Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Jabir Shekimweri amesema Mbio za Gen S Samia Jogging ni Mbio za Falsafa zenye kizalendo kwani vijana hao wameweza kuona mbalimbali ambayo imejengwa katika Mji wa Dodoma na Serikali ya awamu ya sita ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
Mhe. Shekimweri ameyasema hayo Leo Desemba 7,2024 wakati akizungumza na vijana zaidi ya 1000 waliokusanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma kwenye Mbio za Gen S Samia Jogging.
Pia, Soma: Generation Samia kuanza na Jogging kubwa ya historia Dodoma
Mhe. Shekimweri ameyasema hayo Leo Desemba 7,2024 wakati akizungumza na vijana zaidi ya 1000 waliokusanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma kwenye Mbio za Gen S Samia Jogging.
Pia, Soma: Generation Samia kuanza na Jogging kubwa ya historia Dodoma
