Dodoma kama Ulaya, Stendi mpya kama airport yashika namba 1 Tanzania, ina Kanisa na Msikiti

Dodoma kama Ulaya, Stendi mpya kama airport yashika namba 1 Tanzania, ina Kanisa na Msikiti

So bus stop ndio the only kipimo ya maendeleo, mnachekesha sana.

After one year mtuambie iyo stop imeingiza revenue kiasi gani,iyo ndio progress watu wanataka kuskia si mapicha.
Acha ujinga unaposifia jiji lazima kunakua na vitu vingi vya high level sasa unaambiwa jiji la Nairobi halafu hata hapaendani na jiji, sasa utatofautiahaje sasa Kati ya jiji, mji.
 
Acha kutuletea upimbi apa kwani mahospital hayajengwi, alaf sio kila kitu kiend utakavy ww chamsingi hospital za kanda na huduma za afya vituo vinajengwa kila uchwao so acha kubadilisha habari hakuna siye jua, huo uchama pelekea uko.

Weka uthibitisho kipindi cha 2015 - 2020 hospitali gani kubwa za kisasa zimejengwa ukubwa wa stendi hizi za mabasi.
 
Weka uthibitisho kipindi cha 2015 - 2020 hospitali gani kubwa za kisasa zimejengwa ukubwa wa stendi hizi za mabasi .

30 Juni 2020
Dar es Salaam, Tanzania

MAKONDA AFIKA STENDI MPYA YA KIMATAIFA YA MABASI, MBEZI LUIS JIJINI DAR ES SALAAM


''MKUU wa mkoa wa Dar, Paul Makonda, leo Juni 30, ameendelea na ziara ya kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika mkoa wake ashangaa Ubungo kero kero, barabara mbovu, maji hamna, shule hazina madawati wala vyumba vya kutosha, hospitali hakuna, mapori matupu.

Source: Global TV online
 
01 Julai 2020
Mbeya, Tanzania

HUU NI UPUUZI, HATUWEZI KUVUMILIA, NAVUNJA MKATABA, HATUWEZI KUBEMBELEZANA" - RC MBEYA MKUU



Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amevunja mkataba wa ujenzi wa jengo la Halmashauri ya Busokelo lenye kugharimu Bilion 5.2 baada ya kampuni ya Mzinga Holding Company kushindwa kukamilisha ujenzi huo kwa wakati.

Source : Global TV online
 
Pelekeni huko kwenu. Sisi miradi zetu hatuziposti kwenye jukwaa zenu sasa mbona mnatuletea upupu wenu huku? Ama ni inferiority complex? Yaani lazima uringie jirani ndio uhisi vizuri? Grow up. Hata mods wenu naona wako immature sana. Threads kama hizi ambazo hazina uhusiano na Kenya zinastahili kugongwa na kung'olewa kabisa na kutupwa kwenye nyuzi za mapenzi na mapambo katika sekshen ya Tanzania.
Lakini mkenya akiweka ya Tanzania inatolewa. Mods ni bure
 
Weka uthibitisho kipindi cha 2015 - 2020 hospitali gani kubwa za kisasa zimejengwa ukubwa wa stendi hizi za mabasi .
Hii ni important point hapa...
Yes kiukwel hospital zinajengwa hio sio scale hii..maana hizi stendi nyingne zimecost hadi Bil 22 kama ya dodoma sikosei.

Ila hili naliangalia kwa pande..4 Kuna hospital zimejengwa yes ila bado hazijafikia majengo ya stand kwa ukubwa ...
Mfano Ile hospital ya Mara..na Zonal Hospital ya mtwara zote zimecost almost 15 bil kwa kil moja ..hapo ni majengo bila equipments..i expect na equipments za mwanzo..bei inaweza fika 20bil tsh kwa kila moja almost same scale na stand ya dodoma kwa bei ila sio ukubwa...kila moja itakuwa na uwezo wa vitanda 400+ hizo ni mbili

Kwa upande wa pili..stand ni miradi inayotegemewa kuingiza pesa ..always in capitalist world haya mambo ndo tunayategemea kuliko miradi isyo ingiza pesa...kiukweli afya ni muhimu zaidi..lakini in recent years kwa hizi district hospital zilizojengwa katika kila wilaya ..sijui uwezo wake wa vitanda ila na expect ni around 100 ..je kuna demand kubwa ya watu kuzijaza?

