Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
KwahIyo hapo utabiri wako uko sahihi si ndio?Mimi ni mmoja wa watabiri wa kusema kwamba hawa watuhumiwa wataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi, lakini kuna wale waling'ang'ana kwamba video ipo.
Video siyo ushahidi mzuri kwa sababu una vipengele vingi na hata hivyo, muda ulikuwa umeenda sana kiasi kwamba ikawa vigumu kutambua ni uume wa nani uliingia maungoni mwa Binti.
Kesi ya msingi hawachomoki hao, kifungo cha chini kwa huruma ni miaka 30.Kesi ya msingi haijatolewa hukumu bado, hili ni shauri la mawakili kwa mawakili kutafuta kiki
Wakili unawaita wahuni au sio haya bhanaHii nzuri sana.
Mahakama imetoa hukumu kwa mujibu wa Sheria na si kwa mujibu wa mashinikizo ya wahuni wa mtandaoni
Matokeo ya kesi hii itawashangaza.KwahIyo hapo utabiri wako uko sahihi si ndio?
Naskia baada ya lile tukio, binti alilia sana kwamba wale wahuni wamemchafua mana hawajamsugua vzr 😎Nyie watu🙆🙆🙆
Ccm imewekeza vya kutosha kwenye ujinga.Kweli nimeamini sisi watanganyika vichwa maji Sana.
Yaani asilimia 90 waliochangia huu Uzi wanachangia kitu wasichokijua,sijui hawajasoma habari yenyewe au vipi.
Mbona Mimi nimesoma na hakuna walioelezea maamuzi ya Ile kesi ya kina Nyundo??
Sisi tunaanza kukushangaa wewe kushabikia kitu usichokijuwa.Matokeo ya kesi hii itawashangaza.
Inasikitisha sana mkuu"NATAKA MAVI TUU, NIKIINGIA MIMI MAVI TUUU, NATAKA JOKERIII".
Cc: The Icebreaker Mbaga Jr cocastic Mzee wa kupambania
Acha mbwembwe wewe, wale mabwana zako lazima wafungwe woteMimi ni mmoja wa watabiri wa kusema kwamba hawa watuhumiwa wataachiwa kutokana na udhaifu wa ushahidi, lakini kuna wale waling'ang'ana kwamba video ipo.
Video siyo ushahidi mzuri kwa sababu una vipengele vingi na hata hivyo, muda ulikuwa umeenda sana kiasi kwamba ikawa vigumu kutambua ni uume wa nani uliingia maungoni mwa Binti.
soma Tena kichwa Cha habariKwahiyo hiyo kesi imefutwa? yani hakuna tena kesi hapo?
Je watuhumiwa ndio wataachiwa huru kwa hukumu hiyo?
Wataalamu wa sheria tunaomba mtueleweshe hapa.
Dah! Nimesoma tena heading na sasa nimeelewa.soma Tena kichwa Cha habari
Acha mbwembwe wewe, wale mabwana zako lazima wafungwe wote
SawaSisi tunaanza kukushangaa wewe kushabikia kitu usichokijuwa.
Hakika ccm wametuweza.
Mwenyewe ulikuwa ushafurahiiii kuwa kesi imetupwa. Wakipona sanaaaa nyundo 30 kila mmojaBy the way, haibadilishi kitu. Ushahidi ni dhaifu na hafifu.
Tusi lipo wapi hapo bibie?Hukuwa na haja ya kunitukana.
SawaTusi lipo wapi hapo bibie?
Weka dauMwenyewe ulikuwa ushafurahiiii kuwa kesi imetupwa. Wakipona sanaaaa nyundo 30 kila mmoja
Hamna kitu kivipi yaani.Nilipoona tu madeleka, tls na wapinzani wameingilia hii kesi nikajua hamna kitu hapa