Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Straight talk....Mama anaupiga mwingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaupiga mwingi hapoYes inawezekana hataki kusababisha mfumuko wa bei
Ila alivyosema kila kitu kitapanda, hapo alikua anataka kusababisha mfumuko wa bei?Yes inawezekana hataki kusababisha mfumuko wa bei
Bila shaka!Straight talk....Mama anaupiga mwingi.
Ww walimu sio watumishiHii nchi inashangaza sana vile watumishi wanavyochukiwa!
Kenya! Dah. Hawajawahi kurembaremba!! Bongo mpaka tupakepake mafuta..
Maccm yapoyapo yanapuyanga tu . Maccm akili zao hazina akili. Limeshajisaulisha hapo hilo kenge la kijani.Ila alivyosema kila kitu kitapanda, hapo alikua anataka kusababisha mfumuko wa bei?
Akili yako haina akili. Samia ameshaleta mfumuko wa bei pale aliposema vitu vitapanda bei. Bado anaendeleza pale alipoishia LIJIZI Magufuli, Samia anaiba hazina na MIJIZI wenzake akina Mpango, Majaliwa na Mwigulu, wakitoshoka na zikibaki , wataongeza mishahara na kutoa ajira mpya. CCM ni laana katika nchi.Yes inawezekana hataki kusababisha mfumuko wa bei
Hao uvccm dawa yao ni kanga na kofia tu, ukiwapa hivyo wanamwaga radhi kabisaAkili yako haina akili. Samia ameshaleta mfumuko wa bei pale aliposema vitu vitapanda bei.
Vijana wa hovyo mno.Hao uvccm dawa yao ni kanga na kofia tu, ukiwapa hivyo wanamwaga radhi kabisa
Balaa sana
UKiwa mtumishi unatakiwa kujua JAMII inayokuzunguka haikupendi. Na sababu kubwa Ni CHUKI na WIVU.Hii nchi inashangaza sana vile watumishi wanavyochukiwa!
Jamaa kafanya kweli 12%Kenya! Dah. Hawajawahi kurembaremba!! Bongo mpaka tupakepake mafuta..
Bro ndio utajua the poverty is real,Hii nchi inashangaza sana vile watumishi wanavyochukiwa!
Yani tukose wote eti!?? What a hatred!!?Bro ndio utajua the poverty is real,
Wengi hapa nchini hawana uhakika wa kipato, so chuki kwa wenye vipato hata kama ni kidogo ni kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Parefuu..Jamaa kafanya kweli 12%
Kwahiyo tafsiri ya uzalendo kwako ni watu wafanye kazi bila mshahara au sio🤔Mama usiwaongoze wafanyakazi mishahara waache tamaa wawe wazalendo!