Na bado kuna vituo vya afya vimejengwa ni around 350...labda hapo kila kituo vitanda 30-50.. Kumbuka havikuepo hvyo je kuna wangonjwa wote wa kujaza hvyo...mwanzon..watu wengi walikuwa wanajaza regional au zonal hosp cause ya kukosa district na health center so maybe tufanye research kujua kama demand..maana kwa kujenga vituo 350..na hospital 70 mpya za wilaya, lazima utakuwa umepunguza burden kiasi flani.

Cha tatu stend lazima ziwe kubwa hasa kama ni za mikoa cause magari ni mengi na yana occupy space kubwa na watu wengi wanakuja at a time lets say watu hata 5000 wanaweza kuja ndani ya masaa 12 ..ni tofauti na hospital watu 50-80 kwa district hospital in a day na wanaweza wasifike.

Kikubwa amabacho naweza kukubaliana na wewe ni tungefocus zaidi on specalized care, kwa kuwa na unit kubwa kwenye hizi zonal mbali mbali, ila sijaskia kama JKCI imezidiwa na najua MOI imepanuliwa Tena juzi tu. Mkapa kule dodoma Hospital bado kubwa na wanfanya transplants ..KCMC Na Bugando zote zinafanyiwa upanuzi sehemu mbali mbali najua Ocean road ilizidiwa kipindi flani. o tungeweza kutumia hela alomst ya stand kujenga nyingne mkoa mwingne maybe mwanza /dodoma /mbeya..cause pia magonjwa ya NCDs yako on rise yani tuwe more careful na health..bado kuna gaps kwenye tertiary level care, inagwa zinakuwa filled ila sio kwa rate kubwa kma project nyngne
 
Civilization bado inatupiga chenga nenda after few weeks utakuta ama maji hayatoki au tap zimechomolewa
Uko sahihi kabisa.

Kiukweli tukiangalia hapo pana pendeza lakini haitachukua mda mrefu patakuja kuharibiwa tu.

Cha ajabu wakati tunataka tuishi hapo TZ kama ulaya lakini nenda huko ulaya ukijionee watu wakutoka nchi zingine kama waafrika wanavyo ishi, yaani mitaa yao ni ya ajabu na uchafu ukilinganisha ni mitaa mingine wanaoishi wenye nchi ambao ni wazungu, na ni hao hao wanaoishi kwenye mitaa hiyo yenye mazingara mabaya iliyo sababishwa na wao wenyewe, wanasema wao wanataka waishi uzunguni huko TZ.
 
Lakini mkenya akiweka ya Tanzania inatolewa. Mods ni bure
Threads zako nyingi unazozifungua huwa ni fake news ndio maana mod wanaziondoa mfano halisi ni thread ya ile screen uliyo okota ukaja kufungulia uzi.

Wakenya wengi mna tabia ya kufungua nyuzi za fake news kuhusu Tz halafu zikiondolewa mnalalamika ovyo, kwanini msijifunze kwa Watanzania au chuki ndio inawafanya mfungue threads za fake news!
 
Threads zako nyingi unazozifungua huwa ni fake news ndio maana mod wanaziondoa mfano halisi ni thread ya ile screen uliyo okota ukaja kufungulia uzi.

Wakenya wengi mna tabia ya kufungua nyuzi za fake news kuhusu Tz halafu zikiondolewa mnalalamika ovyo, kwanini msijifunze kwa Watanzania au chuki ndio inawafanya mfungue threads za fake news!
Niletee fake news nilizoeka tafadhali maana hujielewi kabisa.
 
