Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa Hati Miliki za Ardhi, hali ipoje huko kwenu?

Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa Hati Miliki za Ardhi, hali ipoje huko kwenu?

Mchaga Tajiri

Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
10
Reaction score
16
Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa hati miliki za ardhi. Mtu anakuwa amemaliza kulipia kiwanja na kufuata hatua zote zinahitajika lakini linapofika suala la kupewa hati ni mtihani.

Wapo wananchi ambao wamemaliza kulipia viwanja vyao kwa takribani miaka minne sasa, lakini hadi sasa hawajapatiwa hati za viwanja.

Mwananchi mmoja ambaye alikuwa akifuatilia hati yake kwa miaka kadhaa, baada ya kumaliza kulipa aliambiwa ndani ya siku 14 hati yake itakuwa tayari lakini baada ya kurudi kwa siku 14 alizoambiwa hakuipata hati hiyo.

Alikaa kwa muda akarudi tena kufuatilia, alipofika akaambiwa kwamba kuna malipo hajamaliza, uzuri alikuwa na stakabadhi zake zote alipoonyesha ndipo file lake likaletwa ili kufuatilia hati hiyo.

Pamoja na kuambiwa arudi tena kufuatilia hati yake mpaka sasa hajapata hati hiyo, lakini wapo wananchi wanaopata hati hizo kwa haraka tofauti na watu wengine.

Siku zote Serikali inasisitiza umuhimu wa wananchi kupata hati za ardhi mapema, lakini inapokuja suala la utendaji baadhi ya watendaji wake hawatekelezi kwa ukamilifu majukumu yao.
 
Wanakera awa afisa ardhi wanatengeneza mazingira ya rushwa tu
 
Tumia wakili akuandikie barua kuhusu hayo madai
Mfn:
mxyz advocate,
S.L.P ggg
Dom​

...............................
...............................
................................


Yah: Madai ya mteja wangu kuhusu hati
Tafadhali, napenda kujua, ombi la mteja wangu lenye kumb No...., kuhusu hati imefikia hatua gani; kwa sababu ni zaidi ya miaka 6 sasa bado hajapata​

Nakalaa;1........
2.........
3..........
 
Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa hati miliki za ardhi. Mtu anakuwa amemaliza kulipia kiwanja na kufuata hatua zote zinahitajika lakini linapofika suala la kupewa hati ni mtihani...
Yani mimi nafatilia control number nikamilishe malipo tangu February mpaka leo hawajatoa, kila siku hawakosi sababu!
 
Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa hati miliki za ardhi. Mtu anakuwa amemaliza kulipia kiwanja na kufuata hatua zote zinahitajika lakini linapofika suala la kupewa hati ni mtihani.

Wapo wananchi ambao wamemaliza kulipia viwanja vyao kwa takribani miaka minne sasa, lakini hadi sasa hawajapatiwa hati za viwanja.

Mwananchi mmoja ambaye alikuwa akifuatilia hati yake kwa miaka kadhaa, baada ya kumaliza kulipa aliambiwa ndani ya siku 14 hati yake itakuwa tayari lakini baada ya kurudi kwa siku 14 alizoambiwa hakuipata hati hiyo.

Alikaa kwa muda akarudi tena kufuatilia, alipofika akaambiwa kwamba kuna malipo hajamaliza, uzuri alikuwa na stakabadhi zake zote alipoonyesha ndipo file lake likaletwa ili kufuatilia hati hiyo.

Pamoja na kuambiwa arudi tena kufuatilia hati yake mpaka sasa hajapata hati hiyo, lakini wapo wananchi wanaopata hati hizo kwa haraka tofauti na watu wengine.

Siku zote Serikali inasisitiza umuhimu wa wananchi kupata hati za ardhi mapema, lakini inapokuja suala la utendaji baadhi ya watendaji wake hawatekelezi kwa ukamilifu majukumu yao.
Kama unafuatilia mikono mitupu hati lazima ichelewe, ukijiongeza ndani ya wiki tu unapata
 
  • Thanks
Reactions: apk
Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa hati miliki za ardhi. Mtu anakuwa amemaliza kulipia kiwanja na kufuata hatua zote zinahitajika lakini linapofika suala la kupewa hati ni mtihani.

Wapo wananchi ambao wamemaliza kulipia viwanja vyao kwa takribani miaka minne sasa, lakini hadi sasa hawajapatiwa hati za viwanja.

