Dodoma hapakaliki, Watu wa Jiji wanafunga biashara za Watu kisa Service Levy

Dodoma hapakaliki, Watu wa Jiji wanafunga biashara za Watu kisa Service Levy

berylyn

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2021
Posts
877
Reaction score
2,618
Nchi ya ovyo utaijua tu. Serikali haijakusaidia kufungua biashara, haijakupa mkopo, haijakupa ujuzi namna ya kufungua biashara. Haijakufundisha namna ya kutengeneza product iendane na soko la kimataifa. Haijawasaidieni muweze hata kupeleka bidhaa zenu soko la kimataifa. Ila wanakuja na makufuli wanakufungia biashara Yako.

Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia Mange Kimambi kuonesha upuuzi mnaoufanya .

Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?

Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya ovyo hii. Loh .
 
Nchi ya hovyo utaijua tu. Serikali haijakusaidia kufungua biashara, haijakupa mkopo, haijakupa ujuzi namna ya kufungua biashara. Haijakufundisha namna ya kutengeneza product iendane na soko la kimataifa. Haijawasaidieni muweze hata kupeleka bidhaa zenu soko la kimataifa. Ila wanakuja na makufuli wanakufungia biashara Yako.

Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia mange kimambi kuonesha upuuzi mmnaoufanya .

Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?

Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya hovyo hii. Loh .

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kuna sheria ya kodi; kulipa kodi ni wajibu wa raia, siyo shukurani kwa serikali.

Anzisha biashara yako mwenyewe, tafuta mbinu zao za kuuuza na kupata faida, lakini lazima uilipe serikali kodi yake.
kwa hiyo usiilaumu serikali kwa kukudai kodi yao.

Lalamikia tu utaratibu wa jinsi wanavyodai kodi lakini siyo kwa kukudai kodi hiyo.
 
Nchi ya hovyo utaijua tu. Serikali haijakusaidia kufungua biashara, haijakupa mkopo, haijakupa ujuzi namna ya kufungua biashara. Haijakufundisha namna ya kutengeneza product iendane na soko la kimataifa. Haijawasaidieni muweze hata kupeleka bidhaa zenu soko la kimataifa. Ila wanakuja na makufuli wanakufungia biashara Yako.

Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia mange kimambi kuonesha upuuzi mmnaoufanya .

Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?

Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya hovyo hii. Loh .

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Pole sana Mkuu, inaonekana umevurugwa sana.
 
Back
Top Bottom