Dodoma: Mahakama Kuu yatupilia mbali shauri la mapitio kuhoji Uhalali wa Mawakili kuwatetea waliombaka Binti wa Yombo

Dodoma: Mahakama Kuu yatupilia mbali shauri la mapitio kuhoji Uhalali wa Mawakili kuwatetea waliombaka Binti wa Yombo

Mkuu Pascal Mayalla with all due respect nakuomba uje utowe darasa la sheria hapa, ni lack of law knowledge.

Hao wote hapo juu wamecomment bila kujuwa kesi ya msingi iko palepale mahakamani, na hao walawiti na wabakaji hawachomoki.
Ah maana kuna mtu humu kisa kawaona wakina madeleka,wakina tls na taasisi za harakati wameingilia kesi anaona sawa tu huyu binti sawa tu kufanyiwa vile

Ova
 
Kweli nimeamini sisi watanganyika vichwa maji Sana.
Yaani asilimia 90 waliochangia huu Uzi wanachangia kitu wasichokijua,sijui hawajasoma habari yenyewe au vipi.
Mbona Mimi nimesoma na hakuna walioelezea maamuzi ya Ile kesi ya kina Nyundo??
Kuna mtu humu anasema kwa sababu wakina madeleka wanamsimqmia hyo binti basi hii kesi haina mashiko washavuruga
Kwa hyo watu waendeleee kuflnnn tu

Ova
 
Wakili Mashabara anakwama wapi?

Uzembe huo utasababisha huyo binti akose haki yake.

Mahakama inafuata ukweli wa Kisheria ingawa kuna ushahidi wa kutosha (kama vile video iliyorekodiwa) dhidi ya washitakiwa lakini uamuzi wa mahakama unategemea sheria na taratibu za kisheria. Ikiwa kesi imejaa dosari za kisheria inaweza kutupiliwa mbali kwa msingi huu.
Hapo kosa ni moja tu la Kimtandao(Cyber crime) kusambaza video yenye maudhui ya Ngono
 
Tuanze kumtafuta ripota wa wasafi sasa😂😂😂😂😂😂
 
Limeisha tayali kama yanavyo malizika mengine
Kwahiyo hiyo kesi imefutwa? yani hakuna tena kesi hapo?
Je watuhumiwa ndio wataachiwa huru kwa hukumu hiyo?

Wataalamu wa sheria tunaomba mtueleweshe hapa.
kina p diddy na r kelly waje waishi huku tu
Tanzania chochote kinaweza kuwa lolote...
Naumia sanaaaaa
Siyo mbaya lakin,bahat nzur hata binti hakufa
Hii nzuri sana.
Mahakama imetoa hukumu kwa mujibu wa Sheria na si kwa mujibu wa mashinikizo ya wahuni wa mtandaoni
Yaani ni kweli kwamba nyie wote hamjui kusoma? Inasikitisha sana.
 
Mimi ni mmoja wa watabiri wa kusema kwamba hawa watuhumiwa wataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi, lakini kuna wale waling'ang'ana kwamba video ipo.

Video siyo ushahidi mzuri kwa sababu una vipengele vingi na hata hivyo, muda ulikuwa umeenda sana kiasi kwamba ikawa vigumu kutambua ni uume wa nani uliingia maungoni mwa Binti.
watafungwa, ila watatokea mahakama kuu au ya rufaa. ndio utabiri wangu.
 
Pamoja na kwamba hawakumuandaa vzur na hawakutumia vilainishi lakin bado dogo aliwamudu

Pamoja na bangi zao
Wana upungufu wa nguvu za kiume wale.

Niliwahi kuandika hili bandiko mods wakafuta.

Haiwezekani watu zaidi ya wanne kwa wakati mmoja mumuingilie binti mmoja mbele na nyuma na bado akabaki na nguvu za kuongea na kutembea
.
 
Hii nzuri sana.
Mahakama imetoa hukumu kwa mujibu wa Sheria na si kwa mujibu wa mashinikizo ya wahuni wa mtandaoni
Muogope Mungu ndugu yangu na weka akiba ya maneno lililotokea kwa mtoto wa mwenzio usishangae likatokea kwa mwanao au wewe ni mkristo?
 
Back
Top Bottom