Dodoma kama Ulaya, Stendi mpya kama airport yashika namba 1 Tanzania, ina Kanisa na Msikiti

Dodoma kama Ulaya, Stendi mpya kama airport yashika namba 1 Tanzania, ina Kanisa na Msikiti

Hizo nchi za wenzetu hizo stendi zao zina sadifu na hali ya maisha ya wananchi wao!!! Sifa za kijinga, wewe mwananchi wa kawaida inakusaidia nini hata iwe ya kwanza duniani, wakati ukienda hospital hata dawa za muhimu tu hakuna?!! Wenzako ulaya karibia kila kitu kiko sawa, mfano kwa mtu wa chini aliyeshindwa kupanda ndege kipindi fast jet zipo, nauli hata kwenda mwanza mtu angeweza kulipa 80,000!!!,asahau kabisa kupanda ndege, hizo zilizoletwa kwa mbwembwe, mgonga ulimbo gani anayeweza kuzipanda?!! Hilo daraja la tazara ukiangalia unafuu wake kwa watumiaji wanaotoka barabara ya Mandela bado ni mdogo mnooo!!! Ukilinganisha na tambo zilizokuwa zikitolewa na viongozi!!!
Kweli ubinadamu kazi mbona kwenye hizo nchi za ulaya kuna homeless wa kutosha na beggers watu wanalala kweny mitaro na bado miundombinu yao ni mizuri.

Kwa mahana hiyo unataka kusema serikali isiboreshe miundombinu ya nchi sababu kuna watu awataweza kuitumia?

Je, haujui kua kwa kuboresha miundombinu na miradi kama hiyo kutatoa fursa za kiuchumi kwa wananchi pia.

Je, ujawai kujiuliza ata hizo nchi za ulaya unazozisema serikali zao zinatekeleza miradi mikubwa na pia kuna raia wao hawana ata makazi bora na hata kazi

Jambo la mwisho ni kama ushauri tu acha serikali itimize wajibu wake, kwani ni bora hata wakajenga vitu kama hivyo tutaona kodi yetu inatumika kuliko kama zamani ambapo miradi kama hii tulikua atuioni zaidi viongozi walikua wanapiga hela zetu.

Jambo la msingi fanya kazi kuleta maendeleo yako kwani hakuna serikali hapa duniani ambayo itakuletea tu ela bila kufanya kazi.
 
kweli ubinadamu kazi mbona kwenye hizo nchi za ulaya kuna homeless wa kutosha na beggers watu wanalala kweny mitaro na bado miundombinu yao ni mizuri.

Kwa mahana hiyo unataka kusema serikali isiboreshe miundombinu ya nchi sababu kuna watu awataweza kuitumia?

Je haujui kua kwa kuboresha miundombinu na miradi kama hiyo kutatoa fursa za kiuchumi kwa wananchi pia.

Je ujawai kujiuliza ata hizo nchi za ulaya unazozisema serikali zao zinatekeleza miradi mikubwa na pia kuna raia wao hawana ata makazi bora na hata kazi

Jambo la mwisho ni kama ushauri tu acha serikali itimize wajibu wake, kwani ni bora hata wakajenga vitu kama hivyo tutaona kodi yetu inatumika kuliko kama zamani ambapo miradi kama hii tulikua atuioni zaidi viongozi walikua wnapiga ela zetu. Jambo la msingi fanya kazi kuleta maendeleo yako kwani hakuna serikali hapa duniani ambayo itakuletea tu ela bila kufanya kazi.
Wapi nimesema kuwa serikali italeta pesa bila mtu kufanya kazi? Nani amekwambia kuwa sasa pesa haipigwi? Rejea ripoti za CAG, tena kwa taarifa yako, huo usiri unaofanyika sasa ndio pesa zinapigwa balaa, hizo nchi unazosema wana matatizo yao lakini sio kama haya, maji tu safi na salama ni mtihani!!, panadol tu, mtihani, ushabikie eti stendi? Jitahidi kupunguza matatizo ya msingi kwanza kwa wana nchi wako!! Watoto tu bado wanasomea nje, wana kaa chini tena hapa hapa Dar!!! Majengo mengi ya hospital yamejengwa sawa, lakini madawa, watumishi ni shida, hospital ni zaidi ya majengo.
 
