Na hapo wamejumlisha kata za tarafa za vijijini...tarafa ya hombolo,zuzu na kikombo...kata za tarafa ya dodoma hazifikishi watu laki 5.[emoji16]Dodoma hao watu laki 8 wamefika lini ? Em angalia Dom Jiji kata 41 ndio mmefika 700k ,Arusha kata 25 tu...hapo Kuna sehemu za Jiji hazijawekwa kama Kisongo ,mateves,Iboru,Lengjave ,olorioen n.k na naskia wako kwa mpango wakuongeza 330Sqm sasa hapo sijui itakuwaje kwa ndugu zetu wagogo
Kwani mahakama ya afrika ipo chini ya UN ....😀😀😀Ulipokua unadanganya kutaja UN ulifikiri wote ni MEMKWA humu kama weweSasa kwamba Arusha Ipo mahakama iyo tu ..kula chuma icho[emoji116][emoji2535]View attachment 2710975
Hombolo,Zuzu na Kikombo zipo chini ya mamlaka ipi....kwani hizo ni ngeni au zimeongezwa baada ya Dodoma kuwa Jiji...!!?Na hapo wamejumlisha kata za tarafa za vijijini...tarafa ya hombolo,zuzu na kikombo...kata za tarafa ya dodoma hazifikishi watu laki 5.[emoji16]
Aliyeandika ni mtu wa dodoma Bwana nasri kingine arusha na Daresalaam ni majiji mawili yanayoongoza sekta tofauti kabisa mkuu dar ni jiji la biashara arusha ni jiji la utalii na diplomasia...huo upori pori ndio utalii wenyewe hasa watu wakitoka kutafuta dar wanaenda kupumzika arusha na zanzibar sasa kwahio kila mtu ni kiongozi eneo lake.Arusha mnajikuuuuta, eti Arusha na Dar zilikosa mpinzani nchini.
Ndio Arusha ni jiji ila bado ni pori
Hakuna aliyepinga hilo mkuu hapo unajitekenya na kucheka mwenyewe😀Hombolo,Zuzu na Kikombo zipo chini ya mamlaka ipi....kwani hizo ni ngeni au zimeongezwa baada ya Dodoma kuwa Jiji...!!?
Kabla ya Dodoma kupandishwa kuwa Jiji ilikua na hadhi ya Manispaa na hizo zote zilikua under jurisdiction ya Dodoma Municipality naona unaokoteza okoteza tu utoporooo wa kubishana
Mbona unaruka ruka tu kubadili topics...nimeshakwambia population inapimwa kwa idadi ya watu sio eneo.Ukiulizwa leo taja majiji yenye watu wengi duniani utaangalia idadi ya watu au eneo la mji😀😀😀.Hakuna aliyepinga hilo mkuu hapo unajitekenya na kucheka mwenyewe😀
Mamlaka ya ustawishaji makao makuu wakati ule CDA waliona kwa manufaa ya ukuaji wa makao makuu wa baadae ni vyema waweke mipaka mikubwa kwa kutambua kuwa ni makao makuu for future development ili baadae wasije wakapata ugumu wa kuplan kwahio unachokiona hapo jiji la Dodoma lina eneo mara mbili zaidi ya mkoa wa Daresalaam na bado population yake ni laki 7 tu😀 angekua mwanafunzi tungemchapa na viboko kabisa licht ya support yote inayopewa na serikali miaka yote bunge liko huko jitihada zilizofanya na awamu ya 5 kuhamishia watu Dodoma bado mko laki 7😃😃 kwenye eneo ambalo ni mara 10 ya mbeya mara 10 ya arusha mara 6 ya mwanza na mara mbili ya mkoa wote wa dar kwanza mnatutiaga aibu tukibattle na wakenya kwenye thread zao mnatupa kazi kuwatetea😀😀 badala yake mnajitia kiburi mkijiona wakubwa kwani hatujui hata hizo barabara mnazojengewa kwa kodi zetu zingekua na maana zaidi arusha mbeya na mwanza ambalo ni jiji la pili kwa ukubwa sisi tuko kimya tumetulia ....nyie mngepaswa mtulie manake kila kitu mnapewq kwa hisani kwa vile ni makao makuu hampo kwenye mikoa inayoongoza gdp wala makusanyo ya tra trust me hata morogoro ingekua inapewa priority kama nyie kwa sqkm hizo wangekua na watu zaidi ya 1m nyie mko na laki 7 bado mnapiga kelele😀😀😀 ukiitembea Dodoma ndio utajua bado mnasafari ndefu kuwa metropolitan
