Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Hadi umeacha kujadili mada! Hakika imekunyoosha.Duh! Uchama Tanzania umezidi udini na ukabila.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi umeacha kujadili mada! Hakika imekunyoosha.Duh! Uchama Tanzania umezidi udini na ukabila.
Wapi Dar watoto wanakaa chini wewe?Wapi nimesema kuwa serikali italeta pesa bila mtu kufanya kazi? Nani amekwambia kuwa sasa pesa haipigwi? Rejea ripoti za CAG, tena kwa taarifa yako, huo usiri unaofanyika sasa ndio pesa zinapigwa balaa, hizo nchi unazosema wana matatizo yao lakini sio kama haya, maji tu safi na salama ni mtihani!!, panadol tu, mtihani, ushabikie eti stendi?!! Jitahidi kupunguza matatizo ya msingi kwanza kwa wana nchi wako!! Watoto tu bado wanasomea nje, wana kaa chini tena hapa hapa dar!!! Majengo mengi ya hospital yamejengwa sawa, lakini madawa, watumishi ni shida, hospital ni zaidi ya majengo.
Lazima wamuonyeshe big brother pia wao wapo kazini...SGR noma wamekimbilia stendi.Hii ingepelekwa kwenye jukwaa zenu huko maana haina uhusiano wowote na Kenya. Jukwaa la mapenzi ingekuwa bora zaidi.
Hebu nionyeshe za Bwana wenu South Africa 😉Ukisikia Uchumi wa kati ndio huu
Nchi inajengwa kweli kweli
Kenya kuwa na stand kama hii ni 2030+View attachment 1491830View attachment 1491831View attachment 1491832View attachment 1491834View attachment 1491835View attachment 1491836View attachment 1491837View attachment 1491839View attachment 1491840View attachment 1491841View attachment 1491842
Ninyi huwa nawaona kama hamnaga akili timamu.Stendi hii ingekuwa mojawapo wa Hospitali za Rufaa za wilaya au mikoa zinazotoa huduma masaa 24 zikiwa na vifaa tiba vya kisasa vingi, madawa na wafanyakazi wa kutosha wa sekta ya afya nadhani ingependeza zaidi.
Sielewi kwanini wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Halmashauri za miji / town councils wakaamua kutumia fedha nyingi ktk ujenzi wa stendi kila kona ya Tanzania badala ya kuanza na mahospitali.
Labda sera ya Maendeleo ya Vitu vya CCM Mpya ni kipaumbele zaidi ya Maendeleo ya Watu ktk kupata huduma bora za matibabu ili waendelee kuchapa kazi .
Naona vijana wanakukomesha na mapichs makali, hivi KE mtajenga lini stendi za maana? kweli Kenya imeachwa nyuma sana🙂Wapi Dar watoto wanakaa chini wewe?
Hawana airport kama hii achilia mbali stand sababu hata utaratibu wa kuabiri kama Tanzania hawana.Ukisikia Uchumi wa kati ndio huu
Nchi inajengwa kweli kweli
Kenya kuwa na stand kama hii ni 2030+View attachment 1491830View attachment 1491831View attachment 1491832View attachment 1491834View attachment 1491835View attachment 1491836View attachment 1491837View attachment 1491839View attachment 1491840View attachment 1491841View attachment 1491842
Ya kwenda wapi?Naona vijana wanakukomesha na mapichs makali, hivi KE mtajenga lini stendi za maana? kweli Kenya imeachwa nyuma sana🙂
Heheheheheeee bora ww Mkenya umemuuliza akuoneshe ni wapi Dar wanafunzi wanakaa chini na akuwekee evidence kuwa ni 2020, au huenda amemaanisha wanakaa chini huko makwao na co shule.Wapi Dar watoto wanakaa chini wewe?
Vipi kuhusu Rais kuwaruhusu street vendors wafanye shughuli zao popote.Tatizo mfumo na wizara na waziri husika kapwaya wewe tazama usafi jiji la Dar umerudi kama zamani takataka kila kona magari ya taka hayazoi taka kama zamani sijui mkuu wa mkoa anafanya kazi gani sikuizi labda yupo bize kwenya mali zake
ninyi huwa nawaona kama hamnaga akili timamu
Huwa hamuwezi ku appreciate kwanza then uache siku ipite uje na hoja ya kutaka kingine kizuri kifanyike, huwa mnaponda zuri lolote linalofanywa na serikali hii kwa hila na uongo
Mtaumbuka sana wachawi wa nchi hii
Hizo nchi za wenzetu hizo stendi zao zina sadifu na hali ya maisha ya wananchi wao!!! Sifa za kijinga, wewe mwananchi wa kawaida inakusaidia nini hata iwe ya kwanza duniani, wakati ukienda hospital hata dawa za muhimu tu hakuna?!! Wenzako ulaya karibia kila kitu kiko sawa, mfano kwa mtu wa chini aliyeshindwa kupanda ndege kipindi fast jet zipo, nauli hata kwenda mwanza mtu angeweza kulipa 80,000!!!,asahau kabisa kupanda ndege, hizo zilizoletwa kwa mbwembwe, mgonga ulimbo gani anayeweza kuzipanda?!! Hilo daraja la tazara ukiangalia unafuu wake kwa watumiaji wanaotoka barabara ya Mandela bado ni mdogo mnooo!!! Ukilinganisha na tambo zilizokuwa zikitolewa na viongozi!!!
Unaelewa nini kuhusu neno "Tanzania inapigana kujiinua kiuchumi kuelekea uchumi wa kati?" Hospitali nchi nzima zimerekebishwa na kufanywa kuwa kubwa, kama kwenu haijarekebishwa tafadhali nikosoe. Hospitali zimejengwa n vituo kale vimepanuliwa ili kuendelea kutoa huduma kiufanisi zaidi. Hivi kipindi cha kikwete ulienda muhimbili na saivi umeenda kweli?
Kama hospitali karibu na kwenu haijarekebishwa, kama barabara ya jijini kwako kama sio unapoishi hazijajengwa, basi mimi ni mpumbavu nisiyejionea mambo kwa jicho la pili, ila kama hivyo vitu nilivyovitaja vipo, tafadhali ninakuomba ubadilishe mawazo ya kishoga, utaolewa. Serikali inafight kutengeneza mazingira mazuri ya wananchi wake kujikwamua kiuchumi, kama wewe unangojea serikali ikupe pesa utaolewa. Piga kazi kaka, katika hii awamu ninaowajua wanapiga kazi karibia wote wanajenga alafu wewe unapiga zogo. Toa lawama wenzako waleeee
Hizi ndizo tunaita sifa za kijinga!!!! Naona umedandia treni kwa mbele nisaidie chanzo cha habari kuwa ktk nchi a afrika mashariki, TZ, inaongoza kwenye inclusive economy!!Ukanda wote huu hakuna nchi yenye bus terminal kama hiyo kwanza hata ni nzuri kuliko airport za nchi zingine.
Siasa zimekuharibu kiasi kwamba kazi ni kupinga na kubisha kila kitu,Hizi ndizo tunaita sifa za kijinga!!!! Naona umedandia treni kwa mbele nisaidie chanzo cha habari kuwa ktk nchi a afrika mashariki, TZ, inaongoza kwenye inclusive economy!!
Kwanini airport zinachukuliwa serious pia? Kuna tofauti gani kama maeneo yote ni ya kuabiri abiria au you take airports seriously sababu most of the users are foreigners? Then you don't care for your common people.I realized Tanzanians take bus terminals very seriously, i don't understand why🙄🙄. Anyway, to each their own.