Dodoma: Mahakama Kuu yatupilia mbali shauri la mapitio kuhoji Uhalali wa Mawakili kuwatetea waliombaka Binti wa Yombo

Dodoma: Mahakama Kuu yatupilia mbali shauri la mapitio kuhoji Uhalali wa Mawakili kuwatetea waliombaka Binti wa Yombo

Mimi ni mmoja wa watabiri wa kusema kwamba hawa watuhumiwa wataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi, lakini kuna wale waling'ang'ana kwamba video ipo.

Video siyo ushahidi mzuri kwa sababu una vipengele vingi na hata hivyo, muda ulikuwa umeenda sana kiasi kwamba ikawa vigumu kutambua ni uume wa nani uliingia maungoni mwa Binti.
KwahIyo hapo utabiri wako uko sahihi si ndio?
 
Kweli nimeamini sisi watanganyika vichwa maji Sana.
Yaani asilimia 90 waliochangia huu Uzi wanachangia kitu wasichokijua,sijui hawajasoma habari yenyewe au vipi.
Mbona Mimi nimesoma na hakuna walioelezea maamuzi ya Ile kesi ya kina Nyundo??
Ccm imewekeza vya kutosha kwenye ujinga.

Wanaomshangilia mama kwa utopolo wa jana, kesho akija na statement nyingine utaona haohao wanashangilia mama ni msikivu.
 
Mimi ni mmoja wa watabiri wa kusema kwamba hawa watuhumiwa wataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi, lakini kuna wale waling'ang'ana kwamba video ipo.

Video siyo ushahidi mzuri kwa sababu una vipengele vingi na hata hivyo, muda ulikuwa umeenda sana kiasi kwamba ikawa vigumu kutambua ni uume wa nani uliingia maungoni mwa Binti.
Acha mbwembwe wewe, wale mabwana zako lazima wafungwe wote
 
Back
Top Bottom