Are you sure?Dodoma hao watu laki 8 wamefika lini ? Em angalia Dom Jiji kata 41 ndio mmefika 700k ,Arusha kata 25 tu...hapo Kuna sehemu za Jiji hazijawekwa kama Kisongo ,mateves,Iboru,Lengjave ,olorioen n.k na naskia wako kwa mpango wakuongeza 330Sqm sasa hapo sijui itakuwaje kwa ndugu zetu wagogo
Kwani za Arusha zote ni za Mjini?Na hapo wamejumlisha kata za tarafa za vijijini...tarafa ya hombolo,zuzu na kikombo...kata za tarafa ya dodoma hazifikishi watu laki 5.[emoji16]
Nyie shindaneni kwanza na bujumbura manake mnatutia aibu 😀😀 nyie ni mji mkuu mmepewa sapoti yote na serikali lakini bado hamuwezi kutuwakilisha kimataifa lazima mkubali Dodoma bado inajengwa haitafika inapotakiwa ndio maana hata viongozi wakubwa wakija watapelekwa dar second option itakua arushaMbona unaruka ruka tu kubadili topics...nimeshakwambia population inapimwa kwa idadi ya watu sio eneo.Ukiulizwa leo taja majiji yenye watu wengi duniani utaangalia idadi ya watu au eneo la mji😀😀😀.
Alafu fact nyingine ni kwamba population wala sio kigezo cha kupima ubora wa mji...unaweza kuwa na mji una population kubwa lakini mipangomiji,miundombinu na huduma za kijamii ni mbovu na vilevile unaweza kuwa na mji una watu wachache na ukawa bora kuzidi wenye watu wengi.
Nakupa mfano Jiji la Luxembourg au Monaco City yana wakazi chini ya lakitano lakini kimaendeleo yamepita mbali sana majiji mengine yenye wakazi zaidi ya milioni mbili mfano Bucharest.
Dom ikue mara ngapi wakati inazidi hayo Majiji yenu yote takribani Kwa Kila kitu?Aseme tu dodoma ni makao makuu ya serikali inatosha ila asifikirie kuilinganisha na mbeya arusha au rock city bado dodoma inakua wasijipe kiburi mapema sana kilichowapa kiburi ni baada ya kuwekewa eneo la mji km za mraba 2600 mara 10 zaidi ya arusha mara 6 zaidi ya mwanza alafu ndio wakafikisha population ya laki 7😀😀😀 dodoma bado sana
Kama Kuna mtu hajakuelewa bas ni kichaaHakuna aliyepinga hilo mkuu hapo unajitekenya na kucheka mwenyewe[emoji3]
Mamlaka ya ustawishaji makao makuu wakati ule CDA waliona kwa manufaa ya ukuaji wa makao makuu wa baadae ni vyema waweke mipaka mikubwa kwa kutambua kuwa ni makao makuu for future development ili baadae wasije wakapata ugumu wa kuplan kwahio unachokiona hapo jiji la Dodoma lina eneo mara mbili zaidi ya mkoa wa Daresalaam na bado population yake ni laki 7 tu[emoji3] angekua mwanafunzi tungemchapa na viboko kabisa licha ya support yote inayopewa na serikali miaka yote bunge liko huko jitihada zilizofanya na awamu ya 5 kuhamishia watu Dodoma bado mko laki 7[emoji2][emoji2] kwenye eneo ambalo ni mara 10 ya mbeya mara 10 ya arusha mara 6 ya mwanza na mara mbili ya mkoa wote wa dar kwanza mnatutiaga aibu tukibattle na wakenya kwenye thread zao mnatupa kazi kuwatetea[emoji3][emoji3] badala yake mnajitia kiburi mkijiona wakubwa kwani hatujui hata hizo barabara mnazojengewa kwa kodi zetu zingekua na maana zaidi arusha mbeya na mwanza ambalo ni jiji la pili kwa ukubwa sisi tuko kimya tumetulia ....nyie mngepaswa mtulie manake kila kitu mnapewa kwa hisani kwa vile ni makao makuu hampo kwenye mikoa inayoongoza gdp wala makusanyo ya tra trust me hata morogoro ingekua