Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Civilization bado inatupiga chenga nenda after few weeks utakuta ama maji hayatoki au tap zimechomolewa
Sis sijui tuna matatizo gani.Civilization bado inatupiga chenga nenda after few weeks utakuta ama maji hayatoki au tap zimechomolewa
Sis sijui tuna matatizo gani,
Sio usafi tuSema hapo ndiyo kwenye shida.usafi usafi ni janga kubwa bongo.nashauri wangebinafsisha hivyo vyoo labda inaweza saidia.maana huyo jamaa anayekula ugali na samaki baada ya wiki mbili tatu akirudi hapo na samaki wake ataweza dhani samaki ameoza
Hakuna nchi Afika mashariki yenye stendi za mabasi kama Tanzania, iwe ile ya Msamvu Morogoro, ya kule Sumbawanga na hata hiyo ya Dodoma.Si utani.hii kitu ya uhakika.tuenda sambamba na nchi za wenzetu huko.inawezekana hiyo ni stendi nzuri zaidi kwa Afrika Mashariki(Si uhakika). Utadhani ni airport. Ngoja tuone hiyo ya kibamba ikikamilika.
Siyo inawezekana kwa east africa stand kali ilikua ni Msamvu ya Morogoro now msavu imetolewa na stand ya Dodoma, ila stand ya Mbezi DSM ikikamilika ndio itakua baba lao.Si utani.hii kitu ya uhakika.tuenda sambamba na nchi za wenzetu huko.inawezekana hiyo ni stendi nzuri zaidi kwa afrika mashariki(Si uhakika).utadhani ni airport.Ngoja tuone hiyo ya kibamba ikikamilika.
Hizo nchi za wenzetu hizo stendi zao zina sadifu na hali ya maisha ya wananchi wao!!! Sifa za kijinga, wewe mwananchi wa kawaida inakusaidia nini hata iwe ya kwanza duniani, wakati ukienda hospital hata dawa za muhimu tu hakuna?Si utani.hii kitu ya uhakika.tuenda sambamba na nchi za wenzetu huko.inawezekana hiyo ni stendi nzuri zaidi kwa afrika mashariki(Si uhakika).utadhani ni airport.Ngoja tuone hiyo ya kibamba ikikamilika
Inawezekana hawana lakini kipi bora uchumi wa wananchi wao mmoja ukiwa ni bora kuliko wako wenye mastendi hayo?!! Mfano Kenya?Hakuna nchi Afika mashariki yenye stendi za mabasi kama Tanzania, iwe ile ya Msamvu Morogoro, ya kule Sumbawanga na hata hiyo ya Dodoma.
Hivi unafahamu kuwa Tanzania ndiyo nchi inaongoza Afrika kwa uchumi unaojumuisha wananchi walio wengi?Inawezekana hawana lakini kipi bora uchumi wa wananchi wao mmoja ukiwa ni bora kuliko wako wenye mastendi hayo?!! Mfano Kenya?
Heeee!! Nipe chanzo cha habari yako!! Ila isiwe kutoka kwa mzee macho kodo anakozitoa, iwe ya kimataifa!Hivi unafahamu kuwa Tanzania ndiyo nchi inaongoza Afrika kwa uchumi unaojumuisha wananchi walio wengi?
Unadhani anajua basi hata hayo mambo zaidi tu ya ubishi wa kijinga humu!Hivi unafahamu kuwa Tanzania ndiyo nchi inaongoza Afrika kwa uchumi unaojumuisha wananchi walio wengi?
Ukanda wote huu hakuna nchi yenye bus terminal kama hiyo kwanza hata ni nzuri kuliko airport za nchi zingine.siyo inawezekana kwa east africa stand kali ilikua ni msavu ya morogoro now msavu imetolewa na stand ya dodoma, ila stand ya mbezi DSM ikikamilika ndio itakua baba lao
Heeee!! Nipe chanzo cha habari yako!! Ila isiwe kutoka kwa mzee macho kodo anakozitoa, iwe ya kimataifa!!
Kati ya hizo zote ipi bora kuliko zote. Kwa upande wako?Hakuna nchi Afika mashariki yenye stendi za mabasi kama Tanzania, iwe ile ya Msamvu Morogoro, ya kule Sumbawanga na hata hiyo ya Dodoma.
trueUkanda wote huu hakuna nchi yenye bus terminal kama hiyo kwanza hata ni nzuri kuliko airport za nchi zingine.