Ushauri wa bure kwa uongozi wa CCM Taifa.
1. Lipeni mabalozi posho au mshahara unaokubalika ili kukijenga chima ngazi ya shina kuliko kupeana posho na ajira huko juu wakati kwrnye ngazi ya shina mnsua chama na mmebaki na wazee tu hakuna vijana wa kuwa balozi kwa kaxi ya bure.
2. Walipeni makatibu wa matawi posho au mshahara badsla ya utani na ujinga uliopo sasa wa kuwalipa Tsh 5,000 kwa mwezi na posho yenyewe wanalipwa kwa mikono badala ya kuwalipwa kwa mfumo wa simu zao kutokea makao makuu moja kwa moja na zilipwe kwa wakati.
3.walipeni posho au mishahara ya kutosha makatibu kata ambao ni watumishi wa chamanngazi ya kata, kwa sasa mnawalipa Tsh 10,000 kwa mwezi.
4. Walipeni wenyeviti wa ccm mkoa, wilaya na kata posho au mishahara kuliko ilivyo sasa hawalipwi chochote anathema Wewe majambazi au wako wapi au wan Isije?
5. UVCCM inapumulia mashine ngazi ya Matawi, kata, wilay na mikoani kwenye katiba mpya Angalia a bora ya Kuboresha jumuia hiyo kimapato.
6. Mtaji mkubwa wa ccm ni wazee Kwa sasa ambao wengi wao wameendelea kufa na kukosa uwezo wa kukimbia kuhusu mambo ya chama. Sasa katiba ibadili hali mtaji wa ccm uwe vijana walio wengi.
7. Uongozi au kiongozi ndani ya ccm achaguliwe kulingana na sifa Za elimu na Sio kusema kujua kusoma na kuandika imepitwa na wakati. Au sifa ya kuvaa awe kila siku Ndio awe kiongozi.
8. CCM ihakikishe inakuwa na Ofisi Za chama Za kudumu kuanzia ngazi ya shina, Tawi na kata Kwa sasa Ofisi zote zipo wilaya na mikoani tu.
9. Makatibu wa ccm wilaya Wewe viongozi ambao ni vijana kwa umri kuliko ilivyo sasa ni wazee unakuta ni Katibu wa ccm wa vijana wilaya au Mkoa.
9. Habari ya kofia mbili muwe makini na hilo, mnarudi tulikotoka mtu Ana kofia hadi sita na nafasi hizo Haitink anakwenda kusaini posho na kuondoka au rafiki kabisa ila posho anatengewa na kupelekewa au inachukuliwa na wengine.