Changes boy
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 552
- 363
- Thread starter
-
- #41
hata miaka 100 haiwezi fikia dar, dar ni jiji la biashara tena za kimataifa zikiwemo jipe moyo Dodoma litabaki kua mji mkuu na jiji la siasa. MbukwenyiNdio inaweza kukua kuliko Dsm Yaani Growth Rate. Haimaanishi itaizidi Dsm ila nayo itapanda kiwango kikubwa.
Sasa hivi majengo mengi ya serikali na investors yanajengwa Dom. Miundombinu kibao inaelekezwa huko, hayo yote huyajui. Fumbua macho amkaaa Kumekucha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka iwe kwa demu wako?Dodoma imechoka bora hata kigoma eti makao makuu[emoji41][emoji85][emoji90]
mkuu ni ukweli imechoka usipanikiππ€π maana hata picha ni za kusuasua
Sitaki kuwa mshabiki, nakuwa mkweli kwa ninachokiona. Majengo ya serikali yanajengwa mangapi hadi iweze kuipita Mwanza kwa muda mfupi kiasi hicho?Ndio inaweza kukua kuliko Dsm Yaani Growth Rate. Haimaanishi itaizidi Dsm ila nayo itapanda kiwango kikubwa.
Sasa hivi majengo mengi ya serikali na investors yanajengwa Dom. Miundombinu kibao inaelekezwa huko, hayo yote huyajui. Fumbua macho amkaaa Kumekucha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpamantwa ni njia tu nikiwa naelekea town. Ila kuna kipindi nilikuwa naivuruga sana..nilikuwa natoka mnkola kwenda bahi makulu kwa mguu kupitia mpamantwa kwenda kumsalimia bibi.
Atakuwa mvumi makulu ,mlowa au handali huyo ππ
Mwanachugu[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23]mimi niko kijijini huku, sasa nashindwa nipige picha mibuyu au njia za ng'ombe.
nasikia ukitoka katikati ya mji kwenda kokote km 15 unakutana na mapori kibao unaisi uko karibu kuingia mkoa mwingine kumbe unaingia wilaya nyingine au uko bado mjini. Majengo ni ya kuesabu nasikia majengo ya gorofa 7 hayazidi 20πππSitaki kuwa mshabiki, nakuwa mkweli kwa ninachokiona. Majengo ya serikali yanajengwa mangapi hadi iweze kuipita Mwanza kwa muda mfupi kiasi hicho?
Kwa majiji na miji majengo ya serikali huwa hayazidi majengo ya watu wengine wakiongozwa na wawekezaji. Jee unayo takwimu gani inayoonesha wawekezaji watakuwa wengi Dodoma kuliko Mwanza kwa kipindi kifupi unachodai?
karibu mkuu, fulu si huwa unatumia?
Mwanza!!!! Dodoma itafute Kwanza Tanga,mbeya na Arusha huko sio mwanza.Jiji la mwanza hata Kwa dawa haiwezi fikia hapo.Ayo ni baadhi ya majengo yanayopatikana Dodoma.....kiukwel Dodoma inakuja kwa kasi japo kuifikia dar kazi sana ila baada ya miaka miwil itaizidi mwanza ......naweza kusema ni jiji LA tatu kwa uzur baada ya dar na mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio inaweza kukua kuliko Dsm Yaani Growth Rate. Haimaanishi itaizidi Dsm ila nayo itapanda kiwango kikubwa.
Sasa hivi majengo mengi ya serikali na investors yanajengwa Dom. Miundombinu kibao inaelekezwa huko, hayo yote huyajui. Fumbua macho amkaaa Kumekucha
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu, kwani unaifahamu Dodoma au umehukumu kwa hiyo picha moja? Hiyo ni picha ya upande wa pili ambapo kuna vumbi.Dodoma imechoka bora hata kigoma eti makao makuu[emoji41][emoji85][emoji90]
Mimi ni mdodoma lakini kila nikijaga dom naona tuna safari ndefu sana, niliposikia limekuwa jiji nilistuka sana.Mwanza!!!! Dodoma itafute Kwanza Tanga,mbeya na Arusha huko sio mwanza.Jiji la mwanza hata Kwa dawa haiwezi fikia hapo.
Hebu nikupostie mwanza kidogo halafu ulinganishe Na Dodoma na ujitathimini upyaView attachment 1045735View attachment 1045736
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ukweli fulani,lakini baada ya miaka kumi kutakua vizuri sana, kuna mipango mji mizuri sana ,hasa sait mpyampya, mi ningekuwa vizuri kiuchumi ningewahi viwanja mapema mapema.nasikia ukitoka katikati ya mji kwenda kokote km 15 unakutana na mapori kibao unaisi uko karibu kuingia mkoa mwingine kumbe unaingia wilaya nyingine au uko bado mjini. Majengo ni ya kuesabu nasikia majengo ya gorofa 7 hayazidi 20[emoji53][emoji19][emoji57]
Binafsi bado naona Dodoma iko kama manispaa nyingi tzMimi ni mdodoma lakini kila nikijaga dom naona tuna safari ndefu sana, niliposikia limekuwa jiji nilistuka sana.