ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Morogoro ni chenga.Mbeya sio kizuri Kwa magorofa labda kuzuri Kwa maisha na baishara.Nna ndoto ya kuhamia dom kwa baadae Allah akinipa uhai
Katika majiji nimetokea kuyapenda, kibiashara, kuishi π
1 Mwanza
2 Dar
3 Moro mkoa and Dom jijiπͺπ½
Mbeya sijawahi fika maalim wangu, ila nasikia ni kuzuri sana, na ile green yao
Mipango mji wa Dodoma wapewe maua yao hawa watu wapo serious na mji wao kuupanga sio shida hata miji mingine wakajifunze, SLUMS kwa Dodoma haziongezeki zinapungua ila Chuganism maeneo mapya ndio yanaongeza slums badala ya kupunguaUnakutana na Mbugila mmja kachanganyikiwa na Bangi eti analinganisha Dom na uswazi ya Arusha.
Dom ni Capital City na Capital City inafanania namna hii ππ
View: https://youtu.be/dK4KV8Dr6Jg?si=3wMQRZGm-bDPtKOH
Lipi jengo la serikali Arusha unalolojua wewe??! Hotels zike serikali haina hata moja (private entities) parastatals zipo za kuhesabika nafikiri TRA Inakuweka wazi inapata mapato wapi mkuu tusiibishie takwimuMajengo ya Serikali yanalipa Kodi? Kwani pale Dom kinachojengwa ni majengo ya Serikali tuu?
Majengo yote marefu hapo Arusha ni ya nani kama sio Serikali? πππ Story za kujifariji baada ya kichapo kutoka Kwa Dom π€ͺπ€ͺ
View: https://youtu.be/Yln3VNHMAqE?si=7pZgVVbHGlbI_2pL
Mikoa inayoongoza kwa pato la taifaArusha hata aruke vipi hawezi kuikuta Dodoma tena, Dodoma ndio hiyo ishatembea,
Bangee haijawahi kumuacha mtu salama1 Dar
2 Mwz
3 Dom
4 na 5 na 6 watajua nani wamuweke
Asante π π π π π kwa kuleta picha rasmi ya majengo ya serikali mkuu. Ndio nilichokuwa nakisima muda wote ndio maana pato la taifa hawachangii hao zaidi ya kutia hasara yaani mtasubiri sana ndio mko robo ya arusha lwa mapato.Takwimu za TRA Dom ni ya 5 so mdau yupo sahihi.
Kwa Kasi ya Ukuaji wa Jiji la Dom,Dom itakuwa namba 3 nyumba ya Dar na Arusha.Itazipota Mwanza na Kilimanjaro.
Dom the Capital City π₯π₯View attachment 2926793View attachment 2926795View attachment 2926796View attachment 2926797View attachment 2926798View attachment 2926800View attachment 2926801View attachment 2926802View attachment 2926803View attachment 2926804
Nani huyo Yuko robo kimapato? Dom iwe robo ya Arusha? Uko serious kweli?Asante π π π π π kwa kuleta picha rasmi ya majengo ya serikali mkuu. Ndio nilichokuwa nakisima muda wote ndio maana pato la taifa hawachangii hao zaidi ya kutia hasara yaani mtasubiri sana ndio mko robo ya arusha lwa mapato.
Hahahaha alafu mkuu watalii ndio wamevunja record safari hiii.. kwa hiyo 2024 mtarajia arusha billion 800 inaleta
Wewe ni mgonjwa.Lipi jengo la serikali Arusha unalolojua wewe??! Hotels zike serikali haina hata moja (private entities) parastatals zipo za kuhesabika nafikiri TRA Inakuweka wazi inapata mapato wapi mkuu tusiibishie takwimu
ila hapo nakurekebisha ni PAPU sio PAPWewe ni mgonjwa.
PAP ni jengo la private sector?
Ngorongo Conservation ni jengo la private sector?
Esami Building ni private sector?
Yale majengo 2 ya NSSF ni private sector?
Kiufupi robo 3 ya majengo marefu ni ya serikali kama ilivyo hata Dar.
Serikali haikwepeki kwenye maendeleo na bila Serikali hakuna Cha Arusha Wala Dar na Sasa ni Zamu ya Dom ku enjoy.
Mtu anauliza eti kwani majengo ya seeikwanalipa Kodi,kwani hakuna wapangaji wa private sector kwenye majengo ya Serikali?
Dom kamatia hapo hapo wameanza kuweweseka ππ
Hayo ma4 uliyotaja ndio majengo marefu kwako?? π π€£ π π hahaaha embu jaribu kuwa seriously mkuu ndio maana kwenye mapato hampo labda list ya ombaomba mtaongozaWewe ni mgonjwa.
PAP ni jengo la private sector?
Ngorongo Conservation ni jengo la private sector?
Esami Building ni private sector?
Yale majengo 2 ya NSSF ni private sector?
Kiufupi robo 3 ya majengo marefu ni ya serikali kama ilivyo hata Dar.
Serikali haikwepeki kwenye maendeleo na bila Serikali hakuna Cha Arusha Wala Dar na Sasa ni Zamu ya Dom ku enjoy.
Mtu anauliza eti kwani majengo ya seeikwanalipa Kodi,kwani hakuna wapangaji wa private sector kwenye majengo ya Serikali?
Dom kamatia hapo hapo wameanza kuweweseka ππ
Billion 200 vs billion 600 ndio gap kati ya dodoma na Arusha do the calculations hapo nyie wagogo mmeachwa % ngapi mkapambane na Mwanza na kilimanjaro level zenu. Huwez pambanisho mkoa wenye ghorofa 7000 vs 1000 that's unnecessary insanityNani huyo Yuko robo kimapato? Dom iwe robo ya Arusha? Uko serious kweli?
Jiji la Dom Lina Mapato mengi kushinda Arusha na ndugu yake Mwanza.
Kwanza unapotosha figures ,Dom inakusanya zaidi ya Bil.230Billion 200 vs billion 600 ndio gap kati ya dodoma na Arusha do the calculations hapo nyie wagogo mmeachwa % ngapi mkapambane na Mwanza na kilimanjaro level zenu. Huwez pambanisho mkoa wenye ghorofa 7000 vs 1000 that's unnecessary insanity
Tuwekee list ya majengo marefu kuzidi hayo hapo Uswazini Arusha.Hayo ma4 uliyotaja ndio majengo marefu kwako?? π π€£ π π hahaaha embu jaribu kuwa seriously mkuu ndio maana kwenye mapato hampo labda list ya ombaomba mtaongoza
Arusha hata aruke vipi hawezi kuikuta Dodoma tena, Dodoma ndio hiyo ishatembea,
Mkuu maghorofa elfu 7 sio mchezo tukihesab modi ya majengo pekee dodoma tunaipiga kwa mbali hapo bado biashara zingine nyie tulieni mle choya na ubuyu tuTuwekee list ya majengo marefu kuzidi hayo hapo Uswazini Arusha.
Wewe acha stori za uswahili uswahili,weka hapa magorofa marefu ya Arusha tuone kama sio ya serikali.Mkuu maghorofa elfu 7 sio mchezo tukihesab modi ya majengo pekee dodoma tunaipiga kwa mbali hapo bado biashara zingine nyie tulieni mle choya na ubuyu tu
Umetaja ma 5 sijui 6 ndio ya serikali 7000 mengine yetu sisi raia machalii mkar mtulie na tembe zenu dodomaWewe acha stori za uswahili uswahili,weka hapa magorofa marefu ya Arusha tuone kama sio ya serikali.
Hata kwenye hayo 6,000 ,nusu ni ya serikali ππ