inapewa priority kama nyie kwa sqkm hizo wangekua na watu zaidi ya 1m nyie mko na laki 7 bado mnapiga kelele[emoji3][emoji3][emoji3] ukiitembea Dodoma ndio utajua bado mnasafari ndefu kuwa vibrant city atleast kama mbeya mji wenu unakua mpana with nothing if it was me nisingeutanua mji that way miji sikuhizi inakwenda juu kwa majengo ya kuvutia dubai, joberg yote ina sqkm 600 tu ukiweka mji uwe mpana sana na population ya 700k tu unapotezq maana nzima mji take a look ukiwa nane nane bus terminal hadi mtu akushtue hapa ni makao makuu ndio uelewe pako kama porini flani ivi[emoji3] si kwa ubaya but tujifunze hata kwa majirani zetu hapo kigali sasa badala yake nyie tena makao makuu mnabattle na miji ya ndani wakati nyie ndio mnapeperusha benders yetu tanzania [emoji1241] mnachekesha sana[emoji3][emoji3] population yenyewe hamna mji hauko vibrant miti hampandi na nadhani tunaweza tukawa na mji mkuu wa hovyo sana kwenye ukanda wetu sina uhakika kama mtaweza hata kubattle na bujumbura [emoji26]
Leo umekubali kuwa Mbeya inazidiwa na Dodoma?Dom ikue mara ngapi wakati inazidi hayo Majiji yenu yote takribani Kwa Kila kitu?
Hebu tuanze na idadi ya magorofa kisha majengo yaliyoko kwenye ujenzi, idadi ya watumiaji wa magari au lita za mafuta kisha njoo kwenye viwanda malizia na huduma za kijamii kama shule na hospitali bila kusahau hoteli tujue dodoma imezidi kwenye vingapi😀😀Dom ikue mara ngapi wakati inazidi hayo Majiji yenu yote takribani Kwa Kila kitu?
Components ya Ukubwa wa Jiji ni mapato inayotengeneza full stop.Hebu tuanze na idadi ya magorofa kisha majengo yaliyoko kwenye ujenzi, idadi ya watumiaji wa magari au lita za mafuta kisha njoo kwenye viwanda malizia na huduma za kijamii kama shule na hospitali bila kusahau hoteli tujue dodoma imezidi kwenye vingapi😀😀
Dodoma CC inazidi Mbeya CC,Arusha CC,Mwanza CC ila kimkoa ndio Dom Bado
Naona tunabishana na mtu ambaye hajawahi kufika Dom 👇👇Hebu tuanze na idadi ya magorofa kisha majengo yaliyoko kwenye ujenzi, idadi ya watumiaji wa magari au lita za mafuta kisha njoo kwenye viwanda malizia na huduma za kijamii kama shule na hospitali bila kusahau hoteli tujue dodoma imezidi kwenye vingapi😀😀
Mwanza itoe hapo ndugu Dodoma inasafari ndefu sana kufikia Mwanza labda miaka 10 ijayo.Dodoma CC inazidi Mbeya CC,Arusha CC,Mwanza CC ila kimkoa ndio Dom Bado
Endelea kujifariji tu.....Mwanza inazidi nini Dodoma zaidi ya population na viwanda vya samaki.Ebu tupe vigezo vya kupima ubora wa Mwanza tuone hiyo safari😀😀Mwanza itoe hapo ndugu Dodoma inasafari ndefu sana kufikia Mwanza labda miaka 10 ijayo.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Nafikiri mada hii ni Dodoma na Arusha ila sijui ni Mwanza ipi hiyo unaongelea lakini kama ni hii ya Tanzania hapana nduguyangu Dodoma bado sana kwa Mwanza jiji.Endelea kujifariji tu.....Mwanza inazidi nini Dodoma zaidi ya population na viwanda vya samaki.Ebu tupe vigezo vya kupima ubora wa Mwanza tuone hiyo safari[emoji3][emoji3]
😀😀Bado sana kwa vigezo vipi ebu tutajie kama niNafikiri mada hii ni Dodoma na Arusha ila sijui ni Mwanza ipi hiyo unaongelea lakini kama ni hii ya Tanzania hapana nduguyangu Dodoma bado sana kwa Mwanza jiji.
Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app