Dodoma kama Ulaya, Stendi mpya kama airport yashika namba 1 Tanzania, ina Kanisa na Msikiti

Dodoma kama Ulaya, Stendi mpya kama airport yashika namba 1 Tanzania, ina Kanisa na Msikiti

Pelekeni huko kwenu. Sisi miradi zetu hatuziposti kwenye jukwaa zenu sasa mbona mnatuletea upupu wenu huku? Ama ni inferiority complex? Yaani lazima uringie jirani ndio uhisi vizuri? Grow up. Hata mods wenu naona wako immature sana. Threads kama hizi ambazo hazina uhusiano na Kenya zinastahili kugongwa na kung'olewa kabisa na kutupwa kwenye nyuzi za mapenzi na mapambo katika sekshen ya Tanzania.
Miradi yenu yote humu mnaihusisha Tz. Nyie mbona tukiwaonyesha ya huku mnalialia. Sio kawaida yetu kuleta projects zetu huku ila ninyi mnatulazimu tufanye hivyo.
 
Miradi yenu yote humu mnaihusisha Tz. Nyie mbona tukiwaonyesha ya huku mnalialia. Sio kawaida yetu kuleta projects zetu huku ila ninyi mnatulazimu tufanye hivyo.
Kwa hivyo tukiwacha kuwataja mtawacha kuleta miradi zenu huku?
 
Gharama za mastendi ni kubwa mno kuli.

Pesa iliyokuwa ommitted kwenye mastendi na miradi ya dizaini hiyo kwa lugha ya miradi ya kimkakati ni nyingi sana kuliko iliyopelekwa kwenye vituo vya afya. Complications kwenye stend na gharama kubwa hivyo ni za nini? watu wajifunze optimal allocations of resources.

Siku hizi kumezuka wizi mpya wa kutoza watu pesa kuingia stend au kuzuia malori kuingia mjini kwamba ukitaka kuingia mjini ulipe pesa, logic ya kitu hiki ni nini hasa?
Wewe uthibitisho huna hakuna awamu iliyojitahidi kwenye sekta ya afya kama hii.
 
Wewe uthibitisho huna hakuna awamu iliyojitahidi kwenye sekta ya afya kama hii.
Uthibitisho wa kitu gani? Si usome bajeti za tamisemi kuna majibu hapo au? Swala si kujitahidi swala ni kufanya inavyotakiwa kwenye huduma za msingi za jamii ndio mambo mengine yaendelee, ilani ya chama ilikuwa ni kituo cha afya kila kata na zahanati kila kijiji sasa viko wapi.Councils ziko busy kushindana kujenga mastendi na masoko makubwa makubwa wakati hata sio kipaombele cha wananchi, ukiuliza utaambiwa ni mradi wa kimkakati eti serikali inajenga kitega uchumi.
 
Civilization bado inatupiga chenga nenda after few weeks utakuta ama maji hayatoki au tap zimechomolewa
Na mikojo kwenye kona kona ya bomba na kuta.

Mtu mweusi anapaswa kufunzwa ustaarabu kwanza na kuondolewa tongotongo kabla ya kupatiwa maendeleo.
 
Uthibitisho wa kitu gani? si usome bajeti za tamisemi kuna majibu hapo au? swala si kujitahidi swala ni kufanya inavyotakiwa kwenye huduma za msingi za jamii ndio mambo mengine yaendelee.Councils ziko busy kushindana kujenga mastendi na masoko makubwa makubwa wakati hata sio kipaUmbele cha wananchi, ukiuliza utaambiwa ni mradi wa kimkakati eti serikali inajenga kitega uchumi.
So hizo halmashauri zinazojenga stendi na masoko hazina hospitali?
 
Na mikojo kwenye kona kona ya bomba na kuta

Mtu mweusi anapaswa kufunzwa ustaarabu kwanza na kuondolewa tongotongo kabla ya kupatiwa maendeleo.
Unatakiwa kufahamu kwamba hakuna ustaarabu kwenye jamii maskini na iliyojaa ujinga kama bongo hapa,ndio maana hata siasa watu wanachagua anayewahonga na wananchi wanaona serikali kutekeleza wajibu wake ni kama hisani ndio maana unaona pambio haziishi.
 