Stendi hii ingekuwa mojawapo wa Hospitali za Rufaa za wilaya au mikoa zinazotoa huduma masaa 24 zikiwa na vifaa tiba vya kisasa vingi, madawa na wafanyakazi wa kutosha wa sekta ya afya nadhani ingependeza zaidi.

Sielewi kwanini wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Halmashauri za miji / town councils wakaamua kutumia fedha nyingi ktk ujenzi wa stendi kila kona ya Tanzania badala ya kuanza na mahospitali.

Labda sera ya Maendeleo ya Vitu vya CCM Mpya ni kipaumbele zaidi ya Maendeleo ya Watu ktk kupata huduma bora za matibabu ili waendelee kuchapa kazi .
 
Dodoma, Tanzania

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma

Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi, utumishi na utawala bora, Mh Selemani Jafo amefanya ziara katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, na kuagiza jengo la upasuaji na sehemu ya kufulia vifanyiwe ukarabati haraka kutokana na uchakavu wake.



Source : Global TV online
 
Wapi nimesema kuwa serikali italeta pesa bila mtu kufanya kazi? Nani amekwambia kuwa sasa pesa haipigwi? Rejea ripoti za CAG, tena kwa taarifa yako, huo usiri unaofanyika sasa ndio pesa zinapigwa balaa, hizo nchi unazosema wana matatizo yao lakini sio kama haya, maji tu safi na salama ni mtihani!!, panadol tu, mtihani, ushabikie eti stendi?!! Jitahidi kupunguza matatizo ya msingi kwanza kwa wana nchi wako!! Watoto tu bado wanasomea nje, wana kaa chini tena hapa hapa dar!!! Majengo mengi ya hospital yamejengwa sawa, lakini madawa, watumishi ni shida, hospital ni zaidi ya majengo.
Kwani kama serikali imeweza kugaramia fedha nyingi katika miundombinu ya majengo uju
Wapi nimesema kuwa serikali italeta pesa bila mtu kufanya kazi? Nani amekwambia kuwa sasa pesa haipigwi? Rejea ripoti za CAG, tena kwa taarifa yako, huo usiri unaofanyika sasa ndio pesa zinapigwa balaa, hizo nchi unazosema wana matatizo yao lakini sio kama haya, maji tu safi na salama ni mtihani!!, panadol tu, mtihani, ushabikie eti stendi?!! Jitahidi kupunguza matatizo ya msingi kwanza kwa wana nchi wako!! Watoto tu bado wanasomea nje, wana kaa chini tena hapa hapa dar!!! Majengo mengi ya hospital yamejengwa sawa, lakini madawa, watumishi ni shida, hospital ni zaidi ya majengo.
Kweli ubinadamu kazi, nadhani mtazamo wako upo katika kuangalia mapungufu tu, na wala hakuna mtu aliyekataa kwamba hakuna changamoto kama unavyodai, lakini utambue hata hizi hatua serikali inazofanya zilikua ni changamoto pia ambazo zilikua ni kero kwa wananchi.

Nitakushangaa kama unapinga serkali kujenga vituo vya afya takribani nchi nzima eti kisa hakuna madawa na watumishi kama unavyodai, lazima utambue hilo lilikua tatizo ambalo ushukuru serikali imeliona na imechukua hatua, na pia nahamini bahada ya kumaliza ujenzi wa vituo vya afya hatua inayofuata ni ununuzi wa vifaa, madawa na kuajiri wahudumu wa afya na lazima ujue kila kitu kinakwenda kwa hatua ukizingatia nchi yetu bado ina changamoto nyingi.

Mwisho lazima ujifunze kueshimu mawazo na hisia za watu wengine, kwani inaonekana imekukera kuona watu wengine wanafurahia mradi huu wa standi na ukadhani kwa kua wameona ni jambo nzuri ukajua labda hawajui kwamba kwenye hii nchi kuna changamoto nyingine, lakini kumbe ni hulka ya binadamu wanaojitambua kama mtu, tasisi au serikali imefanya jambo nzuri basi nilazima tuwapongeze kwa jambo walilofanya, ukizingatia Dodoma ndio makao makuu ya nchi lakini kulikua hakuna standi ya mahana ilikua ni aibu kubwa kwa makao makuu ya nchi kukosa hata standi ya mabasi
 
Si utani.hii kitu ya uhakika.tuenda sambamba na nchi za wenzetu huko. Inawezekana hiyo ni stendi nzuri zaidi kwa afrika mashariki(Si uhakika).utadhani ni airport.Ngoja tuone hiyo ya kibamba ikikamilika
Co East Africa, huwa tunasema ni the most quality and beautiful bus stand in East and Central of Africa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sio usafi tu

Tuna matatizo mengi sana.