Mwananchi mmoja ambaye alikuwa akifuatilia hati yake kwa miaka kadhaa, baada ya kumaliza kulipa aliambiwa ndani ya siku 14 hati yake itakuwa tayari lakini baada ya kurudi kwa siku 14 alizoambiwa hakuipata hati hiyo.

Alikaa kwa muda akarudi tena kufuatilia, alipofika akaambiwa kwamba kuna malipo hajamaliza, uzuri alikuwa na stakabadhi zake zote alipoonyesha ndipo file lake likaletwa ili kufuatilia hati hiyo.

Pamoja na kuambiwa arudi tena kufuatilia hati yake mpaka sasa hajapata hati hiyo, lakini wapo wananchi wanaopata hati hizo kwa haraka tofauti na watu wengine.

Siku zote Serikali inasisitiza umuhimu wa wananchi kupata hati za ardhi mapema, lakini inapokuja suala la utendaji baadhi ya watendaji wake hawatekelezi kwa ukamilifu majukumu yao.
Unaishi nchi mkuu? Hujui mishahara haitoshi?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Kama unafuatilia mikono mitupu hati lazima ichelewe, ukijiongeza ndani ya wiki tu unapata
Hii nchi kila kitu ukitaka kiende kwa haraka lazima utoe pesa

Me nna viwanja vyangu nimenunua kwenye makampuni ya real estate, na nimewapa hela za kushughulikia hati naona wanavyokimbiza mchakato chap chap

Pesa ndo kila kitu adse ,
 
Dodoma kuna shida ya upatikanaji wa hati miliki za ardhi. Mtu anakuwa amemaliza kulipia kiwanja na kufuata hatua zote zinahitajika lakini linapofika suala la kupewa hati ni mtihani.

Wapo wananchi ambao wamemaliza kulipia viwanja vyao kwa takribani miaka minne sasa, lakini hadi sasa hawajapatiwa hati za viwanja.

Mwananchi mmoja ambaye alikuwa akifuatilia hati yake kwa miaka kadhaa, baada ya kumaliza kulipa aliambiwa ndani ya siku 14 hati yake itakuwa tayari lakini baada ya kurudi kwa siku 14 alizoambiwa hakuipata hati hiyo.

Alikaa kwa muda akarudi tena kufuatilia, alipofika akaambiwa kwamba kuna malipo hajamaliza, uzuri alikuwa na stakabadhi zake zote alipoonyesha ndipo file lake likaletwa ili kufuatilia hati hiyo.

Pamoja na kuambiwa arudi tena kufuatilia hati yake mpaka sasa hajapata hati hiyo, lakini wapo wananchi wanaopata hati hizo kwa haraka tofauti na watu wengine.

Siku zote Serikali inasisitiza umuhimu wa wananchi kupata hati za ardhi mapema, lakini inapokuja suala la utendaji baadhi ya watendaji wake hawatekelezi kwa ukamilifu majukumu yao.
Mchaga gan haujiongezi adse?

Meku umekuja kuwaje adse ? Hujui cha kufanya hapo?
 
Kwa dodoma changamoto ni kubwa sana tena wakati mwingine hati mbili kutolewa kwa kiwanja kimoja yani waziri kama kazi zimemshinda
 
Hii nchi kila kitu ukitaka kiende kwa haraka lazima utoe pesa

Me nna viwanja vyangu nimenunua kwenye makampuni ya real estate, na nimewapa hela za kushughulikia hati naona wanavyokimbiza mchakato chap chap

Pesa ndo kila kitu adse ,
uliwapa ngapi?
 
uliwapa ngapi?
Niliwapa 300k kwa kila plot,hapo ni nje ya ile nliolipia baada ya kutumiwa control number kutoka wizarani.

Plot zenyewe ziko kibaha huko lakini wamekimbiza chap mchakato
 
Yani mimi nafatilia control number nikamilishe malipo tangu February mpaka leo hawajatoa, kila siku hawakosi sababu!
Mimi nilianza kufatilia formally oktoba 2021.
Mpaka Julai mwaka huu hola. Nikaamua kutafuta kishoka, akala laki na nusu.

Ndani ya wiki 4 nikapewa hati na kibali cha ujenzi. Sahizi nakimbizana site tuu.

Nikakumbuka usemi wa penye udhia penyeza rupia
 
Back
Top Bottom