibao unaisi uko karibu kuingia mkoa mwingine kumbe unaingia wilaya nyingine au uko bado mjini. Majengo ni ya kuesabu nasikia majengo ya gorofa 7 hayazidi 20😕😒😏
 
Ayo ni baadhi ya majengo yanayopatikana Dodoma.....kiukwel Dodoma inakuja kwa kasi japo kuifikia dar kazi sana ila baada ya miaka miwil itaizidi mwanza ......naweza kusema ni jiji LA tatu kwa uzur baada ya dar na mwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza!!!! Dodoma itafute Kwanza Tanga,mbeya na Arusha huko sio mwanza.Jiji la mwanza hata Kwa dawa haiwezi fikia hapo.

Hebu nikupostie mwanza kidogo halafu ulinganishe Na Dodoma na ujitathimini upya
images(14).jpeg
images(15).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio inaweza kukua kuliko Dsm Yaani Growth Rate. Haimaanishi itaizidi Dsm ila nayo itapanda kiwango kikubwa.

Sasa hivi majengo mengi ya serikali na investors yanajengwa Dom. Miundombinu kibao inaelekezwa huko, hayo yote huyajui. Fumbua macho amkaaa Kumekucha

Sent using Jamii Forums mobile app

we jamaaa serikali haijeng mji/jiji ka ukijua hilo pia watu hawafati miundombinu ila miundombinu ndo inawafuata kwani dar,mwanza au arusha ukitoa majengo ya serikali kinabaki nini😀😀 achabasi kujifariji mkuu
 
Dodoma imechoka bora hata kigoma eti makao makuu[emoji41][emoji85][emoji90]
Ndugu yangu, kwani unaifahamu Dodoma au umehukumu kwa hiyo picha moja? Hiyo ni picha ya upande wa pili ambapo kuna vumbi.

Dodoma ni nzuri sema imetumwa picha moja. Dodoma haiwezi kufanana na Kigoma kwa sasa, labda baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nasikia ukitoka katikati ya mji kwenda kokote km 15 unakutana na mapori kibao unaisi uko karibu kuingia mkoa mwingine kumbe unaingia wilaya nyingine au uko bado mjini. Majengo ni ya kuesabu nasikia majengo ya gorofa 7 hayazidi 20[emoji53][emoji19][emoji57]
Kuna ukweli fulani,lakini baada ya miaka kumi kutakua vizuri sana, kuna mipango mji mizuri sana ,hasa sait mpyampya, mi ningekuwa vizuri kiuchumi ningewahi viwanja mapema mapema.
 
Mara unasikia Dodoma imejengeka
Unapanda basi kuanza safari
Mara unafika stendi ya nanenane
Unaambiwa ndio umefika stendi kuu
Mara paa! Unadondoka na kuzimia
Unapelekwa hospital kuu ya Dodoma
Unaamuka unauliza uko zahanati gani
Mara unaambiwa upo hospitalkuu dodoma
Mara paa! Unazimia tena
Unapelekwa muhimbili unazinduka
Unazani ulikua unaota
😂😂😂
 
Back
Top Bottom