Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Sasa kwani Hujui kuwa Ofisi za UN zipo Arusha!? Na sio UN tu karibia tasisi za kimataifa zipo huku
Hakuna ofisi za UN Arusha ....Mahakama ya UN-ICTR ilishafungwa tangu mwaka 2015.Wadanganye washamba wenzako ambao hawajawahi kufika Arusha
 
Unaposema makao makuu ya serikali..Ina include bunge ,mahakama na executive
.usitenganishe mambo
 
Unaposema makao makuu ya serikali..Ina include bunge ,mahakama na executive
.usitenganishe mambo
Aseme tu dodoma ni makao makuu ya serikali inatosha ila asifikirie kuilinganisha na mbeya arusha au rock city bado dodoma inakua wasijipe kiburi mapema sana kilichowapa kiburi ni baada ya kuwekewa eneo la mji km za mraba 2600 mara 10 zaidi ya arusha mara 6 zaidi ya mwanza alafu ndio wakafikisha population ya laki 7😀😀😀 dodoma bado sana
 
Ukubwa wa dodoma ni Mara mbili ya mkoa wa dar es salaam [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kumbe hujui hata maana ya population density.. ngoja nikuache ,[emoji28][emoji28][emoji28]
Chukua population ya dodoma gawia Kwa ukubwa wa eneo ...
Chukua ya Arusha ugawie Kwa eneo..mji wenye namba kubwa ndio jiji litakalokuwa na msongamano mkubwa wa watu (pop density)
 
Unaposema makao makuu ya serikali..Ina include bunge ,mahakama na executive
.usitenganishe mambo
futa ujinga wako apa...CIVICS form two hukusoma au😆😆.Unanichekeshaga sana wewe jamaa alafu eti ndio unajiita graduate wa Chuo Cha Mipango Dodoma ...mbona unaiaibisha IRDP Dodoma.

Pillars of government ni Executive,Parliament and Judiciary.
Hiyo ni mihimili mitatu inayojitegemea.
Nakupa mfano ukienda Afrika Kusini 👇👇
The administrative capital of South Africa is Pretoria, the legislative capital is Cape Town,and the judicial capital is Bloemfontein.

Ukitaka kubishana na mimi hakikisha umejipanga vizuri kwa facts na hoja sio porojo au wivu wako...
 
Nimekupa takwimu(namba) za idadi ya watu kwa mujibu wa Sensa ya mwaka 2022.Tunaangalia kwanza namba(idadi) sio population density
 
Endelea kujifariji....chuki,wivu kwa Dom City hazitakusaidia👇👇
Mihimili ya Serikali ni Executive, Judiciary and Parliament.
Rudi shule aisee
 
Endelea kujifariji....chuki,wivu kwa Dom City hazitakusaidia👇👇
Mihimili ya Serikali ni Executive, Judiciary and Parliament.
Rudi shule aisee
Sasa mbona unajicorrect mwenyewe😀
 
Sasa mbona unajicorrect mwenyewe😀
Nakucorrect wewe ambaye hujui kuwa Dodoma ni makao makuu ya Executive,makao makuu ya Bunge na makao makuu ya Judiciary....hiyo ni mihimili mitatu inayojitegemea ndiomana Afrika Kusini kwamfano kila mhimili una makao makuu kwenye jiji tofauti. Hata hapo kwa majirani zetu Burundi kuna Bujumbura na Gitega
 
Takwimu za population tunaangalia kwanza idadi ya watu sio population density.Ndiomana China na India zinaendelea kuwa most populated countries in the world.Ingekua wanaangalia population density Nigeria na Mexico zingekua zinaongoza duniani😀😀😀
 
Sasa huoni kwa 2000sqm za mraba kwa population ya watu laki 7 za Dom na sqm200 za Arusha kwa population ya watu laki 6 ipi inawatu wengi[emoji23]
 
Sasa huoni kwa 2000sqm za mraba kwa population ya watu laki 7 za Dom na sqm200 za Arusha kwa population ya watu laki 6 ipi inawatu wengi[emoji23]
Hajasoma geography sio kosa lake [emoji1787][emoji16][emoji16]
 
Katika ishu ya urban development Huwa wanaangalia population density.... Kaangalie miji ya mikubwa Duniani wamepangaje population yake .......
Dodoma Ina tarafa 4..tunataka tarafa ya dodoma mjini ..tupe population yake ..
Usitupe za tarafa ya zuzu ,hombolo ,kikombo [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hajasoma geography sio kosa lake [emoji1787][emoji16][emoji16]
Nimesoma geography kuanzia primary hadi A level 😀😀. Nikuulize swali nchi gani zinaongoza kwa idadi ya watu duniani.Ingekua wanaangalia population density Nigeria(ambayo hata tanzania tumewazidi square meters) ingekua inaongoza duniani.
Usitake kuhamisha magoli Population inapimwa kwa idadi/namba za watu kwahiyo mpangilio ni 1.Dar over 5 M 2.Mwanza 1.2 M 3.Dom 8k
 
Kwamba Arusha Kuna hiyo mahakama tu?! Hujui kuwa huku Kuna Hadi makazi ya UN
Unachekesha sana...bahatinzuri huwa nakuchapa kwa facts wewe unaleta porojo za facebook👇👇

 
Sasa kwamba Arusha Ipo mahakama iyo tu ..kula chuma icho[emoji116][emoji2535]
 
Arusha mnajikuuuuta, eti Arusha na Dar zilikosa mpinzani nchini.
Ndio Arusha ni jiji ila bado ni pori
 
Dodoma hao watu laki 8 wamefika lini ? Em angalia Dom Jiji kata 41 ndio mmefika 700k ,Arusha kata 25 tu...hapo Kuna sehemu za Jiji hazijawekwa kama Kisongo ,mateves,Iboru,Lengjave ,olorioen n.k na naskia wako kwa mpango wakuongeza 330Sqm sasa hapo sijui itakuwaje kwa ndugu zetu wagogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…