Dodoma: Kofia mbili kuchomoza mabadiliko CCM

Dodoma: Kofia mbili kuchomoza mabadiliko CCM

Ni vizuri kusoma na kuelewa ndipo tuandike au tujibu. Hakuna kokote paliposemwa kuondolewa kofia mbili. Kofia mbili zinarudi, lakini kutegemea nafasi. Sasa hivi mwenyekiti wa chama (taifa) hatapigiwa kura tena. Atakuwa mwenyekiti kwa sababu ya nafasi yake. Ina maana raisi akimaliza muda wake, akifariki, au kuacha uraisi kwa sababu yoyote, yule anayechukuwa nafasi yake anakuwa automatically mwenyekiti wa chama (taifa) bila kuita kikao cha kumchagua/kumuidhinisha.
Kwani huwa kuna kura za Mwenyekiti practically! Ile huwa ni 'maagizo' hakuna mchakato wa kura pale kupata Mwenyekiti, mara zote Rais ndiyo huwa Mwenyekiti moja kwa moja.
 
Ili ccm ibakie salama kofia mbili zitenganishwe. Mwenyekiti asiwe na nguvu kuliko wanachama
Tatizo ni tabia zetu za kuendekeza makundi, Rais anaweza wajibishwa bila hata makosa watu waki gang up...Tukazane na maadili na kudhibiti maadili kwa penalty kubwa hayo yakutengenisha Africa bado kabisa. Watu wetu wengi hawapo honest and sincere, hawana confidence na wala hawajui kusimamia haki zao
 
Ushauri wa bure kwa uongozi wa CCM Taifa.
1. Lipeni mabalozi posho au mshahara unaokubalika ili kukijenga chima ngazi ya shina kuliko kupeana posho na ajira huko juu wakati kwrnye ngazi ya shina mnsua chama na mmebaki na wazee tu hakuna vijana wa kuwa balozi kwa kaxi ya bure.
2. Walipeni makatibu wa matawi posho au mshahara badsla ya utani na ujinga uliopo sasa wa kuwalipa Tsh 5,000 kwa mwezi na posho yenyewe wanalipwa kwa mikono badala ya kuwalipwa kwa mfumo wa simu zao kutokea makao makuu moja kwa moja na zilipwe kwa wakati.
3.walipeni posho au mishahara ya kutosha makatibu kata ambao ni watumishi wa chamanngazi ya kata, kwa sasa mnawalipa Tsh 10,000 kwa mwezi.
4. Walipeni wenyeviti wa ccm mkoa, wilaya na kata posho au mishahara kuliko ilivyo sasa hawalipwi chochote anathema Wewe majambazi au wako wapi au wan Isije?
5. UVCCM inapumulia mashine ngazi ya Matawi, kata, wilay na mikoani kwenye katiba mpya Angalia a bora ya Kuboresha jumuia hiyo kimapato.
6. Mtaji mkubwa wa ccm ni wazee Kwa sasa ambao wengi wao wameendelea kufa na kukosa uwezo wa kukimbia kuhusu mambo ya chama. Sasa katiba ibadili hali mtaji wa ccm uwe vijana walio wengi.
7. Uongozi au kiongozi ndani ya ccm achaguliwe kulingana na sifa Za elimu na Sio kusema kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Au sifa ya kuvaa awe kila siku Ndio awe kiongozi.
8. CCM ihakikishe inakuwa na Ofisi Za chama Za kudumu kuanzia ngazi ya shina, Tawi na kata Kwa sasa Ofisi zote zipo wilaya na mikoani tu.
9. Makatibu wa ccm wilaya Wewe viongozi ambao ni vijana kwa umri kuliko ilivyo sasa ni wazee unakuta ni Katibu wa ccm wa vijana wilaya au Mkoa.
9. Habari ya kofia mbili muwe makini na hilo, mnarudi tulikotoka mtu Ana kofia hadi sita na nafasi hizo Haitink anakwenda kusaini posho na kuondoka au rafiki kabisa ila posho anatengewa na kupelekewa au inachukuliwa na wengine.
Mbona nasikia wenyeviti wa mikoa wanalambq donge nono?
 