Leo hii dsm tiketi za mwendakasi baada ya kukata tiketi unampa yule mtu anaichana wakati mwanzo wana walikuwa wanapita kwenye mashine.
Tatizo mfumo na wizara na waziri husika kapwaya wewe tazama usafi jiji la Dar umerudi kama zamani takataka kila kona magari ya taka hayazoi taka kama zamani sijui mkuu wa mkoa anafanya kazi gani sikuizi labda yupo bize kwenya mali zake
 
Hii ingepelekwa kwenye jukwaa zenu huko maana haina uhusiano wowote na Kenya. Jukwaa la mapenzi ingekuwa bora zaidi.
Tuseme umetii kwa kuifananisha hiyo standi na mwanamke mrembooo hadi kuwekwa jukwaa la mapenzi huu mwaka lazima mtii niliwaambia mkabisha
 
Si utani.hii kitu ya uhakika.tuenda sambamba na nchi za wenzetu huko.inawezekana hiyo ni stendi nzuri zaidi kwa afrika mashariki(Si uhakika). Utadhani ni airport. Ngoja tuone hiyo ya kibamba ikikamilika
Ipe miezi 3 Halafu nenda kaangalia vyoo na viti
 
Stendi hii ingekuwa mojawapo wa Hospitali za Rufaa za wilaya au mikoa zinazotoa huduma masaa 24 zikiwa na vifaa tiba vya kisasa vingi, madawa na wafanyakazi wa kutosha wa sekta ya afya nadhani ingependeza zaidi.

Sielewi kwanini wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Halmashauri za miji / town councils wakaamua kutumia fedha nyingi ktk ujenzi wa stendi kila kona ya Tanzania badala ya kuanza na mahospitali.

Labda sera ya Maendeleo ya Vitu vya CCM Mpya ni kipaumbele zaidi ya Maendeleo ya Watu ktk kupata huduma bora za matibabu ili waendelee kuchapa kazi .
Nyie ujuaji mwingi mbele Giza
Nimkoa gani haina Hospitali?
Au nimkoa gani wilaya Hakuna ujenzi wa hospital?
Mahitaji ya Mtanzania nimengi zaidi
Na Huwezi fanya kimoja vingine ukaacha
 
Shida yetu kubwa, ustaarabu bado zero. Mifumo yetu kila mahali ni dhaifu. Nimeenda stendi pale, kila sehemu wamejaa watoza ushuru hadi kero. Haya hapa yanapopaki mabasi wamejaa wauza zabibu, yaani ni ovyo ovyo tu. Wafanya biashara wadogo wanapaswa wawe managed, watulie sehemu yao, wateja wanaohitaji huduma yao wawafuate wenyewe na sio kujazana kwenye mabasi na kwenye korido.

Stendi ya Dodoma ni nzuri sana, tatizo ni mifumo na managemt. Sehemu za kukatia tiketi zipo ndani kabisa lkn ajabu ni kuwa mtu kabla hata hajafika sehemu ya kukata tiketi anatozwa ushuru! Mi nadhani waweke mfumo mzuri ambao geti la kutoka yatakuwa mawili au moja kisha watoza ushuru wakae hapo na ushuru udaiwe wakati wa kutoka maana hapo ndio itajulikana msindikizaji na abiria.
 
Stendi hii ingekuwa mojawapo wa Hospitali za Rufaa za wilaya au mikoa zinazotoa huduma masaa 24 zikiwa na vifaa tiba vya kisasa vingi, madawa na wafanyakazi wa kutosha wa sekta ya afya nadhani ingependeza zaidi.

Sielewi kwanini wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) na Halmashauri za miji / town councils wakaamua kutumia fedha nyingi ktk ujenzi wa stendi kila kona ya Tanzania badala ya kuanza na mahospitali.

Labda sera ya Maendeleo ya Vitu vya CCM Mpya ni kipaumbele zaidi ya Maendeleo ya Watu ktk kupata huduma bora za matibabu ili waendelee kuchapa kazi .
Kati ya hospitali na stendi zipi zimejengwa zaidi awamu hii?
 
Back
Top Bottom