berylyn
JF-Expert Member
- Dec 26, 2021
- 877
- 2,618
Nchi ya ovyo utaijua tu. Serikali haijakusaidia kufungua biashara, haijakupa mkopo, haijakupa ujuzi namna ya kufungua biashara. Haijakufundisha namna ya kutengeneza product iendane na soko la kimataifa. Haijawasaidieni muweze hata kupeleka bidhaa zenu soko la kimataifa. Ila wanakuja na makufuli wanakufungia biashara Yako.
Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia Mange Kimambi kuonesha upuuzi mnaoufanya .
Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?
Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya ovyo hii. Loh .
Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia Mange Kimambi kuonesha upuuzi mnaoufanya .
Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?
Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya ovyo hii. Loh .