Miradi yenu yote humu mnaihusisha Tz.Nyie mbona tukiwaonyesha ya huku mnalialia.Sio kawaida yetu kuleta projects zetu huku ila ninyi mnatulazimu tufanye hivyo.
Huyu ndio alikuwa Mungu wa Wakenya aliyeitwa Jehova Wanyonyi.

Kwa Bahati mbaya amekufa

Sasa sijui atakayewaokoa na Corona ni nani.

images (46).jpg
 
So hizo halmashauri zinazojenga stendi na masoko hazina hospitali?
We nae karibu nakupuuza,umewahi enda hata hospital moja ya serikali ukaona misongamano ya wagonjwa ilivyo? Nimekwambia sera ya afya na hata kwenye ilani ya CCM ya 2015-2020 ilikuwa ni kituo cha afya kila kata na zahanati kila kijiji, viko wapi? Kwa akili yako unadhani vituo vya afya vilivyojengwa vimeondoa tatizo? Unajua uwiano wa vituo vya huduma na idadi ya watu ulivyo au unakurupuka tuu, kwa hiyo kwako mbio za mastendi na masoko ya gharama ni sahihi kuliko huduma za msingi?
 
Jana mkuu anapita kwenye tren watu wanalilia maji na shule ikabidi aanzishe harambee kuchangisha pesa.Mjifunze vipaombele vya kumsaidia mwananchi hamjengi hayo kwa faida ya mbuzi na muache miradi ya show off..sasa barabara ya lami ya nini kama hakuna hospital .Unakuta barabara zikijengewa mitaro zinapitika saafi lakini mnataka kuweka lami wakati hakuna maji nk nk sasa watu wawaeleweje
Huwez kutatua shida zote ila kinachotakiwa sehem kubwa ya changamoto uwe umeitatua hata marekani inayojifanya kusaidia nchi kibao bado ina shida ndogo ndogo Kwa wananchi wake kibao sasa hiyo ni asili haiepukiki shida azihishi ila Kwa mtu asiekua na akili ndio anaeweza kusema Magufuli hajafanya kitu kwasababu hizi ndogo ndogo zinazotokea .mfano mdogo jaribu kutatua shida ya wazazi wako nyumbani yani familia uliozaliwa nayo kama mama, Baba, dada ,wadogo zako halafu utaona kitakachotokea kila unapojitahidi humalize shida za familia utaona shida zipo pale pale na kila cku zinazuka mpya na kubwa na zamuhimu kuliko za Jana na juzi halafu kama utakua na ufaham utaelewa nini namaanisha.
 
we nae karibu nakupuuza,umewahi enda hata hospital moja ya serikali ukaona misongamano ya wagonjwa ilivyo? Nimekwambia sera ya afya na hata kwenye ilani ya ccm ya 2015-2020 ilikuwa ni kituo cha afya kila kata na zahanati kila kijiji,viko wapi?

Kwa akili yako unadhani vituo vya afya vilivyojengwa vimeondoa tatizo? unajua uwiano wa vituo vya huduma na idadi ya watu ulivyo au unakurupuka tuu,kwa hiyo kwako mbio za mastendi na masoko ya gharama ni sahihi kuliko huduma za msingi?
We jamaa nakujibu kwa mara ya mwisho cz niliamua kukupuuza mana ww ni pessimistic wa hali ya juu usiyeweza kushukuru hata kwa kidogo ulichonacho, ni hv changamoto hazijawahi kuisha kwa mwanadamu, nenda popote duniani hata Marekani kuna changamoto katika sekta ya afya, lkn nimekushusha zaidi na natamani hata nisingelikuwa naziona post zako co kwasabu unapinga la hasha bali ww ni mpuuzi sana ur arguments do not hold any water, wapo wengi huwa wanapinga lkn mtu unaona huyu anachoongea kinaleta tija, huwezi ukakosoa ujenzi wa masoko na miundombinu mingine eti kisa sekta ya afya bado haijamaliziwa mahitaji yake tng lini mahitaji ya mwanadamu yakaisha? Kwny uchumi huwa tunasema human wants are unlimited but resources are scarce, unataka vipaombele viwekwe kwenye ujenzi wa vituo vya afya tu je hyo pesa ya kwenda huko kwenye vituo vya afya utawapa ww hao wananchi?