Weka uthibitisho kipindi cha 2015 - 2020 hospitali gani kubwa za kisasa zimejengwa ukubwa wa stendi hizi za mabasi.
Kangalie mwenyew hospital ya rufaa ya mtwara kusha pigia mstari
 
Niletee fake news nilizoeka tafadhali maana hujielewi kabisa.
Unakumbuka uzi ulioufungua mara ya mwisho kuwa kuna nchi imezuia mtu yoyote anayetoka Tz kutokwenda hiyo nchi?

Unakumbuka uzi uliofungua kuwa Dar es salaam ndio hub ya madawa ya kulevya?

Haya ni baadhi ya nyuzi za fake news,

Usipo acha kufungua nyuzi za fake news utaendelea kuwalaumu mod hadi upate akili.
 
Nipe official estimates Kama mpo zaidi ya 1600MW [emoji16]
We nyani nataka kukujuza viwanda vyetu vingi vinatumia gesi badala ya umeme hiyo.hizo mega watts ni nyingi sana
 
Cha tatu stend lazima ziwe kubwa hasa kama ni za mikoa cause magari ni mengi na yana occupy space kubwa na watu wengi wanakuja at a time lets say watu hata 5000 wanaweza kuja ndani ya masaa 12 ..ni tofauti na hospital watu 50-80 kwa district hospital in a day na wanaweza wasifike.

Stendi hahitaji kuwa kubwa kihivyo kama kutakuwepo ratiba / timetable za mabasi kufanya kazi saa 24 katika uchumi unaofanya kazi usiku na mchana. Labda kama Tanzania uchumi wake uwe unafungwa saa 12 jioni na kuamshwa 12 asubuhi na ikiwa hivyo nchi inakosa Maendeleo ya Watu ktk uchumi.
stendi ya sasa ya mabasi jijini Dar es Salaam Tanzania

Nchi nyingi zina stendi za mabasi ndogo lakini zinapokea mabasi kwa wingi kama Stendi ya mabasi ya sasa ya Ubungo jijini Dar es Salaam.

Central Bus Station Berlin

From the central bus station Berlin (ZOB) many bus routes to all parts of Germany and Europe. Anyone traveling to Berlin by bus, mostly comes here. It is a gateway to the cosmopolitan city of Berlin.

Kujenga stendi Mpya ya mabasi Mbezi Luis kwa kisingizio cha wingi wa mabasi ni kupoteza mabilioni ya pesa ambazo zingejenga hospitali kubwa za Rufaa nyingi.

Hospitali "nyingi" ndogo haziwezi kutunza mitambo ya kisasa kama MRI Scan n.k hivyo kuwepo hospitali nyingi za Rufaa zenye mitambo ya kitabibu ya kisasa hupunguza gharama za uendeshaji wa hospitali na kuongeza ujuzi wa watoa huduma za kiafya wengi ikiwemo na vyuo vikuu vya kufunza madaktari n.k kutumia hospitali za Rufaa ktk masomo yao.

Stendi hizo Mpya zitakuwa tupu usiku mzima kutokana na kuwa kubwa kupita kiasi bila sababu za msingi.
 
Unakumbuka uzi ulioufungua mara ya mwisho kuwa kuna nchi imezuia mtu yoyote anayetoka Tz kutokwenda hiyo nchi?

Unakumbuka uzi uliofungua kuwa Dar es salaam ndio hub ya madawa ya kulevya?

Haya ni baadhi ya nyuzi za fake news,

Usipo acha kufungua nyuzi za fake news utaendelea kuwalaumu mod hadi upate akili.
Na si ni ukweli. Sa hii Midanganyika haingii Europe sababu inchi ni kitovu cha corona.

Kuhusu madawa ya kulevya sijafungua uzi kama huo hapa jf. Kama unasema nmefungua leta evidence.
 
Na si ni ukweli. Sa hii Midanganyika haingii Europe sababu inchi ni kitovu cha corona.

Kuhusu madawa ya kulevya sijafungua uzi kama huo hapa jf. Kama unasema nmefungua leta evidence.
Unaona unavyo badilisha magoli,

Utaendelea kulalamika nyuzi zako kufutwa hadi ujifunze kufungua nyuzi za ukweli na kuachana na udaku idiot.
 
Back
Top Bottom