CCM chama tawala hakina uwezo wa kuandaa kabrasha lenye maelekezo muhimu ya kufanyiwa kazi na makatibu wake wa mikoa na kuwafikishia walitumie kupitia njia mbalimbali za mawasiliano? Wanataka waje ndani ya vikao ili wasikie kwa masikio yao.Daah!
Nakuona Mataga
 
Ushauri wa bure kwa uongozi wa CCM Taifa.
1. Lipeni mabalozi posho au mshahara unaokubalika ili kukijenga chima ngazi ya shina kuliko kupeana posho na ajira huko juu wakati kwrnye ngazi ya shina mnsua chama na mmebaki na wazee tu hakuna vijana wa kuwa balozi kwa kaxi ya bure.
2. Walipeni makatibu wa matawi posho au mshahara badsla ya utani na ujinga uliopo sasa wa kuwalipa Tsh 5,000 kwa mwezi na posho yenyewe wanalipwa kwa mikono badala ya kuwalipwa kwa mfumo wa simu zao kutokea makao makuu moja kwa moja na zilipwe kwa wakati.
3.walipeni posho au mishahara ya kutosha makatibu kata ambao ni watumishi wa chamanngazi ya kata, kwa sasa mnawalipa Tsh 10,000 kwa mwezi.
4. Walipeni wenyeviti wa ccm mkoa, wilaya na kata posho au mishahara kuliko ilivyo sasa hawalipwi chochote anathema Wewe majambazi au wako wapi au wan Isije?
5. UVCCM inapumulia mashine ngazi ya Matawi, kata, wilay na mikoani kwenye katiba mpya Angalia a bora ya Kuboresha jumuia hiyo kimapato.
6. Mtaji mkubwa wa ccm ni wazee Kwa sasa ambao wengi wao wameendelea kufa na kukosa uwezo wa kukimbia kuhusu mambo ya chama. Sasa katiba ibadili hali mtaji wa ccm uwe vijana walio wengi.
7. Uongozi au kiongozi ndani ya ccm achaguliwe kulingana na sifa Za elimu na Sio kusema kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Au sifa ya kuvaa awe kila siku Ndio awe kiongozi.
8. CCM ihakikishe inakuwa na Ofisi Za chama Za kudumu kuanzia ngazi ya shina, Tawi na kata Kwa sasa Ofisi zote zipo wilaya na mikoani tu.
9. Makatibu wa ccm wilaya Wewe viongozi ambao ni vijana kwa umri kuliko ilivyo sasa ni wazee unakuta ni Katibu wa ccm wa vijana wilaya au Mkoa.
9. Habari ya kofia mbili muwe makini na hilo, mnarudi tulikotoka mtu Ana kofia hadi sita na nafasi hizo Haitink anakwenda kusaini posho na kuondoka au rafiki kabisa ila posho anatengewa na kupelekewa au inachukuliwa na wengine.
Namba 4 sio kweli..wenyeviti wa mikoa na wilaya wanalipwa posho kila mwezi
 

CCM wanabadilisha katiba yao ya 1977 iendane na wakati, kwanini hawataki tubadili Katiba ya JMT ya 1977​





Niambie ipo Ofisi ya ccm Kata mji mpya dodoma? Weka picha
Majengo ipo..na sasa inahamishiwa Bahi road
 
Chadema wao wanategemea kuanzisha Maria space kama tawi maalum la chama
 
Tatizo ni tabia zetu za kuendekeza makundi, Rais anaweza wajibishwa bila hata makosa watu waki gang up...Tukazane na maadili na kudhibiti maadili kwa penalty kubwa hayo yakutengenisha Africa bado kabisa. Watu wetu wengi hawapo honest and sincere, hawana confidence na wala hawajui kusimamia haki zao
Maadili bila udhibiti wa sheria ni ngumu
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Back
Top Bottom