Ni lazima tuguse kote lazima barabara zijengwe, lazima masoko yajengwe maji yapelekwe, mwananchi ukimuwekea soko uchumi unakuwa anakuwa na pesa ya kula vizuri, ukimuwekea maji safi na salama akanywa haumwi hovyo, btw hata hvyo vituo vya afya unavyolaumu humu vimekuwa vikijengwa kila leo na sidhani kama kuna awamu iliyojenga vituo vingi vya afya km hii nikipata evidence ntakuletea humu, yn huna unachoongea cha mana na ndiyo maana humu unapingwa na kila mtu cz wamekugundua una chuki binafsi, hata wapinzani wenzio huwa hawakusapoti humu cz u always talk no sense, badilika kuwa positive hata kama unapinga lkn inapaswa vingine vizuri uwe unasema, mbn cc humu kuna wengine ambao wanasifia visivyostahili lkn tunawakatalia ss ww kwnn unakuwa hivyo ww jamaa? Sitakujibu tena na ningependa wengine wenye kujua maana wakuache tu, ww ni mtapa tapa unaeleta hasira za nyumbani kwako humu.
 
Pelekeni huko kwenu. Sisi miradi zetu hatuziposti kwenye jukwaa zenu sasa mbona mnatuletea upupu wenu huku? Ama ni inferiority complex? Yaani lazima uringie jirani ndio uhisi vizuri? Grow up. Hata mods wenu naona wako immature sana.

Threads kama hizi ambazo hazina uhusiano na Kenya zinastahili kugongwa na kung'olewa kabisa na kutupwa kwenye nyuzi za mapenzi na mapambo katika sekshen ya Tanzania.
[emoji849][emoji848][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Da nimecheka kweli leo , naona unatokwa na povu utazani kuna mtu kakushika makalio leo hii ndio unaona zingeng'olewa na kutupwa huko !!kweli tushawashika kunako mumeishiwa hoja tatizo Kenya munalingia mijengo ya mkoroni Uhuru hamna kipya anachofanya baraka ya mapambio tu.
 
we nae karibu nakupuuza,umewahi enda hata hospital moja ya serikali ukaona misongamano ya wagonjwa ilivyo? Nimekwambia sera ya afya na hata kwenye ilani ya ccm ya 2015-2020 ilikuwa ni kituo cha afya kila kata na zahanati kila kijiji,viko wapi? Kwa akili yako unadhani vituo vya afya vilivyojengwa vimeondoa tatizo? unajua uwiano wa vituo vya huduma na idadi ya watu ulivyo au unakurupuka tuu,kwa hiyo kwako mbio za mastendi na masoko ya gharama ni sahihi kuliko huduma za msingi?
Sasa vituo vya afya si vinaendelea kujengwa wewe. Na ujenzi wa vituo vya afya unaenda sambamba ujenzi wa miundombinu mingine.Au ulitaka tujenge vituo vya afya pekee awamu yote? Aliyekwambia kero ya wananchi ni afya pekee nani? Yaani wewe ni kama unalalamika JNIA wasijenge Terminal III halafu fedha zote wajenge vituo vya afya. Unakuwa kituko sasa.

Hata nami ni mhudhuriaji wa hospitali za serikali na majuzi nimetoka Sekou Toure sijakuta msongamano wowote.Zaidi nilikuta upanuzi wa wodi ya mama na mtoto ukiendelea.
 
Saivi mambo mwekele kila mkoa stand kali ila najiuliza zinawasaidiaje wale ambao hawasafiri.
 
[emoji849][emoji848][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Da nimecheka kweli leo , naona unatokwa na povu utazani kuna mtu kakushika makalio leo hii ndio unaona zingeng'olewa na kutupwa huko !!kweli tushawashika kunako mumeishiwa hoja tatizo Kenya munalingia mijengo ya mkoroni Uhuru hamna kipya anachofanya baraka ya mapambio tu
Wameanza kutii [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom