Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,587
- 7,272
Acheni ufala nyie. Dodoma ndio jiji linalokua kwa haraka kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga. Hata Dsm itapitwa maana serikali inalijenga jiji la Dodoma KWA MAKUSUDI. Tutafutane kwenye huu uzi baada ya miaka mitano muone picha zake.
Tena ungekua muungwana hata ungepiga picha ya jengo la LAPF hapo Makole ukaweka kisha ndio uulize viswali vyako uchwara. Shwaaaiin
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi niko kijijini huku, sasa nashindwa nipige picha mibuyu au njia za ng'ombe.
Bahi mkuu.
Mpamantwa ni njia tu nikiwa naelekea town. Ila kuna kipindi nilikuwa naivuruga sana..nilikuwa natoka mnkola kwenda bahi makulu kwa mguu kupitia mpamantwa kwenda kumsalimia bibi.
Mkuu, kwamba baada ya miaka 5 Dodoma itaipita Dar....Acheni ufala nyie. Dodoma ndio jiji linalokua kwa haraka kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga. Hata Dsm itapitwa maana serikali inalijenga jiji la Dodoma KWA MAKUSUDI. Tutafutane kwenye huu uzi baada ya miaka mitano muone picha zake.
Tena ungekua muungwana hata ungepiga picha ya jengo la LAPF hapo Makole ukaweka kisha ndio uulize viswali vyako uchwara. Shwaaaiin
Sent using Jamii Forums mobile app
jengo la maana ni la lapf tu mengine kama kigoma, naisi ni jengo pekee kubwa
Nakupinga kwa nguvu zote, labda useme miaka 10 ijayo(napo pia ni ndoto) na si miaka 3.Ayo ni baadhi ya majengo yanayopatikana Dodoma.....kiukwel Dodoma inakuja kwa kasi japo kuifikia dar kazi sana ila baada ya miaka miwil itaizidi mwanza ......naweza kusema ni jiji LA tatu kwa uzur baada ya dar na mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Itachukua miaka 15 kuizidi Mwanza,sio miwili kama unavyosemaAyo ni baadhi ya majengo yanayopatikana Dodoma.....kiukwel Dodoma inakuja kwa kasi japo kuifikia dar kazi sana ila baada ya miaka miwil itaizidi mwanza ......naweza kusema ni jiji LA tatu kwa uzur baada ya dar na mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, kwamba baada ya miaka 5 Dodoma itaipita Dar....
Ebu kuwa serious bana, iache Dar kama ilivyo usiifananishe na mambo ya hovyo hovyo
Mwanachugu😃😃
Unatumia kipimo gan mkuu kujua hayo..?Acheni ufala nyie. Dodoma ndio jiji linalokua kwa haraka kuliko Mwanza, Arusha, Mbeya au Tanga. Hata Dsm itapitwa maana serikali inalijenga jiji la Dodoma KWA MAKUSUDI. Tutafutane kwenye huu uzi baada ya miaka mitano muone picha zake.
Tena ungekua muungwana hata ungepiga picha ya jengo la LAPF hapo Makole ukaweka kisha ndio uulize viswali vyako uchwara. Shwaaaiin
Sent using Jamii Forums mobile app