We jamaa nakujibu kwa mara ya mwisho cz niliamua kukupuuza mana ww ni pessimistic wa hali ya juu usiyeweza kushukuru hata kwa kidogo ulichonacho, ni hv changamoto hazijawahi kuisha kwa mwanadamu, nenda popote duniani hata Marekani kuna changamoto katika sekta ya afya, lkn nimekushusha zaidi na natamani hata nisingelikuwa naziona post zako co kwasabu unapinga la hasha bali ww ni mpuuzi sana ur arguments do not hold any water, wapo wengi huwa wanapinga lkn mtu unaona huyu anachoongea kinaleta tija, huwezi ukakosoa ujenzi wa masoko na miundombinu mingine eti kisa sekta ya afya bado haijamaliziwa mahitaji yake tng lini mahitaji ya mwanadamu yakaisha? Kwny uchumi huwa tunasema human wants are unlimited but resources are scarce, unataka vipaombele viwekwe kwenye ujenzi wa vituo vya afya tu je hyo pesa ya kwenda huko kwenye vituo vya afya utawapa ww hao wananchi?
Ni lazima tuguse kote lazima barabara zijengwe, lazima masoko yajengwe maji yapelekwe, mwananchi ukimuwekea soko uchumi unakuwa anakuwa na pesa ya kula vizuri, ukimuwekea maji safi na salama akanywa haumwi hovyo, btw hata hvyo vituo vya afya unavyolaumu humu vimekuwa vikijengwa kila leo na sidhani kama kuna awamu iliyojenga vituo vingi vya afya km hii nikipata evidence ntakuletea humu, yn huna unachoongea cha mana na ndiyo maana humu unapingwa na kila mtu cz wamekugundua una chuki binafsi, hata wapinzani wenzio huwa hawakusapoti humu cz u always talk no sense, badilika kuwa positive hata kama unapinga lkn inapaswa vingine vizuri uwe unasema, mbn cc humu kuna wengine ambao wanasifia visivyostahili lkn tunawakatalia ss ww kwnn unakuwa hivyo ww jamaa? Sitakujibu tena na ningependa wengine wenye kujua maana wakuache tu, ww ni mtapa tapa unaeleta hasira za nyumbani kwako humu.