Dodoma: Maelfu washiriki 'Generation S Samia Jogging'

Dodoma: Maelfu washiriki 'Generation S Samia Jogging'

Nilikuwa naangalia hapa F-22 raptors, stealth fighter ikiwa kwenye operation, ghafla nikaikumbuka Reaper drones na miaka ambayo USA alianza kutumia drone angani in military kabla hata dunia haijawahi kuwaza drones.

Nikafunga hili file nikajaribu kwenda kuangalia SU57, MIG 31 na yale Masub ya kirusi, aaah nikaikumbuka France na Raphaeli zake na utalaamu wake kwenye Concorde na Airbus nikarudi kwa Mcanada na mabomberdier, DC enzi zile na migodi yake kwenye baridi kule, nikarudi kwa Malkia na Royce Roy's engines na mambo yake.
Kushoto kulia wazee kazi maprisoner Australia, huku kule wavimba macho aka wajukuu wa Mao na kasi yao, juu chini, wavimba macho wengine South Korea wazee wa Hyundai, Mitsubishi, Samsung aaah hatari Sanaa.
Juu chini the olds gangsters aka the JAPs na matoyota yao.
Malaysia, Singasinga aka Singapore, India, Pakistan nk..

Najaribu kutafakari urithi tunaowaachia wajukuu zetu.
 
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Jabir Shekimweri amesema Mbio za Gen S Samia Jogging ni Mbio za Falsafa zenye kizalendo kwani vijana hao wameweza kuona mbalimbali ambayo imejengwa katika Mji wa Dodoma na Serikali ya awamu ya sita ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Mhe. Shekimweri ameyasema hayo Leo Desemba 7,2024 wakati akizungumza na vijana zaidi ya 1000 waliokusanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma kwenye Mbio za Gen S Samia Jogging.

Pia, Soma: Generation Samia kuanza na Jogging kubwa ya historia Dodoma

View attachment 3171264

Inatusaidie kwenye maendeleo. Kama ukaguzi wa vitu muhimu, barabarq, shule, hospitali, SGR, kusimamia watendaji wa serikali?
 
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Jabir Shekimweri amesema Mbio za Gen S Samia Jogging ni Mbio za Falsafa zenye kizalendo kwani vijana hao wameweza kuona mbalimbali ambayo imejengwa katika Mji wa Dodoma na Serikali ya awamu ya sita ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Mhe. Shekimweri ameyasema hayo Leo Desemba 7,2024 wakati akizungumza na vijana zaidi ya 1000 waliokusanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma kwenye Mbio za Gen S Samia Jogging.

Pia, Soma: Generation Samia kuanza na Jogging kubwa ya historia Dodoma

View attachment 3171264
Ina maana kampeini zimeanza tayari
 
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Jabir Shekimweri amesema Mbio za Gen S Samia Jogging ni Mbio za Falsafa zenye kizalendo kwani vijana hao wameweza kuona mbalimbali ambayo imejengwa katika Mji wa Dodoma na Serikali ya awamu ya sita ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Mhe. Shekimweri ameyasema hayo Leo Desemba 7,2024 wakati akizungumza na vijana zaidi ya 1000 waliokusanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma kwenye Mbio za Gen S Samia Jogging.

Pia, Soma: Generation Samia kuanza na Jogging kubwa ya historia Dodoma

View attachment 3171264
Wakati wa Nyerere tungekuwa na huu utoto.
 
Tunaandaa Generation yakitumwa na sio generation ya kuchapa kazi na matamanio ya kujenga Taifa shupavu, Tajiri na lenye watu wanaojitambua.

Tunaandaa vijana wapenda burebure, vijana wanaopenda kulamba makalio ya mabwana ili wapate mkate, vijana dhaifu wanaoamini katika kutumikia chama, na wanasiasa na sio Taifa lao na kujitoa Kwa faida ya wengi.
 
jorging ni mazoezi ya kuimarisha afya na utimamu wa mwili gentleaman :pulpTRAVOLTA:
Sasa unanifundisha mm mazoezi
Gentleman 😄
Siku zote nakuambia niko fit mentally na physical
Nakumbia,napiga ngumi,nacheza mpira,naogelea, napiga pull ups+push ups za kutosha
Hapo hamna mazoezi wanayofanya

Ova
 
Back
Top Bottom