Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kumbe upo bungeni huku, hebu twende carribean pale tukaongee vizuri... Pia tuongee zaidi habari za diamond, zari na tiffah ha ha haHahahha Nimekumic chief, guess what juzi chibu alikuwepo Dodoma kidogo nikajichanganye na wanafunzi kushangilia sema Mr alibana dah.
Ananiambia mama mtu mzima ukaanze kurukaruka na wanafunzi, nikamjibu mbona mpira huwa unashangilia na utu uzima wako na ukifungwa unanunia hadi wanao?
Afadhali nimepata jirani, PM kunahusika sana. Carribean na weekend hii swaaafi kabisa. Tumalize majukumu tukajiachie.Kumbe upo bungeni huku, hebu twende carribean pale tukaongee vizuri... Pia tuongee zaidi habari za diamond, zari na tiffah ha ha ha
Hiv kwan Le Mutuz kasigniwa nae label ya Wasafi Clasaic!?[emoji87] [emoji87]Jamaa ndio dereva wao!?
Kwa habari nilizopenyezewa Dodoma kumetokea hali ya kutisha baada ya Diamond kupanda jukwaani na mashabiki kuchanganyikiwa na kuanza kukanyagana.
Naambiwa watu walikuwa wengi sana kwenye show kiasi wengine wamezimia na inasemekana............
Mlio huko tupeni taarifa ya uhakika nini haswa kinaendelea.
Exactly! wataelewa tuPamoja na kuleta Uzi WA kumchafua kuhusu vodacom kumtumia mbona bado anajaza Sana watu. Vodacom did the right choice. Mti wenye matunda ndio unatupiwa mawe.