ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Mkuu siwezi kuhesabu maghorofa elfu7 nafikiri haihitaji kubishana au huamini takwimu za sensa.Wewe acha stori za uswahili uswahili,weka hapa magorofa marefu ya Arusha tuone kama sio ya serikali.
Hata kwenye hayo 6,000 ,nusu ni ya serikali 😂😂