kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Mama alisema hakuna kufunga biashara ya mtu, ni kutoa elimu kuhusu kodi. Imekuwaje hapo Dodoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashangaa nini kimetokea.Mama alisema hakuna kufunga biashara ya mtu, ni kutoa elimu kuhusu kodi. Imekuwaje hapo Dodoma?
Utakomaaje ukitoka nje unaona wenzako wote wametolewa nje.Hakuna kitu kama hicho,nyie wafanyabiashara mkikomaa hakuna atakayefunga
Wow jambo jemaWiki iliyopita ilikuwa hapa Mwanza wilaya ya Misungwi,wafanya biashara walifanya mgomo kwa siku nzima,hawakufungua biashara zao..Wakilalamikia service levy ni kubwa na hawajapewa elimu juu ya hiyo kitu[emoji871]
haya mambo ya fungia biashara si yalishakatazwa au mimi ndio nimesahau?Sijakataa kulipa Kodi lakini, kwani ni lazima waje wakufungie? Si wangeweka mfumo kwamba maybe hupati leseni Hadi ulipie service levy? Hii kufungiana makufuli ni uswahili. Huku ni kuendesha nchi kiswahili. Na siyo kisomi.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
du kaaazi kweli unaambiwa Jiji wewe upo na tra tra hawakusanyi vikodi vidogo hivo service levy inakusanywa na Jiji .Ila TRA Tanzania buana
Kodi kulipa ni lazima ila haidaiwi kwa nguvu na lazima. Mtu kama hajalipa kodi unatakiwa kumpeleka mahakamani huko sasa ndipo majadiliano yakafanyike sio unamfungia biashara huko ni kuhujumu uchumi kwa kutumia mamlaka halali ya serikali.Kuna sheria ya kodi; kulipa kodi ni wajibu wa raia, siyo shukurani kwa serikali.
Anzisha biashara yako mwenyewe, tafuta mbinu zao za kuuuza na kupata faida, lakini lazima uilipe serikali kodi yake.
kwa hiyo usiilaumu serikali kwa kukudai kodi yao.
Lalamikia tu utaratibu wa jinsi wanavyodai kodi lakini siyo kwa kukudai kodi hiyo.
Unarusha mateke huku unaita mwizi.Yani wanaweza kufunga line nzima ya maduka. Barabara yote kushoto na kulia wanafunga maduka . Wakikukuta na mteja wanawatoa nje wewe mwenye duka na mteja wako. Alafu wanatia kufuli.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Aliwambia TRA hao wanaozungumziwa kwenye huu uzi ni Halimashauri.Mama alisema hakuna kufunga biashara ya mtu, ni kutoa elimu kuhusu kodi. Imekuwaje hapo Dodoma?
Sidhani kama post hii kweli inajibu hiyo uliyokwoti. Hata hivyo Elewa pia kuwa kupelekwa mahakamani ni process ya nguvu na lazima, siyo ya kubembelezwa. Serikali haimbembelezi raia kulipa kodi.Kodi kulipa ni lazima ila haidaiwi kwa nguvu na lazima. Mtu kama hajalipa kodi unatakiwa kumpeleka mahakamani huko sasa ndipo majadiliano yakafanyike sio unamfungia biashara huko ni kuhujumu uchumi kwa kutumia mamlaka halali ya serikali.
Pole sana kwahiyo ulitaka ufanye biashara bila kulipa kodi,au hoja yako ni nini hasa mana unalialia tu utadhani ndio umefka leo tz.Nchi ya ovyo utaijua tu. Serikali haijakusaidia kufungua biashara, haijakupa mkopo, haijakupa ujuzi namna ya kufungua biashara. Haijakufundisha namna ya kutengeneza product iendane na soko la kimataifa. Haijawasaidieni muweze hata kupeleka bidhaa zenu soko la kimataifa. Ila wanakuja na makufuli wanakufungia biashara Yako.
Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia Mange Kimambi kuonesha upuuzi mnaoufanya .
Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?
Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya ovyo hii. Loh .