Hector Cooper
JF-Expert Member
- Apr 16, 2023
- 696
- 1,036
Huyo anawachosha tu muacheni hana lolotemkuu hzi picha unarudia Sana weka na nyingne Sasa
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo anawachosha tu muacheni hana lolotemkuu hzi picha unarudia Sana weka na nyingne Sasa
wivu ...na bado utapasuka kabisa😀😀😀mkuu hzi picha unarudia Sana weka na nyingne Sasa
na ukienda mitaa ya chang'ombe na nkuhungu ni full kirangi utasikia "joree" "nkasovi" ukienda mitaa ya soko kuu Majengo utakutana na Wanguu hawa kabila lao linaendana na warangi.Wewe ni kenge sana, huko ng'ong'ona na makuru kuna mijitu haijui hata kiswahili, ukienda kwa mamantilie utasikia mihanyenyii, sijui mara bukweni 🤣
Usikatae bwana Dom inajulikana ni mkoa wa wagogo ,Dom mchanganyiko wa watu hamna kabisana ukienda mitaa ya chang'ombe na nkuhungu ni full kirangi utasikia "joree" "nkasovi" ukienda mitaa ya soko kuu Majengo utakutana na Wanguu hawa kabila lao linaendana na warangi.
So point inabaki palepale Dom City ina mchanganyiko wa makabila asili ya wazawa zaidi ya kumi tofauti na Mwanza ambayo kabila kuu ni moja tu Wasukuma na kisukuma kinazungumzwa kwa wingi kilakona ndani ya Mwanza.
Bukwenyi Kila mahala [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na ukienda mitaa ya chang'ombe na nkuhungu ni full kirangi utasikia "joree" "nkasovi" ukienda mitaa ya soko kuu Majengo utakutana na Wanguu hawa kabila lao linaendana na warangi.
So point inabaki palepale Dom City ina mchanganyiko wa makabila asili ya wazawa zaidi ya kumi tofauti na Mwanza ambayo kabila kuu ni moja tu Wasukuma na kisukuma kinazungumzwa kwa wingi kilakona ndani ya Mwanza.
gan Sasa wakat Niko na wewe hapa jangwan [emoji3]wivu ...na bado utapasuka kabisa[emoji3][emoji3][emoji3]
anarudia Sana picha hata mara 3
Unateseka ukiwa wapi😀😀😀anarudia Sana picha hata mara 3
Tatizo nabishana na mtu ambaye hajawahi kufika Dodoma 😀😀.Usikatae bwana Dom inajulikana ni mkoa wa wagogo ,Dom mchanganyiko wa watu hamna kabisa
Jiandaeni kisaikolojia,msije kusema sijawaambia ,Dom is something next big dealgan Sasa wakat Niko na wewe hapa jangwan [emoji3]
Sasa haya si Ruby sijui spinalJiandaeni kisaikolojia,msije kusema sijawaambia ,Dom is something next big deal
😆😆Unachekesha sana aisee hivi umeisoma hiyo habari au umekurupuka tu. Hiyo inazungumzia miradi ya NHC kwa Dar Es Salaam ambayo ilisimama kutokana na wafanyakazi wa serikali kuhamia Dodoma.Oneni sasa NHC wanavolalama Yani dodoma Bado ni mkoa wa kimaskini sana level zake ni mtwara ,Lindi na kagera hukoView attachment 2709860
Iyo ndo ukweli bro dodoma hakuna mambo Yani Jiji la hovyo hovyo nani aje aishi[emoji38][emoji38]Unachekesha sana aisee hivi umeisoma hiyo habari au umekurupuka tu. Hiyo inazungumzia miradi ya NHC kwa Dar Es Salaam ambayo ilisimama kutokana na wafanyakazi wa serikali kuhamia Dodoma.
Na kwa sasa taasisi chache zilizobakia apa Dar wameambiwa kabla ya mwaka huu kuisha wawe wamehamia Dodoma.Kuna jamaaangu yupo NIMR alishaanza kutafuta nyumba ya kupanga kabisa Dom.
[emoji1787][emoji1787]Endelea kuteseka wewe hater wa Dom City
😀😀NA BADO UTATESEKA SANA....taasisi za serikali zilizobakia Dar zinatakiwa zote ziwe zimehamia fully DomIyo ndo ukweli bro dodoma hakuna mambo Yani Jiji la hovyo hovyo nani aje aishi
Najua hujawahi kufika Dom City huwa unasimuliwa tu...👇👇
Jitahidi uwe unabisha kwa facts sio kiwivu wivu na chuki za kishamba😀😀Iyo ndo ukweli bro dodoma hakuna mambo Yani Jiji la hovyo hovyo nani aje aishi
Wasukuma hatuna mpango wa kuijaza Dodoma ( Strategically) tunalinda hadhi ya Ng'wanzaSio kweli Baada ya Dar Es Salaam yenye population ya 5M + inayofuata ni Mwanza yenye 1.2 M(Wasukuma wanazaliana sana hawanaga uzazi wa mpango😀😀) then Dodoma Jiji yenye 8k plus.Sensa ijayo baada ya miaka kumi population ya DodomaJiji itakua kubwa sana kukaribia Mwanza kwasababu ya uwingi wa watu wanaomiminika na familia zao Dodoma hasa wafanyakazi wa serikali.Idara zote na ofisi za serikali zitakapohamia full in Dodoma pamoja na kukamilika kwa mji wa serikali Mtumba population ya Dodoma Jiji itakua mara mbili ya Arusha Jiji
Jikite kwenye hoja na facts...😀😀Wasukuma hatuna mpango wa kuijaza Dodoma ( Strategically) tunalinda hadhi ya Ng'wanza